Anaomba Sana Hela, sasa Leo nimemchana

Anaomba Sana Hela, sasa Leo nimemchana

Sahihi kabisa mkuu,
Hii tabia ya kuandika magazeti nilikuwa nayo pia, badae nikagundua ninavyoandika sana, ananichukulia poa na ndezi sana.

Jamaa angeenda simple tu, naomba...Kwa leo sina, naomba 20k...unatuma 10k na kukaa kimya. Hivyo yani.
Babe naomba hela.
 
Sahihi kabisa mkuu,
Hii tabia ya kuandika magazeti nilikuwa nayo pia, badae nikagundua ninavyoandika sana, ananichukulia poa na ndezi sana.

Jamaa angeenda simple tu, naomba...Kwa leo sina, naomba 20k...unatuma 10k na kukaa kimya. Hivyo yani.
Ukiongea sana anajua [mwanamke] unaitaka ila hela huna tena wewe ni mwana Pangu pa kavu ti!!
Bargain kiume na si kutia huruma kwa hivyo, unajua jamaa ameandika kwa hisia kali kiasi kwamba ametengeneza typos za kutosha😂😂
 
Nikwasababu umemroga lee!, mganga wako ni fundi..🤣

halafu mi nikajua huna nilitaka nikuchumbie! hii tunaiitaje sasa ni kimeumana au kimekamatana.??
Wala siwezi kumroga kijana wa watu,. Ni vile tu kila mmoja anacheza nafasi yake vizuri

Wewe umeshachelewa😑
 
Wala siwezi kumroga kijana wa watu,. Ni vile tu kila mmoja anacheza nafasi yake vizuri

Wewe umeshachelewa😑
Mimi siamini kwenye kuchelewa naamini kwenye kuitumia nafasi, tutaonyeshana ufundi wa kuiamsha mizimu!.. ukiona hamuelewani jua kenzy ashaweka vinyamkela vyake kwenye penzi lenu!. si unasikiaga tu hirizi zinazopumua!, jiandae kukutana nazo hii vita imeingia mshawasha!
 
Mimi siamini kwenye kuchelewa naamini kwenye kuitumia nafasi, tutaonyeshana ufundi wa kuiamsha mizimu!.. ukiona hamuelewani jua kenzy ashaweka vinyamkela vyake kwenye penzi lenu!. si unasikiaga tu hirizi zinazopumua!, jiandae kukutana nazo hii vita imeingia mshawasha!
Em jaribu kwanza tuone
 
Huyu demu nimemtongoza hata wiki mbili hakuna tayari matatizo Yake yote ya kifedha amenipa Mimi Leo hili Kesho kile Sasa nimechoka nimeona nimuambie ukweli

View attachment 3183864
Mkuu umejishusha sana vyeo ulivyokua unatoa ushauri, ukiona mwanamke hauendani naye kitabia ni busara zaidi kumpotezea, yeye ndo aandike essay
Mwanaume ukishaanza kuandika essay huku huzingatii vitu muhimu kama paraghaph,vituo na nuncta ....................
 
kuna hii ng'ombe hapa inaokba hela kibabe, sijui inanichukuliaje ila pisi za arusha bana sijui zinavutaga bangi
Screenshot_20241224_131256_Messages.jpg
 
Back
Top Bottom