Anahitajika msichana/mwanamke kwa ajili ya IVF


Only wealthy gay men would use this kind of extreme measure to have their genes passed on through surrogate pregnancies.
 
My dearest buddy, huto tumilioni natutamani, natamani kama vingekosea njia viingie kwenye account ya binti yako wa kwanza..!!

Ningekununulia kwanza ka baby walker kabla ya yote..!!😂😂

Malengo uliyonayo juu yangu kama ungezipata hizo fedha yamenigusa sana my lovely daughter, ila njia ambayo ungepitia ili uzipate isingenifurahisha (kama ningejua)😄.

We have our means, tutapata zaidi ya baby walker we subiri uone❤️❤️
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kwahyo kipengele hicho kinaonesha impossible future tense ya jambo kukamilika
 
Hujasema ni nani ata-donate hilo yai? Ni mwanamke mwingine au mbeba ujauzito? In which case, kwanini usimpe ujauzito naturally? Then mwache akulele mwanao maisha yote, we unahudumia tu?
 
Hujasema ni nani ata-donate hilo yai? Ni mwanamke mwingine au mbeba ujauzito? In which case, kwanini usimpe ujauzito naturally? Then mwache akulele mwanao maisha yote, we unahudumia tu?
Atakaetoa yai ni mwanamke atakaebeba ujauzito, ila pia inawezekana yai akatoa mwanamke mwingine.
Kuhusu ujauzito naturally n.k natambua na naheshimu hiyo njia, ila kutokana na sababu ambazo siwezi kuzieleza sitotumia njia naturally.
Hivyo naomba tuelekeze mawazo kama tangazo linavyosema.
 
Basi tuna uelewa tofauti wa ugonjwa wa akili mkuu!!
Hao uliotaja sijaona kama wana ugonjwa wa akili. Mtu kua na mtazamo tofauti na wako/wenu ndio uuite ugonjwa wa akili??

Mwizi ni mgonjwa wa akili?? Fisadi ni mgonjwa wa akili?? Wote hao hawatembei uchi lakini matendo yao yanaleta madhara kwa wengine( na huenda wao wanaona wanachofanya ni sawa na ni haki kwao).

Ni mitizamo tu ndgu yangu, kama unaona si sawa basi usifanye na kemea kwa nafasi yako. Kama unaona ni sawa fanya tu.
 
Aisee, daah, sawa bhana. Daah, pesa nyingi sana hiyo. Umenifanya nimeheshimu sana aliyeniletea dume mwingine hapa majuzi, daa..
 
Asante mkuu
Kila kitu unaposaini hapo unakuwa binding contract na ukikiuka sheria itakubana

Wataelewa ingawa wengi hawafuatilii sana mambo mengi
 
Sasa gharama zote za nini si ubebe tu wanaolala nje
 
Asante sana kwa maoni, ila hayo ni mawazo yako binafsi.
Kwenye kurutubisha yai lazima mbegu zangu zihusike kurutubisha yai la huyo mwanamke atakae kua tayari, hivyo huyo mtoto ni damu yangu.
Duuuh[emoji848]

Hivi we jamaa uko sawa kweli

Kuna kitu nadoubt[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
A huge Amen to that my daddy...!!🙏
We all do praying for the best always..!!
Umeshajiandaa na sikukuu natumaini, sivyo..??
 
Mkuu umeleta uzi wako so tegemea kuulizwa maswali mengi....ungekuwa hutaki maswali ungeita watu pm uwaelezee hilo tatizo lako

Nashangaa unakuwa mkali[emoji848]
 
Nimekuja kuuliza hili swali pia

Manake imesemekana wanawake wenyewe wa Jf ni cheap tunajishaua kwenye comments
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji16][emoji16][emoji16]

Maniner wanaume wa jf wana dharau sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…