Anahitajika msichana/mwanamke kwa ajili ya IVF

Anahitajika msichana/mwanamke kwa ajili ya IVF

Ameen naimani weye sio gay Wala lesbian ni mwanandoa kamili unahitaji mtoto Ili mpate faraja kamili ,Mungu awafanyie wepesi mnooo
Hauna haja ya kufikiria kuhusu gay au lesbian, ila angalia mantiki nzima ya tangazo husika.
Baadhi ya watu wanajaribu kulieleza hili jambo kwa hisia bila facts.
Kuna mtu mmoja amejaribu kuuliza kwamba kama kuna yeyote humu anafahamu madhara ya kiafya yanayotokana na IVF kwa mwanamke atakayefanya ili watu wachukue tahadhari ila hakuna aliyejibu.
Bahati mbaya baadhi wamekuja kukashifu, dharau, matusi, kejeli n.k kwa hisia zao binafsi bila kutaja facts yeyote
 
Unanunua mtoto kwa karibu milioni 60 unamtunza mpaka anafikia miaka 18 let say kwa milioni 60 nyingine halafu unamuuza kwenye black market kwa wanao harvest organs kwa milioni 600. Bonge la faida.. Mjini njoo na akili tu vingine vyote vitakuja vyenyewe
Asante sana kwa maoni, ila hayo ni mawazo yako binafsi.
Kwenye kurutubisha yai lazima mbegu zangu zihusike kurutubisha yai la huyo mwanamke atakae kua tayari, hivyo huyo mtoto ni damu yangu.
 
IVF kirefu chake ni In Vitro Fertilization.
IVF ni jambo la kurutubisha kwa kuunganisha mbegu za uzazi za mwanamme na yai la uzazi la mwanamke maabara, baada ya hapo zoezi linalofatia ni kupandikiza ujauzito kwa mwanamke kwa njia ya sindano kisha ujauzito utaendelea kukua kama kawaida kwa mda wa miezi tisa kisha mwanamke atajifungua kawaida.

IVF haihusishi kukutana kimwili kati ya mwanamke na mwanaume bali mwanaume anatoa mbegu kwa kujichua au punyeto na mwanamke anatolewa yai lililopevuka maabara na wataalamu baada ya hapo ndio ujauzito unapandikizwa kwa mwanamke,
Ni njia safi na salama na haihusishi operation kubwa na haina hatari yeyote kwa mwanamke.

Sasa anahitajika mwanamke au msichana katika zoezi hilo,

MALIPO
Moja malipo ni milioni 25 ambayo yatasainiwa kisheria mahakamani na ustawi wa jamii.
Pili kila mwezi atalipwa milioni moja kama malipo ya motisha kwa mda wa miezi tisa ya ujauzito, malipo hayo ni nje ya ile milioni 25.
Tatu kila siku atalipwa elfu ishirini kama gharama ya chakula kulea mimba kwa mda wa miezi tisa ya ujauzito.
Nne atalipwa shilingi elfu hamsini kila siku kama gharama ya chakula baada ya kujifungua kwa mda wa mwaka mmoja kipindi ananyonyesha.
Tano gharama zote za hospital kwa mama kipindi cha ujauzito, mama na mtoto baada ya kujifungua zitagharamiwa na baba wa mtoto/watoto

MASHARTI
Moja ujauzito utalelewa sehemu aliyopo baba wa watoto.
Mbili hauruhusiwi kisheria kutangaza kwa mtu yeyote kama una ujauzito labda wazazi wako tu, na wazazi wakiambiwa nao wataelimisha kuhusu hili sharti.
Tatu baada ya kujifungua, mtoto/watoto wakifikisha mwaka mmoja utawakabidhi kwa baba yao.
Nne baada ya kukabidhi mtoto/watoto hautoruhusiwa kisheria na kibinadam wewe ndugu zako au rafiki zako kuwaona mtoto/watoto kwa namna yeyote kipindi chote cha maisha yenu hapa duniani.
Tano hautoruhusiwa kuwa na mahusiano ya aina yoyote na baba wa watoto kabla na baada ya kujifungua mtoto/watoto.
Sita awe tayari kulea ujauzito akiwa jijini dar es salaam.

SIFA ZA MWANAMKE/MSICHANA ANAEHITAJIKA.
Moja awe na afya nzuri, asiwe na magonjwa ya akili, pili asiwe na magonjwa ya zinaa ikiwemo ukimwi.
Pili awe mtanzania kutoka kabila na dini yeyote.
Tatu awe mrefu, mrefu sana atapewa upendeleo.
Nne awe mwembamba, akiwa mnene isiwe unene mkubwa sana.
Tano awe na umri wa kati ya miaka 25 hadi 35.
Sita awe mweupe au maji ya kunde asiwe mweusi sana.

Asanteni.
Pia kwa mwana Jamii Forum mwenye ndugu, rafiki au jirani mwenye hizo sifa naomba mnisaidie kusambaza hili tangazo.
Asante tena.

