Anaitwa Queen of Darkness ndie awapae nguvu za Giza wasanii wakubwa

Anaitwa Queen of Darkness ndie awapae nguvu za Giza wasanii wakubwa

Ndio maana sishangai vyuo vikuu kukuta mtu kakata gogo halafu akasepa bila kuflash.
True kwa sababu ya familia aliyokulia,sasa kijijini mtu anakata gogo porini kwenye nyasi anasepa atawezaje kuflash akija mjini
 
Huyo ni gwiji kwenye hayo mambo ya mitindo. Sema yeye na mumewe kama mazombi vile.
 
We uoni maudhui ya music ni kumtukuza zaidi shetani.
Music una nini zaidi ya ngono,pombe,Bata,ugomvi,kukaa uchi.
Ni Dili shetani ananufaika kwa kumsaidia kuibomoa jamii n wewe una nufaika kwa kupata pesa.Ni dirty game.
Yeah sure
 
Mafasheni yao Yale ya kichawi chawi au mamiziki yao Yale ya nguo nyeusi mziki hauna maana lakini unawika huyu bibi ndo ana boost.
So hawa wakina madale kwenda bagamoyo sio ajabu ndo music ulivyo.
Kwa sababu music ni ibada, music unabadili tabia za watu, music ni ujumbe
Hivi nyie walokole jamani walokoleeeee mkoje nyinyi?
 
We uoni maudhui ya music ni kumtukuza zaidi shetani.
Music una nini zaidi ya ngono,pombe,Bata,ugomvi,kukaa uchi.
Ni Dili shetani ananufaika kwa kumsaidia kuibomoa jamii n wewe una nufaika kwa kupata pesa.Ni dirty game.
Yeah
 
Hivi nyie walokole jamani walokoleeeee mkoje nyinyi?
Chukua hio Tomaso mcheki ndugu yako huo soon atapididiwa ili awe juu ndo ujue who own music.
 

Attachments

  • Screenshot_20250228_092410.jpg
    Screenshot_20250228_092410.jpg
    372.2 KB · Views: 1
Kuna watu wanajiulizaga zile nguo za ajabu ajabu za wasanii katika majukwaa na safari za kimataifa wanazitoaga wapi au wanaiga wapi? Ukweli ni kwamba fani ya mitindo kidunia ni kati ya fani zilizotawaliwa mno na nguvu za g!za(kuz!mu)

Pichani ni mwanamitindo mwenye nguvu zaidi ulimwenguni Michele Lamy raia wa Ufaransa. Huyu bibi kwa jina jingine anaitwa "Hollywood Witch with black fingers".

Lamy ndio mwanamitindo mwenye nguvu zaidi ulimwenguni na ndio anayewavisha mastaa wakubwa zaidi ulimwenguni. Page hii maarufu zaidi kwa sasa tz "Dunia Ina Mambo" imefatilia kwa kina kukupa haya usiyoyajua. Anatajwa kama mwanamitindo mwenye mafanikio makubwa zaidi ulimwenguni ambaye pia amewahi kukiri hadharani kwamba HAMUAMINI MUNGU.

Kiufupi huyu ni moja ya mawakala wakubwa wa jumuiya za siri na kila msanii anayekatiza katika mikono yake lazima nyota yake iwake kwelikweli duniani kote. Taarifa zaidi kuhusu maisha yake nmekuekea link hapo chini kwenye comments

Baadhi ya wasanii waliopita mikononi mwake ni Kim Kadarshian, Travis Scott, Usher Raymond, P. Diddy, Cardi B nk

Kimsingi mikataba mingi ya umaarufu wanayopitia wasanii maarufu ulimwenguni ina mambo ya siri ya kutisha nyuma ya pazia, umaarufu sio rahis na kwa upande mwingine ni hatar!

Mabrand makubwa yote ulimwenguni ya mitindo yanahusishwa na mambo ya giza, kwa wale mnaopenda mabrand bila kujua fuatilieni mtakuja kunishukuru

Kanye West aliwahi kukiri mikataba hiyo ya umaarufu na utajiri huusisha kuuza nafs! zao.

Inatisha aisee
Huyu bibi ni noma kwenye mambo yetu Yale ya usiku ana mabogidiwasionekana.
Wasanii wetu wawahi kwake wakachukue upako watoboe

Picha zaidi kwenye comments

T
 
Kwan kipofu uyaoni kwenye tv
Manini hayo?

