gaspersoftware65
Member
- Aug 6, 2014
- 43
- 21
Sio lazima utumie wa hapo, unaweza chukua vibarua mikoa mingine hasa dom na kigoma ukawapeleka wakafanya kazi yako vizuri tu
Karibu HANDENI utapata mengi tuGreat thinkers.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu in case unafahamu kijiji chochote ambapo mashamba yanapatikana Kwa bei tajwa tujuzane.
Ukitaka mali utaipata shambami. arifhi ni.mtaji. zingatia kutaja sehemu husika Vizuri na namna ya kufika huko..
Kuna mtu alinitajia kuna kibindu njía ya kwenda Tanga baada ya Tuliani. Sehemu nyingine ni miono baada ya msata sijui kama ni kweli
Karibuni
Asanteni.
Mkuu karibu Morogoro Mikese, shamba lipo ukubwa hekari 140, shamba lipo KM 7 kutoka ilipo mizani ya mikese morogoro, barabara inapitika muda wote, shamba limesafishwa na linalimika kwa trektaGreat thinkers.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu in case unafahamu kijiji chochote ambapo mashamba yanapatikana Kwa bei tajwa tujuzane.
Ukitaka mali utaipata shambami. arifhi ni.mtaji. zingatia kutaja sehemu husika Vizuri na namna ya kufika huko..
Kuna mtu alinitajia kuna kibindu njía ya kwenda Tanga baada ya Tuliani. Sehemu nyingine ni miono baada ya msata sijui kama ni kweli
Karibuni
Asanteni.
Huku nakuja mwisho wa Mwezi InshaallahHandeni; nina heka 200; siuzi, ila ukienda fanya utafiti kule utapata!
Naomba nikutafute mkuuKaribu HANDENI utapata mengi tu
Zote mkuu unazitumia au nyingine bado ni pori?Handeni; nina heka 200; siuzi, ila ukienda fanya utafiti kule utapata!
Mkuu hizi zimko kwenye hali gani: ni shamba linalotumika mara kwa mara au bado liko na miti?Nitafute rukwa wilaya ya kalambo kuna heka 150 special kwa mahindi, maharage na mazao mengine bei ni 100000 per heka weka ya udalili 50000 per heka
boss vip, njoo pm mkuuMkuu karibu Morogoro Mikese, shamba lipo ukubwa hekari 140, shamba lipo KM 7 kutoka ilipo mizani ya mikese morogoro, barabara inapitika muda wote, shamba limesafishwa na linalimika kwa trekta
Pwani Mkuranga Kata ya Mkamba mashamba yanapatikana ardhi ina rutuba huitaji mboleaGreat thinkers.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu in case unafahamu kijiji chochote ambapo mashamba yanapatikana Kwa bei tajwa tujuzane.
Ukitaka mali utaipata shambami. arifhi ni.mtaji. zingatia kutaja sehemu husika Vizuri na namna ya kufika huko..
Kuna mtu alinitajia kuna kibindu njía ya kwenda Tanga baada ya Tuliani. Sehemu nyingine ni miono baada ya msata sijui kama ni kweli
Karibuni
Asanteni.
Zote mkuu unazitumia au nyingine bado ni pori?
Huku nakuja mwisho wa Mwezi Inshaallah
Nakumbuka Mimi na mwamwindi tulikuwa na mshamba makubwa kule isimani kabla Nyerere hajamfanyia mwamwindi mabalaa.Njoo Iringa - Ismani umepata na ni KM 40 kutoka mjini iringa
Ungeweka na bei elekeziMkuu karibu Morogoro Mikese, shamba lipo ukubwa hekari 140, shamba lipo KM 7 kutoka ilipo mizani ya mikese morogoro, barabara inapitika muda wote, shamba limesafishwa na linalimika kwa trekta
Bei gan kwa heka?Mkuu karibu Morogoro Mikese, shamba lipo ukubwa hekari 140, shamba lipo KM 7 kutoka ilipo mizani ya mikese morogoro, barabara inapitika muda wote, shamba limesafishwa na linalimika kwa trekta
Wilaya zote ni karibu vijiji vyote,isipokuwa kuna Kijiji Kimoja kinaiwa wotta_Mpwapwa wagumu kuuza.Bei ni kuanzia laki na nusu inategemea na muuzaji.Huko wotta ni watu waliohamia Toka Iringa kutokana na vita vya wajerumani na Wanyalukolo!Asante Dodoma Wilaya gani na kijiji kipi na wanauza Kwa bei Gani?
Bei elekezi kwa shamba lililosafishwa ni 600k kwa heka, hili linalimika muda wote kwa tractor, na sehemu ambayo ni haijasafishwa ni 500k kwa hekaUngeweka na bei elekezi
Mkuu, nilifatilia uzi mmoja ulikuwa uanatililika kuhusu mbuzi.Ungeweka na bei elekezi