Unamgaslight jamaaa tu.. We huwa unakubaliana na kila unachoambiwa?
Kwanza mm naamini Mahari kama hizo ni human trafficking. Hata watumwa walikua hawauzwi bei hio.
Unalipa mahari yote hiyo alafu mtu akiingia ndani achague nn cha kufanya mara anune mara nn.
Uanaume sio kuvumilia ujinga na kukubali anything tu. Mwanaume ni yule anaejipenda na kuchagua kile anaona ni sahihi kwake. Shida enu mnajionaga mayai sana.
Nowdays men wanafata Value.. Value gani unaleta nyumbani kwangu.
Well said!Ungejua nafasi yako kama mwanaume unayetegemea kuanzisha familia itakayokutegema kama mkuu wa kaya kuna vitu ungevitazama kwa jicho la tofauti sana.
Yaani umemchambua binti watu kiasi hicho!? Hapo kisa sio mahari tuu! Hayo maneno yameonyesha ulivyo na roho chungu na mbinafsi.
Kama hakufai si umwache? Au ukiambiwa umwoe bila mahari ndio unamwona mwanamke bora??
Tafuta wakubwa wakueleze maana ya mahari watakuambia Mahari ni kipimo cha kujua kama mwanaume yuko tayari kubeba jukumu la ndoa na familia.
Halafu ukiwa mwanaume ukapangiwa mahari kitendo cha kuikubali tuu ni alama tosha kwamba wewe ni mwanaume mwenye kujielewa, mpambanaji na mpiganaji. Mahari unaweza kulipa yote mahari unaweza lipa kwa awamu.
Halafu, Kama mahari imekushinda utaweza kulea mke na watoto?
Wenyeji wa wapi huko kwenye hizo mila[emoji2]Sijui, mila yao ndiyo hiyo,ukila mahari na ndoa imekushinda hauondoki hadi uzae tena wa kiume.
Mwamba ametisha kwakweliAs a woman namuonea huruma huyo dada. Mahari kweli ni kubwa ila kuwa na mwanaume anakwambia kabisa nenda wakuoe sijui sitoi mahari aisee mimi nisingegeuka.
Ila mtoa mada, ni kwamba hutaki kabisa kutoa mahari hata ingekuwa laki? Umetisha [emoji23]
Una uhakika ni watu wa kaskazini ndio wamemtajia hio mahari[emoji849]
[emoji23][emoji23]Ukimpa mimba unaoa bure sema vijana wa siku hizi hamjiongezi
Mke ni nini kwanza? Siku hizi kuna hawala permanent tuuu.Unataka mke wa Bure?
Poor Africans
Mama D, umeandika kama mama kabisa....huko kwa ground mambo ni mazitoo mnooUkikua utajua
Sasa soma tuu utulie
Piga mimba chukua aje akae kwako.Ukimpa mimba unaoa bure sema vijana wa siku hizi hamjiongezi
Akikua ataelewa😍😍😍Mama D, umeandika kama mama kabisa....huko kwa ground mambo ni mazitoo mnoo
Hahahahaa niliitumia hiii,nilimuunyosha Baba mkwe.Nilipiga ya kwanza akakaza mwanae hatakii nimchukue! Nikaona mi Mgoni Toka Natal region SA Sina vita ndogoo. Nikampiga Cha pili manzi yangu! Hatariii Baba alinimwambia mwenyewe nenda huko kwa Ntu Yako.Ukimpa mimba unaoa bure sema vijana wa siku hizi hamjiongezi
Hizi siri haziletwagi huku mdogo wangu.Nilishampa mimba mara mbili akatoa. Sina wasiwasi. Na nlishamwambia aondoke kama anaona bila mahari hawezi kuishi nami. Hajaondoka.
Ulichoandika kinaweza kuwa na ukweli ndani lakini mahari ya 6m ukiingiza shamba ndani ya miaka mitatu inaeza kukuingizia more than 20m sasa huyo mwanamke hela yote ya nini na kuachana ni bure tu yaani akijisikia tu kukuacha anakuachaUngejua nafasi yako kama mwanaume unayetegemea kuanzisha familia itakayokutegema kama mkuu wa kaya kuna vitu ungevitazama kwa jicho la tofauti sana.
Yaani umemchambua binti watu kiasi hicho!? Hapo kisa sio mahari tuu! Hayo maneno yameonyesha ulivyo na roho chungu na mbinafsi.
Kama hakufai si umwache? Au ukiambiwa umwoe bila mahari ndio unamwona mwanamke bora??
Tafuta wakubwa wakueleze maana ya mahari watakuambia Mahari ni kipimo cha kujua kama mwanaume yuko tayari kubeba jukumu la ndoa na familia.
Halafu ukiwa mwanaume ukapangiwa mahari kitendo cha kuikubali tuu ni alama tosha kwamba wewe ni mwanaume mwenye kujielewa, mpambanaji na mpiganaji. Mahari unaweza kulipa yote mahari unaweza lipa kwa awamu.
Halafu, Kama mahari imekushinda utaweza kulea mke na watoto?
Kwaiyo Wewe unakubali kumlipia mwanamke milion 6 mahari?Ungejua nafasi yako kama mwanaume unayetegemea kuanzisha familia itakayokutegema kama mkuu wa kaya kuna vitu ungevitazama kwa jicho la tofauti sana.
Yaani umemchambua binti watu kiasi hicho!? Hapo kisa sio mahari tuu! Hayo maneno yameonyesha ulivyo na roho chungu na mbinafsi.
Kama hakufai si umwache? Au ukiambiwa umwoe bila mahari ndio unamwona mwanamke bora??
Tafuta wakubwa wakueleze maana ya mahari watakuambia Mahari ni kipimo cha kujua kama mwanaume yuko tayari kubeba jukumu la ndoa na familia.
Halafu ukiwa mwanaume ukapangiwa mahari kitendo cha kuikubali tuu ni alama tosha kwamba wewe ni mwanaume mwenye kujielewa, mpambanaji na mpiganaji. Mahari unaweza kulipa yote mahari unaweza lipa kwa awamu.
Halafu, Kama mahari imekushinda utaweza kulea mke na watoto?