Mimi sijui na sioni nataka unithibitishie hilo maana Tanzania sisi ni mabingwa wa kutengeneza conspiracy theories sana....

Ukiwa na pesa waliofeli watakuita freemason....

Ukiwa na fame kubwa utaambiwa ni devil worshiper

Yaani kiufupi watu wanataka uishi kama wanavyo taka wao...

Kuna kipindi Nasibu alijua kwamba asilimia kubwa ya wabongo ni wajinga na wapumbavu hivyo kwa sababu naye anapenda kutrend akawa anavaa nguo nyeusi na gloves nyeusi basi kila page za udaku na watu wavivu kufikiri wanampeleka mjini utasikia ni masonic yule huoni hata mavazi yake....

Usiingie kwenye huo mtego unless uwe unaweza kuthibitisha hilo....

Tutafute life tu mkuu tuachane na haya makasiriko ya kuhisi kila ambaye ana fame, kila ambaye anafanya kazi na Fulani basi ni masonic...

Maisha sio rahisi hivyo na ukiangalia majority ambao tunakomaa sana na hizo story ni sisi watu wenye kipato cha chini kwa sababu huwa tunatumia kama execuse na sehemu ya kujifariji kwa kutokuwa na good life kama wao.
 
We uoni maudhui ya music ni kumtukuza zaidi shetani.
Music una nini zaidi ya ngono, uchawi, ishara za mason ic tupu,pombe,Bata,ugomvi,kukaa uchi.Hii miziki yao wewe una gain nini cha kushape mind yako kwa mfano zaidi ya uchafu na kuua tu brain yako I think negative
Ni Dili shetani ananufaika kwa kumsaidia kuibomoa jamii n wewe una nufaika kwa kupata pesa.Ni dirty game.
Pumbavu!
 
Kuna watu wanajiulizaga zile nguo za ajabu ajabu za wasanii katika majukwaa na safari za kimataifa wanazitoaga wapi au wanaiga wapi? Ukweli ni kwamba fani ya mitindo kidunia ni kati ya fani zilizotawaliwa mno na nguvu za g!za(kuz!mu)

Pichani ni mwanamitindo mwenye nguvu zaidi ulimwenguni Michele Lamy raia wa Ufaransa. Huyu bibi kwa jina jingine anaitwa "Hollywood Witch with black fingers".

Lamy ndio mwanamitindo mwenye nguvu zaidi ulimwenguni na ndio anayewavisha mastaa wakubwa zaidi ulimwenguni. Page hii maarufu zaidi kwa sasa tz "Dunia Ina Mambo" imefatilia kwa kina kukupa haya usiyoyajua. Anatajwa kama mwanamitindo mwenye mafanikio makubwa zaidi ulimwenguni ambaye pia amewahi kukiri hadharani kwamba HAMUAMINI MUNGU.

Kiufupi huyu ni moja ya mawakala wakubwa wa jumuiya za siri na kila msanii anayekatiza katika mikono yake lazima nyota yake iwake kwelikweli duniani kote. Taarifa zaidi kuhusu maisha yake nmekuekea link hapo chini kwenye comments

Baadhi ya wasanii waliopita mikononi mwake ni Kim Kadarshian, Travis Scott, Usher Raymond, P. Diddy, Cardi B nk

Kimsingi mikataba mingi ya umaarufu wanayopitia wasanii maarufu ulimwenguni ina mambo ya siri ya kutisha nyuma ya pazia, umaarufu sio rahis na kwa upande mwingine ni hatar!

Mabrand makubwa yote ulimwenguni ya mitindo yanahusishwa na mambo ya giza, kwa wale mnaopenda mabrand bila kujua fuatilieni mtakuja kunishukuru

Kanye West aliwahi kukiri mikataba hiyo ya umaarufu na utajiri huusisha kuuza nafs! zao.

Inatisha aisee
Huyu bibi ni noma kwenye mambo yetu Yale ya usiku ana mabogidiwasionekana.
Wasanii wetu wawahi kwake wakachukue upako watoboe

Picha zaidi kwenye comments

Ujinga umeutoa X/Twitter umeuleta huku.
 
Back
Top Bottom