Anahitajika msichana/mwanamke kwa ajili ya IVF

Anahitajika msichana/mwanamke kwa ajili ya IVF

Ectolife ndio unahitaji wala usihangaike na mwanamke akuzalie bali subiri kuna artificial womb na wanafyatua watoto 30,000 kwa mwaka kwenye laboratory moja

Wanasema watu hawaongezeki sana na itafika kipindi tutakosa wafanyakazi

Sijui China atatengeneza machine cheap kidogo na mimi ninunue?

Elon Musk mwenyewe ana lea watoto 9 ambao hajawazaa yeye

View attachment 2454774View attachment 2454775
Hii mi najua ilikua inawezekana tokea miaka ya 70 huko, , ila walikuwa hawafanyi kwa sababu za ethics.

Sikuizi hakuna ethics?
 
M
Mbona itakuwa mimba ya mateso
Ni kweli, ni mateso kisaikolojia ila yanavumilika na hayana maumivu.
Jambo la msingi naweza kumpeleka huyo mwanamke kwa wanasaikolojia kwa ajili ya kumjenga kimawazo na kimtazamo kwa kipindi chote cha ujauzito na baada ya kujifungua.
Jambo lingine ningependa nitoe ufafanuzi kwenye hii comment kwamba, mwanamke husika ataishi maisha ya kawaida kama kwenda beach, restaurant, sokoni n.k ila kwa uangalizi.
 
Ni kweli, ni mateso kisaikolojia ila yanavumilika na hayana maumivu.
Jambo la msingi naweza kumpeleka huyo mwanamke kwa wanasaikolojia kwa ajili ya kumjenga kimawazo na kimtazamo kwa kipindi chote cha ujauzito na baada ya kujifungua.
Jambo lingine ningependa nitoe ufafanuzi kwenye hii comment kwamba, mwanamke husika ataishi maisha ya kawaida kama kwenda beach, restaurant, sokoni n.k ila kwa uangalizi.
Duh! Kumbe atakua chini ya uangalizi wenu kama jela hivi?
 
Ni kweli, ni mateso kisaikolojia ila yanavumilika na hayana maumivu.
Jambo la msingi naweza kumpeleka huyo mwanamke kwa wanasaikolojia kwa ajili ya kumjenga kimawazo na kimtazamo kwa kipindi chote cha ujauzito na baada ya kujifungua.
Jambo lingine ningependa nitoe ufafanuzi kwenye hii comment kwamba, mwanamke husika ataishi maisha ya kawaida kama kwenda beach, restaurant, sokoni n.k ila kwa uangalizi.
Kwann
Ni kweli, ni mateso kisaikolojia ila yanavumilika na hayana maumivu.
Jambo la msingi naweza kumpeleka huyo mwanamke kwa wanasaikolojia kwa ajili ya kumjenga kimawazo na kimtazamo kwa kipindi chote cha ujauzito na baada ya kujifungua.
Jambo lingine ningependa nitoe ufafanuzi kwenye hii comment kwamba, mwanamke husika ataishi maisha ya kawaida kama kwenda beach, restaurant, sokoni n.k ila kwa uangalizi.
Kwann umeamua kupata mtoto kwa njia hiyo?
 
Duh! Kumbe atakua chini ya uangalizi wenu kama jela hivi?
Sio kama jela, ila kwa usalama wake.
Pia atakua kwa uangalizi ili asijihusishe tendo la ndoa na mtu mwingine kwa kipindi hicho sababu, kidogo itamsumbua kisaikolojia sababu hatoruhusiwa kujihusisha na tendo la ndoa na mwanaume kwa kipindi chote cha ujauzito na baada ya kujifungua
 
Me ningekutafuta ila ndo hivyo tena mie sifa zangu ni mfupi,mweusi tii,chibonge lile puto la mloganzila linanihusu anyway labda upate wadada wa mjini lkn mwenye akili zake timamu mhh dau dogo sana kuacha damu yako ipotee
 
Back
Top Bottom