Ananiambia nijipange kwao Mahari huwa ni kubwa. Nimempa assignment

Ananiambia nijipange kwao Mahari huwa ni kubwa. Nimempa assignment

Ungejua nafasi yako kama mwanaume unayetegemea kuanzisha familia itakayokutegema kama mkuu wa kaya kuna vitu ungevitazama kwa jicho la tofauti sana.

Yaani umemchambua binti watu kiasi hicho!? Hapo kisa sio mahari tuu! Hayo maneno yameonyesha ulivyo na roho chungu na mbinafsi.

Kama hakufai si umwache? Au ukiambiwa umwoe bila mahari ndio unamwona mwanamke bora??

Tafuta wakubwa wakueleze maana ya mahari watakuambia Mahari ni kipimo cha kujua kama mwanaume yuko tayari kubeba jukumu la ndoa na familia.

Halafu ukiwa mwanaume ukapangiwa mahari kitendo cha kuikubali tuu ni alama tosha kwamba wewe ni mwanaume mwenye kujielewa, mpambanaji na mpiganaji. Mahari unaweza kulipa yote mahari unaweza lipa kwa awamu.

Halafu, Kama mahari imekushinda utaweza kulea mke na watoto?
Nothing to add, umemaliza Kila kitu
 
Angekuwa mume wangu hata mil 10 angetoa na hata akishindwa angefanya negotiations, SI mtu wa kukata tamaa kirahisi, Mungu akuweke mume wangu
 
Achana nao hao mkuu, njoo nikupe dada yangu bure kabisa hata zawadi hatutaki maana anakunywa gongo, anakula ugoro, kuberi, anavuta bange, shisha na tumbaku ambayo haija chakatwa na anawatoto wanne mkuu tunakupatia wote bureee....[emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu binti inawezekana kabisa nikaachana naye so soon kama hatokuja na majibu sahihi.

Tume date muda kiasi na nlimwambia misimamo yangu toka mwanzo. Anafanya kazi nami nafanya kazi. Hakuna issue ya kupeana pesa. We share. Mimi sihongi hata siku moja. Tunapendana, basi tunakubaliana kupeana mapenzi. Siuzi, Sinunui.

Sasa kwenye mahari ndio ananiambia baba yake alimuoza dada yake kwa Tsh. Mil 4.5 yeye alisema bila mil 6 hamwachii. Nikamwambia itakuwa baba yake alikuwa anatania, mzazi mwenye akili timamu hawezi hata waza hilo neno. Akakasirika kuwa namwambia baba yake hana akili timamu.

Ilileta shida. Mimi nilisisitiza kuwa, baba yake hawezi dai mahari hiyo sababu nahisi atakuwa mzee mwenye akili. Wapumbavu ndio huwa wana hizo tabia. Akakomaa sana kuwa huo ndio ukweli na baba yake ana akili sana tu.

Muda ukaenda imefika seriously kwenda jitambulisha. Now in a serious tone anasema niandae kama Mil. 6, hivi ili hata akishusha basi iwe 5.4

Nlimuuliza hiyo Mil 5 nalipia nini kwake? Je, nimemkuta bikra? Akainamisha kichwa chini. Je, mashine yake ina regulate joto au ni adjustable? Yaani ana nini ambacho ni special kwangu. Akaanza ugomvi nimemdharau, sababu nimeshakaa naye sana kuna ambao wanamuona dhahabu.

Basi nikamwambia it's ok, akaolewe na hao wanaomuona dhahabu. Akanichunia siku 3, nikapanga nguo zake akija azichukue, aondoke. Siku hiyo kaja amefura sana. Nikajua kaja kubeba mizigo yake. Wala. Anataka tuzungumze nilimwambia mimi kiukweli siendi kutoa mahari kwao. Sioni sababu. Kama yupo tayari kuwa nami nitaenda jitambulisha na zawadi nitabeba ila mahari siendi toa. Kama hakubaliani na hilo abebe mizigo yake tu aende.

Sitoi mahari, hilo nimekataa. Mtu nimemkuta ameshachakatwa sana tu. Namtolea mahari iweje? Halafu acha hilo jambo, yaani why nikalipe pesa kwao? Wanawake ambao wapo tayari niwalete home tuishi wengi tu? Yeye ana nini maalum? Nampenda ni kweli, ila siendi mimi mlipia pesa ili kuendelea kulana naye.

