Anataka kuwahamishia watoto wake olympio. Walikua shule ya private. Anauliza apange nyumba sehemu gani ili iwe rahisi kwa watoto wake kwenda shule

Anataka kuwahamishia watoto wake olympio. Walikua shule ya private. Anauliza apange nyumba sehemu gani ili iwe rahisi kwa watoto wake kwenda shule

Muhimbili primary nao ni English Medium?
Sina hakika, ila Diamond primary ni English medium, ila shule za mjini nyingi watoto wanaongea kingereza kutokana na mazingira wanayotokea na watoto wanaocheza nao mitaani, nimesoma bunge primary watoto wote wanachapa kimalkia ingawa shule ni ya kiswahili
 
inategemea na Uchumi Wake, Kama Anajiweza Apange Hapo Upanga, Posta au Kariakoo.
ila School Buses za Hizo shule Olympio na Diamond Zinafika Popote Pale Dar es Salaam.

NB; Umenikumbusha Mbali Daah, Hapo Olympio Kuna Jengo Moja Opposite na Shule Ni Ghorofa La Wahindi Ndo Nilikuwa Nalinda Hapo.
Nilikuwa Nanunua Wali Wa Jero Shuleni hapo, Mchana Unapita Hivyo .... Maisha Buana... !!!
Sasa hv ndio ww kusilika wa ikulu au umehamishiwa lindo ulanga
 
Huyo ni kituko.

Haiwezekani anaishi nyumba ya kupanga then akapeleka watoto private school anawatoa huko anaona ni hasara huku akitaka kwenda kupanga karibu na mjini huko mjini kodi zake ataziweza?siyo itafika gharama ile ile akilipia watoto shule binafsi huko alikokuwa akiishi?
Hawa ni wale wasiojitahmini uwezo wanapoanza likitokea la kutokea ana haha na watoto karibu kusomesha watt olmpio pale ni kama open university shule haijaagi mwal mkuu mchaga pesa mbele usisahau na ya kiwi mtoto ufahamu wake kile ni kituo cha mitiha i
 
Hawa ni wale wasiojitahmini uwezo wanapoanza likitokea la kutokea ana haha na watoto karibu kusomesha watt olmpio pale ni kama open university shule haijaagi mwal mkuu mchaga pesa mbele usisahau na ya kiwi mtoto ufahamu wake kile ni kituo cha mitiha i
Mangi katumwa pesa
 
Anataka kuwahamishia watoto wake olympio. Walikua shule ya private. Anauliza apange nyumba sehemu gani ili iwe rahisi kwa watoto wake kwenda shule

Maoni na ushauri wako please

Apange Bombom karibu na Buza, alafu anaingia Vingunguti kwenda Posta, alafu mwambie pumbaf kabisa
 
  • Kicheko
Reactions: apk
Back
Top Bottom