Ananiambia nijipange kwao Mahari huwa ni kubwa. Nimempa assignment

Nasema hivii :Huna lolote! It's either hauna hela kama unavojigamba,au wewe ni mbinafsi sana!Mnajidai mmesoma halafu elimu yenu haiwasaidii kufit kwenye jamii[emoji15]Angekuwa dada yako ungekuwa unapayuka hivyo?Mahali zilikuwepo ,zipo na zitaendelea kutolewa.Kama nyie wasomi mavi mnadhani hazina umuhimu hameni kwenye jamii zenu,mhamie pengine mkaaanzishe jamii mpya na msitoze mahali watoto wenu watakapozaliwa.Lakini as long as mnaishi kwenye makabila hayahaya ya Tz,mahali mtatoa,au mpoteze heshima.Mkwe ambaye hajatoa mahali si mkwe.NAKUULIZA,kwa ubinafsi huo utaweza kutunza familia?Hovyo
 
Mmmmmh!?!? Eeheehe! Mmmh!? hiki ulichoandika atakuelewa mtu aliye jengwa kiakili katika miaka ya 80's na wachache katika nyakati hizi walahi vile tena ukizingatia hivyo viwango vya mahali vyenyewe, maana navyoona inaitajika Imani tu kuamini kwamba nikilipa mahaliali basi inaonesha naweza kummuda mke na watoto
 
Kwenye hii Dunia ya Sasa,mzazi kutaja mahari zaidi ya milioni ni kama unataka mwanao azalie nyumbani.

Kuna wazazi Wana tamaa kiasi kwamba anamwona mwanae wa kike Kama bidhaa ya thamani itakayogombaniwa sokoni Kisha auze kwa Bei mbaya.
Na wakati wahuni wanaigalagaza Kwa 20k, 50k tu alafu mahali iwe milioni na usheee si Bora tuendelee Kuila Kwa 20k maramojamoja
 
Maneno ya kishenzi yalojaa ushuzi humshushia mtu thamani, mwanamke mdomo wake ulimponza

Anapromoti mahali ili mitaa imseme kua ye ni super wa familia , dawa yao ni kubadilika tu.
 
WW komaa na msimamo wako hivohvo. Wnataka hela nyingi za mahari afu ukioa yanakua mizigo tu ndani....Mimi sitachkua mia kwa mkwe wangu, inshalah
 
Sawa lakin isipangwe na mwolewaji,mwanamke hawezi kukaa anarudiarudia jambo ili kukuvuta nawe ukaingia King, tofautiana nae ili ajue kuna mambo kibao ya kufanya baada ya mahali
 
uwiiiiii nongwa nongwa nongwa hwangue nongwa huno!

alisikika Mbena mmoja aliye ugigida ughimbi!
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Wavulana bado mna mengi ya kujifunza.

Kazi yenu kuu ni ujuaji na ubishi usio kuwa na mbele wala nyuma.

Yani mtu kama wewe kuwa na mke ni matusi kwa taasisi ya ndoa.

Shenzi kabisa!
Acha hasira, usitake kila mmoja awe mburura kama wew, system ya maisha ina vitu kibao vinavyopaswa kufanyika baada ya mahali, mwanamke awaset wazee ili kukupiga nawe uingie mzima mzima?
 
Mahari sio mtaji
Mahari ni shukrani ya heshma
Hivi unadhani wewe ungekuwa na hela kama Mo ungepewa mahari wewe ungifanyia nini kama ni shukrani ya heshima?

Mahali hupokea familia duni na watu maskini, Nina dada lakini najiuliza ikitokea anaolewa hiyo maari itanisaidia nini au heshima ipi unayoisema nitaipa
 
Yani mahari nayo ni mapambano asee
 
Yaani we ndo punguani kweli,tena watu km nyie ndo huwa mnajazana kwa Mwamposa na sadaka zenu za kujimaliza,eti mahari ni km sadaka ili ubarikiwe,ubarikiwe nn sasa!! Kwmb binti ambae ni yatima baraka zitatolewa na nani?!
Acheni kuzeeka na ujinga wa kurithi huo,badilikeni
 
Yaani we ndo punguani kweli,tena watu km nyie ndo huwa mnajazana kwa Mwamposa na sadaka zenu za kujimaliza,eti mahari ni km sadaka ili ubarikiwe,ubarikiwe nn sasa!! Kwmb binti ambae ni yatima baraka zitatolewa na nani?!
Acheni kuzeeka na ujinga wa kurithi huo,badirikeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…