Nitatoa zawadi kwa wazazi na ndugu zake. Zawadi si lazima na haina kiwango. But mahari No. Si yeye tu hata mwingine akija. Akitaka tukubaliane kuishi hataki akatafute mwingine.
Mkuu umeonesha dharau ya hali ya juu kwa huyo binti kana kwamba wewe hutokuja kuzaa na kuwa na familia.
Natamani huyo binti apate mwanaume sahihi wa kumuoa.
 
Iwe ng'ombe au iwe cash...kosa ni kwann mwanamke auzwe?
Mimi hata nkiwa bakhresa sitoi hata 100 ya mahari
there is always simple solution to difficult issues......kaa bila kuoa. Kuwa bachela si kosa kisheria. Nenda RITA utapewa hadi cheti cha bachela. You will be a certified bachelor.
Lakini kudhani utaoa mke bila kutoa cho chote huko ni kujidanganya na ujinga wa level ya uprofesa. Endelea kuoa/kubadili machangudoa wa mitaani kila siku. Lakini ujue hata ukitaka kumuoa huyo changu, akikupoleka kwa wazazi wake lazima utalazimika kutoa kitu.
 
Huyu binti inawezekana kabisa nikaachana naye so soon kama hatokuja na majibu sahihi.

Tume date muda kiasi na nlimwambia misimamo yangu toka mwanzo. Anafanya kazi nami nafanya kazi. Hakuna issue ya kupeana pesa. We share. Mimi sihongi hata siku moja. Tunapendana, basi tunakubaliana kupeana mapenzi. Siuzi, Sinunui.

Sasa kwenye mahari ndio ananiambia baba yake alimuoza dada yake kwa Tsh. Mil 4.5 yeye alisema bila mil 6 hamwachii. Nikamwambia itakuwa baba yake alikuwa anatania, mzazi mwenye akili timamu hawezi hata waza hilo neno. Akakasirika kuwa namwambia baba yake hana akili timamu.

Ilileta shida. Mimi nilisisitiza kuwa, baba yake hawezi dai mahari hiyo sababu nahisi atakuwa mzee mwenye akili. Wapumbavu ndio huwa wana hizo tabia. Akakomaa sana kuwa huo ndio ukweli na baba yake ana akili sana tu.

Muda ukaenda imefika seriously kwenda jitambulisha. Now in a serious tone anasema niandae kama Mil. 6, hivi ili hata akishusha basi iwe 5.4

Nlimuuliza hiyo Mil 5 nalipia nini kwake? Je, nimemkuta bikra? Akainamisha kichwa chini. Je, mashine yake ina regulate joto au ni adjustable? Yaani ana nini ambacho ni special kwangu. Akaanza ugomvi nimemdharau, sababu nimeshakaa naye sana kuna ambao wanamuona dhahabu.

Basi nikamwambia it's ok, akaolewe na hao wanaomuona dhahabu. Akanichunia siku 3, nikapanga nguo zake akija azichukue, aondoke. Siku hiyo kaja amefura sana. Nikajua kaja kubeba mizigo yake. Wala. Anataka tuzungumze nilimwambia mimi kiukweli siendi kutoa mahari kwao. Sioni sababu. Kama yupo tayari kuwa nami nitaenda jitambulisha na zawadi nitabeba ila mahari siendi toa. Kama hakubaliani na hilo abebe mizigo yake tu aende.

Sitoi mahari, hilo nimekataa. Mtu nimemkuta ameshachakatwa sana tu. Namtolea mahari iweje? Halafu acha hilo jambo, yaani why nikalipe pesa kwao? Wanawake ambao wapo tayari niwalete home tuishi wengi tu? Yeye ana nini maalum? Nampenda ni kweli, ila siendi mimi mlipia pesa ili kuendelea kulana naye.

Nitatoa zawadi kwa wazazi na ndugu zake. Zawadi si lazima na haina kiwango. But mahari No. Si yeye tu hata mwingine akija. Akitaka tukubaliane kuishi hataki akatafute mwingine.

