Anaomba Sana Hela, sasa Leo nimemchana

Anaomba Sana Hela, sasa Leo nimemchana

Ukimkaza sana unakuwa umemkomoa au umempa raha sana? Mwisho wa siku anayeumia ni mwanaume.
Ndio Hivyo Sasa Hata Ukimpa Pesa Unakua Umempa Raha Sana Pia,,Si Mbaya Wala Dhambi Akapata Raha Mara Mbili Au Zaidi
 
Alafu akakulamba block chap kwa harakaaa..🤣🤣🤣🤣
 
Aisee, Yaani wewe unajaribu kumfanya shetani awe malaika, wenzio wana wa Israel walikuwa wanazurura tu jangwani kama wehu Kwa miaka kibao wakati kijisehemu ni kidogo cha kufika lakini walizurura kama vichaa, nadhani unataka uwe kama wao. Achana na kahaba Hilo.
 
Mkuu,yaan ilitakiwa tu umwambie jibu fupi kuwa huna Hela. Ila kujitetea kote huko na kujifanya unamshauri Kwa meseji ndefuu ila yeye amekujibu Kwa meseji fupi sana ambayo nahisi imekuumiza kihisia kwani amereact positively.
Anayeumia ni huyo ambaye ametumiwa mara 17 ndani ya wiki mbili halafu anaachwa na sms. Ndefu, hakuna watu wanumia kihisiab kama wadada maana kumpata the next available danga si kazi ndogo, naamini mwamba akiamua kutatufa papuchi kali zaidi ya hiyo pisi ni dk 0 tu anaopoa replacement k
 
Anayeumia ni huyo ambaye ametumiwa mara 17 ndani ya wiki mbili halafu anaachwa na sms. Ndefu, hakuna watu wanumia kihisiab kama wadada maana kumpata the next available danga si kazi ndogo, naamini mwamba akiamua kutatufa papuchi kali zaidi ya hiyo pisi ni dk 0 tu anaopoa replacement k
Ila mnajuaga kujipa moyo🤣🤣
 
Hivi mnapata wapi muda wa kuchati na wajinga kama hao?

Mimi ningemwambia huyo demu, Akamwambie baba yake ampe hela.

Tena mwambie baba yake Alishindwaje kuwa tajiri, Hadi yeye anakuwa ombaomba?

Mwambie akafie mbali.
 
Umeandika kitu kikubwa sana ambacho wengi hawataelewa, vijana wanatakiwa wajue mahusiano siku hizi yamebadilika, kuna ya short term, hook up, long term, serious, one night stand, n.k, kwa hiyo wakitongozana ni wajibu kuwekana wazi ili kusitokee sintofaham na majuto huko mbele
Upo sahihi kabisa kiongozi.
Hizi habari za ku copy mausiano ya zama fulani na kuyang'ang'aniza katika zama hizi ndiyo hzaa haya yote.
Siyo kila mahusiano ni ya kwenda nayo traditional, mambo yamebadilika.
 
Hapa ndio pale unakuta unasema mimi siwezi kutembea na mwanamke anayejiuza,halafu huku unaingia kwenye mtego mwingine,nikupe ngapi kila tukikutana,solution ni kuacha zinaa tu...
Watu wanatakiwa wafunguke na kuona ukwelu halisi. Huyo msichana anayekuomba hela maana yake ameshaona ni biashara inayolipa, hivyo lazima hata ukisema unampa basi kuna wengine nao wanamlipa, kwa kifupi ni msichana duka.
Kuliko kujitwisha mzigo na kujidanganya kuwa ni wake, ni heri ujue gharama zake kila utakapomuhitaji
 
Ila mnajuaga kujipa moyo🤣🤣
Kwa sasa wanaumizwa na mahusiano ni wanawake mkuu sema nyie ndo wazuri wa ku fake life, si unaona huyo hapo kweny sms kaweka kabisa na emoji za kucheka!! Unadhan anacheka kweli? Ana fake tu ili asionekane kaumia ila anajua kulipata next danga ni kipengele.
5 min after hiyo sms msela anaeeza akawa na pisi nyingine kali, lkn inaeza chukua hata mwezi kwa ke kupata replacement danga.
 
Umemuonyesha huyo demu kuwa unazo wacha aendelee kukuvuna, jaribu kuLINDA BRAND.

Usiwe mwepesi wa kuwashobokea wanawake hata kama umemuelewa vipi.

Piga chini huyo jini mpenda pesa ingia field tena udake KIPUSA MPYA,
jifunze kubance SHOBO!!!

Usisahau lazima uwe na choice ni aina gani ya wanawake unawataka, usiwe fisi wewe kila fupa waliparamia.Wanawake unaotaka wewe hakikisha unawajua sio unataka mwanamke asiyeomba hela ila kutwa wewe unatongoza WANAFUNZI na MASINGO MAZA😎

Kama atakuomba pesa tena muombe YAS BY MIX hapo hutasikia tema ukiombwa hela🤗🤗🤗 dawa ya 🔥 ni 🔥🔥🔥

#MARRY X-MASS $ HAPPY NEW YEAR 2025.

#MORE LIFE, MORE PROBLEMS!!!
 
Tunaomba ela km vilema 😀😀😀
Mm nimetoka kuomba muda huu sema mtoto wa mama mkwe Hana baya pia akinmbiaga Hana natulia 😂😂😂
 
Back
Top Bottom