Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama anawatoa watoto private kuwaleta Olympio hataweza kodi za Upanga au Kariakoo.Upanga, Posta, K.koo
Kinondoni kumekaaje kwa malezi ya watoto?Kinondoni,magomeni na ,Upanga
Mbagala gari za Olimpio zinafika saa ngapi?Njoo upange Nzasa huku au Mbagala Kwa Mbiku 😂
HahahahaKama anawatoa watoto private kuwaleta Olympio hataweza kodi za Upanga au Kariakoo.
Una uhakika ataweza kulipa hizo apartment wkt ada ya Private School utataUpanga....
Pale ghorofa la UVCCM ....
A je ampe mchanganuo vzr
Duuh acha maskhara mkuu...watoto watachoka sana kutokea huko....Njoo upange Nzasa huku au Mbagala Kwa Mbiku 😂
Lini uliwaona akina "Fateema" wakipanga chumba Kwa mtogole ama manjunju ?!!ha ha haUna uhakika ataweza kulipa hizo apartment wkt ada ya Private School utata
Kubwa hiyo....Regent ,Ada Estate ni tofauti na Kwa mama Zakaria ,Ali Maua ,Kwa Mwinjuma,fundikira na kwa bi nyau....Kinondoni kumekaaje kwa malezi ya watoto?
Ha hahahaha ni kweli,MkuuLini uliwaona akina "Fateema" wakipanga chumba Kwa mtogole ama manjunju ?!!ha ha ha
Sasa umejipatainategemea na Uchumi Wake, Kama Anajiweza Apange Hapo Upanga, Posta au Kariakoo.
ila School Buses za Hizo shule Olympio na Diamond Zinafika Popote Pale Dar es Salaam.
NB; Umenikumbusha Mbali Daah, Hapo Olympio Kuna Jengo Moja Opposite na Shule Ni Ghorofa La Wahindi Ndo Nilikuwa Nalinda Hapo.
Nilikuwa Nanunua Wali Wa Jero Shuleni hapo, Mchana Unapita Hivyo .... Maisha Buana... !!!