Kwa iyo hata hela ya salon humpi kisa wote mnafanya kazi? Ndo maana anakubaliana na baba yake mahari iwe kubwa
Afu achaneni nyie hampendani kama unampenda mtu huwez sema kuna wanawake kibao wanataka kuishi naww… ACHANENI [emoji4]
 
there is always simple solution to difficult issues......kaa bila kuoa. Kuwa bachela si kosa kisheria. Nenda RITA utapewa hadi cheti cha bachela. You will be a certified bachelor.
Lakini kudhani utaoa mke bila kutoa cho chote huko ni kujidanganya na ujinga wa level ya uprofesa. Endelea kuoa/kubadili machangudoa wa mitaani kila siku. Lakini ujue hata ukitaka kumuoa huyo changu, akikupoleka kwa wazazi wake lazima utalazimika kutoa kitu.
Wewe ndo akili yako imeishia hapo...sisi malegend tunajua namna ya kufanya kupata wife bure kabisa.
 
Huyu binti inawezekana kabisa nikaachana naye so soon kama hatokuja na majibu sahihi.

Tume date muda kiasi na nlimwambia misimamo yangu toka mwanzo. Anafanya kazi nami nafanya kazi. Hakuna issue ya kupeana pesa. We share. Mimi sihongi hata siku moja. Tunapendana, basi tunakubaliana kupeana mapenzi. Siuzi, Sinunui.

Sasa kwenye mahari ndio ananiambia baba yake alimuoza dada yake kwa Tsh. Mil 4.5 yeye alisema bila mil 6 hamwachii. Nikamwambia itakuwa baba yake alikuwa anatania, mzazi mwenye akili timamu hawezi hata waza hilo neno. Akakasirika kuwa namwambia baba yake hana akili timamu.

Ilileta shida. Mimi nilisisitiza kuwa, baba yake hawezi dai mahari hiyo sababu nahisi atakuwa mzee mwenye akili. Wapumbavu ndio huwa wana hizo tabia. Akakomaa sana kuwa huo ndio ukweli na baba yake ana akili sana tu.

Muda ukaenda imefika seriously kwenda jitambulisha. Now in a serious tone anasema niandae kama Mil. 6, hivi ili hata akishusha basi iwe 5.4

Nlimuuliza hiyo Mil 5 nalipia nini kwake? Je, nimemkuta bikra? Akainamisha kichwa chini. Je, mashine yake ina regulate joto au ni adjustable? Yaani ana nini ambacho ni special kwangu. Akaanza ugomvi nimemdharau, sababu nimeshakaa naye sana kuna ambao wanamuona dhahabu.

Basi nikamwambia it's ok, akaolewe na hao wanaomuona dhahabu. Akanichunia siku 3, nikapanga nguo zake akija azichukue, aondoke. Siku hiyo kaja amefura sana. Nikajua kaja kubeba mizigo yake. Wala. Anataka tuzungumze nilimwambia mimi kiukweli siendi kutoa mahari kwao. Sioni sababu. Kama yupo tayari kuwa nami nitaenda jitambulisha na zawadi nitabeba ila mahari siendi toa. Kama hakubaliani na hilo abebe mizigo yake tu aende.

Sitoi mahari, hilo nimekataa. Mtu nimemkuta ameshachakatwa sana tu. Namtolea mahari iweje? Halafu acha hilo jambo, yaani why nikalipe pesa kwao? Wanawake ambao wapo tayari niwalete home tuishi wengi tu? Yeye ana nini maalum? Nampenda ni kweli, ila siendi mimi mlipia pesa ili kuendelea kulana naye.

Nitatoa zawadi kwa wazazi na ndugu zake. Zawadi si lazima na haina kiwango. But mahari No. Si yeye tu hata mwingine akija. Akitaka tukubaliane kuishi hataki akatafute mwingi
Hawa viumbe wameshafanya hilo tundu mtaji wa maisha sasa hivi
 
Ungejua nafasi yako kama mwanaume unayetegemea kuanzisha familia itakayokutegema kama mkuu wa kaya kuna vitu ungevitazama kwa jicho la tofauti sana.

Yaani umemchambua binti watu kiasi hicho!? Hapo kisa sio mahari tuu! Hayo maneno yameonyesha ulivyo na roho chungu na mbinafsi.

Kama hakufai si umwache? Au ukiambiwa umwoe bila mahari ndio unamwona mwanamke bora??

Tafuta wakubwa wakueleze maana ya mahari watakuambia Mahari ni kipimo cha kujua kama mwanaume yuko tayari kubeba jukumu la ndoa na familia.

