ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Mimi nishakuwa mtu mzima, sio kijana tena. Na nimeshapokea mahari ya mtoto wa kaka yangu, so nina uzoefu kidogo kwenye issues za mahari.Ndio 6M kwakuwa mahari hailipwi yote kwa mara moja unaweza kukubali mahari ya 6M lakini ukaoa na kuishi na mkeo hata miaka 50 na hiyo mahari haijaisha na hakuna kesi mahakamani wala kanisani/msikitini.
Jiamini kijana wangu.
Mahari haimalizwi yote, ila kwa tamaduni yetu kuna vitu ni lazima ulipe ili hiyo mahari ihesabike, sasa 6m unakuja na 1m nani akuelewe.
Watu waweke mambo yaliyoko kwenye uhalisia wa maisha ya wengi. Huwezi kumpa kijana anaanza maisha wazazi hawana uwezo eti alipe 6m, utakuwa hutumii akili, huwatakii watoto wako waanze maisha ya ndoa vizuri. Mahari should be reasonable.
Hata hivyo siafiki mahari kwa mwanamke ambaye hakuwa bikra.