Anapost wanaume walionunua magari na chattings zao status wakati mimi niko kwenye hali ngumu kiuchumi

Anapost wanaume walionunua magari na chattings zao status wakati mimi niko kwenye hali ngumu kiuchumi

Kutafuta fedha siyo suluhisho bro...solution ni kupata mtu atakayekupenda kwa kila hali na mali...pesa huuisha mzee...what's next si utapitia tena haya..
ndugu hawa jamaa wanapenda PESA na si vinginevyo!
ukiwa na fedha watakwambia sio wanakupendea fedha zako ila kwakuwa unajali na sababu ziko wazi ukiwa na fedha lazima atakuwa na marafiki wenye fedha hivyo network yake itakuwa juu na si kama ulivyomtoa.
hicho ndio kilichopo kwenye sakafu ya MOYO wao!
ukikkosa fedha masimango yao ni bora uchukue mkopo wa kausha damu kwa kuwa kila rafiki yake na anayekutana naye ataambiwa yaani huyu mwanaume michosho tu jasho tu! namlisha namvisha hana chochote!
 
Mdundo wa Netflix unajua
(Dudumuh!)
Mapicha picha yanaanza soon stay wake up bro Tafuta namna yakufanya bro mi sijaoa sina uzoefu na ndoa ila nakushauri tafuta namna ya kushinda janga hilo uku JF utachanganyikiwa bure
 
BABA ALINIAMBIA TOFAUTI NA RAHA YA TENDO LA NDOA.
KITU PEKEE MWANAMKE ANACHOWEZA KUKU OFFER NI MAUMIVU.

YAANI UKIACHA KUMNYANDUA KITU ANACHOWEZA KUKUPATIA PIA NI MAUMIVU.
 
ndugu hawa jamaa wanapenda PESA na si vinginevyo!
ukiwa na fedha watakwambia sio wanakupendea fedha zako ila kwakuwa unajali na sababu ziko wazi ukiwa na fedha lazima atakuwa na marafiki wenye fedha hivyo network yake itakuwa juu na si kama ulivyomtoa.
hicho ndio kilichopo kwenye sakafu ya MOYO wao!
ukikkosa fedha masimango yao ni bora uchukue mkopo wa kausha damu kwa kuwa kila rafiki yake na anayekutana naye ataambiwa yaani huyu mwanaume michosho tu jasho tu! namlisha namvisha hana chochote!
Wee unawajua wanawake. They only think about themselves. Very very selfish hawa viumbe.
Ukifulia ndio utajua tabia ya mkeo kwa kweli. Wao ni kuanglia ndalama tuu
 
BABA ALINIAMBIA TOFAUTI NA RAHA YA TENDO LA NDOA.
KITU PEKEE MWANAMKE ANACHOWEZA KUKU OFFER NI MAUMIVU.

YAANI UKIACHA KUMNYANDUA KITU ANACHOWEZA KUKUPATIA PIA NI MAUMIVU.
Aisee mzee wako alikupa ushauri bomba sana. Kweli he was a dad!
 
Mens niko kwenye ndoa miaka 3,tangu mwaka jana nimekua kwenye hali isiyo nzuri financially,sasa majuzi nacheki status naona wife kapost mwanaume rika langu kanunua ndiga akapost na chattings zao za kupongezana.

Sikuona wivu kwamba jamaa rika langu kavuta chuma mimi sina ila nilifedheheka baada ya kupita kitaa mashost wa wife wanaongea kwa kebehi kwamba "mke wake anapost wanaume wenye magari ilihali mumewe hana" asee nimejikuta nina hasira za ajabu na msongo,natokaje kwenye huu mtego msaada tafadhalini..

Huyo mwanamke si mtu wa subira! na wala si material
-Siwezi kusema umuache No
-Ulivokua unamuoa nadhan ulitambua madhaifu yake?? Ni muhimu kurudia vile viapo vyako kujiweka imara!! Lakin kama n mwelewa ongea nae na picha anayoonesha ikiwezekana ongea nae ujue kama bado anahitaji ndoa au Lah

Kuwa na mwanamke asiye na iman au kuridhika na familia ni hatari sana.

Kama hawezi badilika Basi unaweza ukajizima data ukafanya huoni au husikii! Lakin hapa kwanza lazima uwe umeviapa viapo vyako vy ndoa kwa kuvirudia ndipo unaweza kupata hiyo courage
 
Sasa umeshajua kama jamaa ndio anaishi kwa mwanamke au umejua anaelipa kodi ya pango na matumizi ya nyumbani ni nani anatoa?