Halafu ukiwa mwanaume ukapangiwa mahari kitendo cha kuikubali tuu ni alama tosha kwamba wewe ni mwanaume mwenye kujielewa, mpambanaji na mpiganaji. Mahari unaweza kulipa yote mahari unaweza lipa kwa awamu.

Halafu, Kama mahari imekushinda utaweza kulea mke na watoto?
Je kipimo cha kupima kama mwanamke yupo tayari kuwa mama ni kipi
 
Kwahiyo mke ndio anaokotwa😆😆😆

Kumbe hujui mahari ni nini wala kwanini mahari!? Sasa kaa ujuzwe ndio urudi kutoa hoja

Mahari ni shukrani tena jamii nyingi wanapokea mahari kwa style ya kualika ndugu, jamaa, ukoo, majirani na marafiki Kula na kunywa pamoja wakifurahia kumlea binti yao, kuwatambua mume anayenda kumuoa na familia wanaompokea na kumuaga binti

Sasa wewe endelea kukalia milioni 6 ni pesa nyingi. Tafuteni pesaaaa
shukrani au zawadi ndio mil 6 pesa haitafutwi ili ikatawanywe hovyo, mi sikatai suala la mahari lakini isiwe ya kukomoa
 
Acha uoga nenda kawasikilize watakwambia mahari kiasi gani negotiation si inaruhusiwa jamani[emoji849]Halafu kutoa mahari n lazima sio ombi .
 
there is always simple solution to difficult issues......kaa bila kuoa. Kuwa bachela si kosa kisheria. Nenda RITA utapewa hadi cheti cha bachela. You will be a certified bachelor.
Lakini kudhani utaoa mke bila kutoa cho chote huko ni kujidanganya na ujinga wa level ya uprofesa. Endelea kuoa/kubadili machangudoa wa mitaani kila siku. Lakini ujue hata ukitaka kumuoa huyo changu, akikupoleka kwa wazazi wake lazima utalazimika kutoa kitu.
MSidanganyane huko mlipo, siyo wote wanaoendekeza huo utindiga wa kuwapiga minada mabint zao. Tena wazazi wengine kuondoa nongwa za ndugu wengine wanakwambia wewe waahidi tu kuwa utatoa shughuli inaishia hapo.
Ninyi endeleeni kupangiwa bei za wake zenu, na bint yako na dada yako pangeni kabisa bei zao kabla hamjawaswaga kuwapeleka minadani
 
MSidanganyane huko mlipo, siyo wote wanaoendekeza huo utindiga wa kuwapiga minada mabint zao. Tena wazazi wengine kuondoa nongwa za ndugu wengine wanakwambia wewe waahidi tu kuwa utatoa shughuli inaishia hapo.
Ninyi endeleeni kupangiwa bei za wake zenu, na bint yako na dada yako pangeni kabisa bei zao kabla hamjawaswaga kuwapeleka minadani
sasa unaharisha nini, nend akwa hao wazazi ukaoe burebure, shida iko wapi?
 
Wewe ndo akili yako imeishia hapo...sisi malegend tunajua namna ya kufanya kupata wife bure kabisa.
sasa unacholalamikia na kulialia kuhusu mahari ni nini ikiwa unajua wapi utaoa burebure kama vile unachukua changudoa?
 
Kwahiyo mke ndio anaokotwa😆😆😆

Kumbe hujui mahari ni nini wala kwanini mahari!? Sasa kaa ujuzwe ndio urudi kutoa hoja

Mahari ni shukrani tena jamii nyingi wanapokea mahari kwa style ya kualika ndugu, jamaa, ukoo, majirani na marafiki Kula na kunywa pamoja wakifurahia kumlea binti yao, kuwatambua mume anayenda kumuoa na familia wanaompokea na kumuaga binti

Sasa wewe endelea kukalia milioni 6 ni pesa nyingi. Tafuteni pesaaaa
Watu wa jf bwana, its like we live in a different planet. Kwamba 6m kwenu ni pesa ya mboga tu? Kwamba anayetoa mahari ya 2m na anayetoa ya 10m mmoja ana thamani kuliko mwingine? Sasa kumbe kula na kunywa kushukuru wazazi kwa malezi kuna thamani tofauti?

You guys amuse me!!,
 
Back
Top Bottom