Ndio Hivyo Sasa Hata Ukimpa Pesa Unakua Umempa Raha Sana Pia,,Si Mbaya Wala Dhambi Akapata Raha Mara Mbili Au ZaidiUkimkaza sana unakuwa umemkomoa au umempa raha sana? Mwisho wa siku anayeumia ni mwanaume.
Anayeumia ni huyo ambaye ametumiwa mara 17 ndani ya wiki mbili halafu anaachwa na sms. Ndefu, hakuna watu wanumia kihisiab kama wadada maana kumpata the next available danga si kazi ndogo, naamini mwamba akiamua kutatufa papuchi kali zaidi ya hiyo pisi ni dk 0 tu anaopoa replacement kMkuu,yaan ilitakiwa tu umwambie jibu fupi kuwa huna Hela. Ila kujitetea kote huko na kujifanya unamshauri Kwa meseji ndefuu ila yeye amekujibu Kwa meseji fupi sana ambayo nahisi imekuumiza kihisia kwani amereact positively.
Sawa babe.Sina babe!
Waifu matirio kabisaπ π πHappy hacheki na Wowoteπ
Ila mnajuaga kujipa moyoπ€£π€£Anayeumia ni huyo ambaye ametumiwa mara 17 ndani ya wiki mbili halafu anaachwa na sms. Ndefu, hakuna watu wanumia kihisiab kama wadada maana kumpata the next available danga si kazi ndogo, naamini mwamba akiamua kutatufa papuchi kali zaidi ya hiyo pisi ni dk 0 tu anaopoa replacement k
Wewe ni mpumbafu au ungekua unapata hela kwa njia halali usinge ongea huo ujingaAcha ujinga wa kujiliza maneno kibao mtu kashakuambia toa hela unaanza kuelezea maneno kibao hapo kashakuona wewe ni apeche alolo
Akapewe hela na baba yake.Acha ujinga wa kujiliza maneno kibao mtu kashakuambia toa hela unaanza kuelezea maneno kibao hapo kashakuona wewe ni apeche alolo
ππ Ndio shida ya uongo hioMahusiano wiki 2 umemla mara 17 πππ means kila siku siku 14 na nyongeza 3
Ilitakiwa amwambie jibu fupi SINA HELA na siyo kutoa ushauri.Wewe ndio dhaifu chezea tu hizo nguvu zako kufirahisha wanawake fainali uzeeni
Upo sahihi kabisa kiongozi.Umeandika kitu kikubwa sana ambacho wengi hawataelewa, vijana wanatakiwa wajue mahusiano siku hizi yamebadilika, kuna ya short term, hook up, long term, serious, one night stand, n.k, kwa hiyo wakitongozana ni wajibu kuwekana wazi ili kusitokee sintofaham na majuto huko mbele
Watu wanatakiwa wafunguke na kuona ukwelu halisi. Huyo msichana anayekuomba hela maana yake ameshaona ni biashara inayolipa, hivyo lazima hata ukisema unampa basi kuna wengine nao wanamlipa, kwa kifupi ni msichana duka.Hapa ndio pale unakuta unasema mimi siwezi kutembea na mwanamke anayejiuza,halafu huku unaingia kwenye mtego mwingine,nikupe ngapi kila tukikutana,solution ni kuacha zinaa tu...
Kwa sasa wanaumizwa na mahusiano ni wanawake mkuu sema nyie ndo wazuri wa ku fake life, si unaona huyo hapo kweny sms kaweka kabisa na emoji za kucheka!! Unadhan anacheka kweli? Ana fake tu ili asionekane kaumia ila anajua kulipata next danga ni kipengele.Ila mnajuaga kujipa moyoπ€£π€£