Jamaa angekuwa anasimamia nafasi yake haya yasingetokea.. Na hapa inaelekea hali hiyo imesha mtafuna na kumdhoofisha.. Hamtoshelezi mwenzie kimwili wala kiuchumi lazima dharau za reja reja kama hizo ziibuke.

Hapo jamaa ndio ajiachie tu.. Aende chimbo kujitafuta.. Akiforce kukaza kumprove wrong huyo mwanamke atazidi kujimaliza kwa depression ambayo inaweza kusababisha mental issues.. Na maafa.
Kila mwenye mafanikio makubwa Kuna mahali anacho chanzo cha mapenzi makubwa. Huwezi kufanikiwa kama hupendwi. Unahitaji sio wawili au watu.. ila mtu mmoja tu anayekupenda kwa Moyo wake wote.

Ndg yetu Yuko mahali pabaya..na anaweza asifanikiwe hata kidogo...ukiachilia mbali kuwekeza jitihada kubwa kwenye utafutaji. Ni lazima ahakikishe anang'amua ni wapi anapendwa kwanza..kama si nyumbani kwake atawanyike mara Moja
 
Nimesoma kwanzia page ya 1_13 nimepata kitu.

kama huna pesa tani moja na kuendelea usioe.
 
Hukuona shida? HUKUONA SHIDA?

Mpaka hapo deal done huna chako. Hypergamy is in play.
 
Mens niko kwenye ndoa miaka 3,tangu mwaka jana nimekua kwenye hali isiyo nzuri financially,sasa majuzi nacheki status naona wife kapost mwanaume rika langu kanunua ndiga akapost na chattings zao za kupongezana.

Sikuona wivu kwamba jamaa rika langu kavuta chuma mimi sina ila nilifedheheka baada ya kupita kitaa mashost wa wife wanaongea kwa kebehi kwamba "mke wake anapost wanaume wenye magari ilihali mumewe hana" asee nimejikuta nina hasira za ajabu na msongo,natokaje kwenye huu mtego msaada tafadhalini..
huyo ni mke ila siyo mke mwema. ni hatari kwa afya yako
 
Pengine umri wa ninyi kuingia ndoani mmefosi. Au umri uko sawa akili ndo hazijakomaa
 
Hali hii inafanya wanaume wawe mafisadi kwa sababu hizi hizi.. 😁 wanachetusha pesa za kampuni na umma ila naye anunue gari..

Rushwa inaanzia ndani..😁 kijana mdogo mshauri mdogo baby wake anataka gari.. what's next?. 😁
 
Mens niko kwenye ndoa miaka 3,tangu mwaka jana nimekua kwenye hali isiyo nzuri financially,sasa majuzi nacheki status naona wife kapost mwanaume rika langu kanunua ndiga akapost na chattings zao za kupongezana.

Sikuona wivu kwamba jamaa rika langu kavuta chuma mimi sina ila nilifedheheka baada ya kupita kitaa mashost wa wife wanaongea kwa kebehi kwamba "mke wake anapost wanaume wenye magari ilihali mumewe hana" asee nimejikuta nina hasira za ajabu na msongo,natokaje kwenye huu mtego msaada tafadhalini..
Kataa ndoa oyeee
 
Mvumilie tumia hizo hasira kutafuta pesa zako ukishazipata na wewe anakujenga urafiki na wadada wenye biashara zao uwe unawapost status ukiwapongeza akikuuliza muonyeshe hizo post zake za washkaji wenye magari.
 
Mens niko kwenye ndoa miaka 3,tangu mwaka jana nimekua kwenye hali isiyo nzuri financially,sasa majuzi nacheki status naona wife kapost mwanaume rika langu kanunua ndiga akapost na chattings zao za kupongezana.

Sikuona wivu kwamba jamaa rika langu kavuta chuma mimi sina ila nilifedheheka baada ya kupita kitaa mashost wa wife wanaongea kwa kebehi kwamba "mke wake anapost wanaume wenye magari ilihali mumewe hana" asee nimejikuta nina hasira za ajabu na msongo,natokaje kwenye huu mtego msaada tafadhalini..
Wanaokataa ndoa wana hoja wasikilizwe.
 
Back
Top Bottom