Vigezo na masharti kuzingatiwa
Wewe umekosea. Unachohitaji ni surrogate mother ambaye anatungishwa mimba kwa njia ya IVF. Muwe mnauliza kabla ya kukimbilia kuandika na kupotosha watu na meseji zisizoeleweka
 
Hahahaha i need money lkn after letting the baby go i will sufer mpk niingie kaburini au nipewe back the kid and the 25m will be used kunitibu
Itakua hujawah kupitia masaibu ya ulimwengu cos km kila unachokutana nacho unabeba kichwan asa utakua unaish maisha gan,learn to let go of some stuffs mamii
 
Kwamba bado hajapatkana tu Mkuu au unachuja uko PM
Watu wamenipa ushirikiano mzuri PM ndugu ila bado sijahitimisha kwa mtu mmoja sababu kuna ambao nasubiri picha zao n.k,
ilikua leo usiku ndio iwe mwisho wa mimi kusoma na kujibu ujumbe wowote mpya kwenye hili tangazo na PM,
ila sasa nitahitimisha kusoma na kujibu ujumbe wowote mpya kwenye hili tangazo na PM jumapili usiku ili kuwapa nafasi watu wengine waone hili tangazo weekend.
 
IVF kirefu chake ni In Vitro Fertilization.
IVF ni jambo la kurutubisha kwa kuunganisha mbegu za uzazi za mwanamme na yai la uzazi la mwanamke maabara, baada ya hapo zoezi linalofatia ni kupandikiza ujauzito kwa mwanamke kwa njia ya sindano kisha ujauzito utaendelea kukua kama kawaida kwa mda wa miezi tisa kisha mwanamke atajifungua kawaida.

IVF haihusishi kukutana kimwili kati ya mwanamke na mwanaume bali mwanaume anatoa mbegu kwa kujichua au punyeto na mwanamke anatolewa yai lililopevuka maabara na wataalamu baada ya hapo ndio ujauzito unapandikizwa kwa mwanamke,
Ni njia safi na salama na haihusishi operation kubwa na haina hatari yeyote kwa mwanamke.

Sasa anahitajika mwanamke au msichana katika zoezi hilo,

MALIPO
Moja malipo ni milioni 25 ambayo yatasainiwa kisheria mahakamani na ustawi wa jamii.
Pili kila mwezi atalipwa milioni moja kama malipo ya motisha kwa mda wa miezi tisa ya ujauzito, malipo hayo ni nje ya ile milioni 25.
Tatu kila siku atalipwa elfu ishirini kama gharama ya chakula kulea mimba kwa mda wa miezi tisa ya ujauzito.
Nne atalipwa shilingi elfu hamsini kila siku kama gharama ya chakula baada ya kujifungua kwa mda wa mwaka mmoja kipindi ananyonyesha.
Tano gharama zote za hospital kwa mama kipindi cha ujauzito, mama na mtoto baada ya kujifungua zitagharamiwa na baba wa mtoto/watoto

MASHARTI
Moja ujauzito utalelewa sehemu aliyopo baba wa watoto.
Mbili hauruhusiwi kisheria kutangaza kwa mtu yeyote kama una ujauzito labda wazazi wako tu, na wazazi wakiambiwa nao wataelimisha kuhusu hili sharti.
Tatu baada ya kujifungua, mtoto/watoto wakifikisha mwaka mmoja utawakabidhi kwa baba yao.
Nne baada ya kukabidhi mtoto/watoto hautoruhusiwa kisheria na kibinadam wewe ndugu zako au rafiki zako kuwaona mtoto/watoto kwa namna yeyote kipindi chote cha maisha yenu hapa duniani.
Tano hautoruhusiwa kuwa na mahusiano ya aina yoyote na baba wa watoto kabla na baada ya kujifungua mtoto/watoto.
Sita awe tayari kulea ujauzito akiwa jijini dar es salaam.

SIFA ZA MWANAMKE/MSICHANA ANAEHITAJIKA.
Moja awe na afya nzuri, asiwe na magonjwa ya akili, pili asiwe na magonjwa ya zinaa ikiwemo ukimwi.
Pili awe mtanzania kutoka kabila na dini yeyote.
Tatu awe mrefu, mrefu sana atapewa upendeleo.
Nne awe mwembamba, akiwa mnene isiwe unene mkubwa sana.
Tano awe na umri wa kati ya miaka 25 hadi 35.
Sita awe mweupe au maji ya kunde asiwe mweusi sana.

Asanteni.
Pia kwa mwana Jamii Forum mwenye ndugu, rafiki au jirani mwenye hizo sifa naomba mnisaidie kusambaza hili tangazo.
Asante tena.

Vigezo na masharti kuzingatiwa
mkuu hii huduma naweza kuipata kutoka hospitali gani?
 
The point sio IVF lasivyo angebebana na mkewe kimya kimya wakafanya,
The point is mtu atoe mtoto wake (yai lake) tena eti amlee mwaka mzima halafu amuachie,
People just have questions which he refuses to answer so tunabaki na viulizo wengine tumejiundia majibu yetu,
Mfano kakataa kusema kama hata ana huyo mke ndomana me nimewaza labda ni mwana upinde anataka mtoto sa sijui watu wanatoa wapi huruma kwani kasema ana shida!
Kuna watu mnahukumu aise🙌..wewe unaweza kuexpose matatizo yako magumu kwa kila mtu?? Ndo maana alikua anasema ukiendda pm atakufafanulia...hivi kwani yeye hizo60m hazimuumi?? Dah...hii nchi🙌
 
Kuna watu mnahukumu aise🙌..wewe unaweza kuexpose matatizo yako magumu kwa kila mtu?? Ndo maana alikua anasema ukiendda pm atakufafanulia...hivi kwani yeye hizo60m hazimuumi?? Dah...hii nchi🙌
Kuuliza kwanini anafanya hiki kitu ndo kuhukumu??
Kukisia sababu ni kuhukumu??
Yeye kusema ana mke ni kuji expose matatizo??
Well yes kama ni upinde na hana mke atakuwa anaji expose otherwise I don't see the problem with him mentioning the wife.
Na kama wife yupo doesn't make sense why huyo mbeba mimba alee mtoto for a year!
Inshort maswali ni mengi, kama hataki maswali asingepost kwenye forum,
Hata hivyo nishamalizana naye maswali

BTW una uhakika yuko genuine au unaonea huruma 60M za kufikirika 😏
 
Kuuliza kwanini anafanya hiki kitu ndo kuhukumu??
Kukisia sababu ni kuhukumu??
Yeye kusema ana mke ni kuji expose matatizo??
Well yes kama ni upinde na hana mke atakuwa anaji expose otherwise I don't see the problem with him mentioning the wife.
Na kama wife yupo doesn't make sense why huyo mbeba mimba alee mtoto for a year!
Inshort maswali ni mengi, kama hataki maswali asingepost kwenye forum,
Hata hivyo nishamalizana naye maswali

BTW una uhakika yuko genuine au unaonea huruma 60M za kufikirika 😏
Tunapenda maoni na ushauri ndugu,
ila usimtuhumu mtu usiyemjua vitu vya uongo na uzushi kwa hisia zako binafsi.
Hilo jambo nilishakwambia ni hiari sio lazima sasa sioni sababu ya wewe kuendelea kuandika vitu visivyo na ukweli kwa hisia zako binafsi.
Hayo mambo ya upinde, mke n.k hayana mahusiano na hili tangazo.
Kama kukosoa ni vizuri ukakosoa jambo la IVF general kama lina kasoro, ila sio unafanya personal attack kwa kashfa na uzushi kwa mtu ambaye humfahamu na haujawai kumuona pia hajakuomba msaada wowote.
 
Tunapenda maoni na ushauri ndugu,
ila usimtuhumu mtu usiyemjua vitu vya uongo na uzushi kwa hisia zako binafsi.
Hilo jambo nilishakwambia ni hiari sio lazima sasa sioni sababu ya wewe kuendelea kuandika vitu visivyo na ukweli kwa hisia zako binafsi.
Haya mambo ya upinde, mke n.k hayana mahusiano na hili tangazo.
Kama kukosoa ni vizuri ukakosoa jambo la IVF general kama lina kasoro, ila sio unafanya personal attack kwa kashfa na uzushi kwa mtu ambaye humfahamu na haujawai kumuona pia hajakuomba msaada wowote.
Haina uhusiano na tangazo?? huyo anayeenda kugawa mtoto ambaye hajui anagawa kwa nani naye mwendawazimu
Naona ume comment hapo kuna zoezi la kutumia picha sasa dada zetu pisi kali ndefu nyeupe zitume tu picha kwa mtu hawajam study, haya maswali ni ya kukusoma mkuu
Again sijatahumu niliuliza

BTW Tushamalizana si nimekwambia all the best 😪
 
Haina uhusiano na tangazo?? huyo anayeenda kugawa mtoto ambaye hajui anagawa kwa nani naye mwendawazimu
Naona ume comment hapo kuna zoezi la kutumia picha sasa dada zetu pisi kali ndefu nyeupe zitume tu picha kwa mtu hawajam study, haya maswali ni ya kukusoma mkuu
Again sijatahumu niliuliza

BTW Tushamalizana si nimekwambia all the best 😪
Asante kwa maoni ndugu,
ila tangazo lina kipengele cha malipo, masharti na sifa za mwanamke anayehitajika.
Hivyo ataeona inafaa atakuja PM ataeona haifai atakaa kimya kwa sababu sio lazima bali ni hiari.
Najua hii ni forum kila mtu ana haki ya kuchangia na kukosoa lakini tangazo linapokua na hiari bila ulazima tujifunze kuheshimu pia
 
Haina uhusiano na tangazo?? huyo anayeenda kugawa mtoto ambaye hajui anagawa kwa nani naye mwendawazimu
Naona ume comment hapo kuna zoezi la kutumia picha sasa dada zetu pisi kali ndefu nyeupe zitume tu picha kwa mtu hawajam study, haya maswali ni ya kukusoma mkuu
Again sijatahumu niliuliza

BTW Tushamalizana si nimekwambia all the best 😪
Wape mtoto bana wacha neno hiyo
 
Back
Top Bottom