gaspersoftware65
Member
- Aug 6, 2014
- 43
- 21
Mkuu hii imekaaje kwa mashamba wanayosema hati za selikari za mtaa pia eka zaidi ya 50.Ardhi ya uwekezaji ni shilingi 50,000/- utapewa mwisho hekari 50
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hii imekaaje kwa mashamba wanayosema hati za selikari za mtaa pia eka zaidi ya 50.Ardhi ya uwekezaji ni shilingi 50,000/- utapewa mwisho hekari 50
Huyu Wasira na matamshi yake yana utataMkuu hii imekaaje kwa mashamba wanayosema hati za selikari za mtaa pia eka zaidi ya 50.
Funguka mkuu, watu ni kama weweOngea na.watu vizuri mjini pagumi
Bei kwa Ekari ikoje mkuuMkuu karibu Morogoro Mikese, shamba lipo ukubwa hekari 140, shamba lipo KM 7 kutoka ilipo mizani ya mikese morogoro, barabara inapitika muda wote, shamba limesafishwa na linalimika kwa trekta
Kisarawe ipi hiyo mkuu unapata kwa 250,000?Nenda MZENGA/kisarawe/Pwani hutojutia maamuzi yako
Heka 1 inaanzian-250,000 sh
Mzenga zegeloKisarawe ipi hiyo mkuu unapata kwa 250,000?
Songea Wilaya Gani MkuuNenda songea
Wanauzaje maeneo ya chemba?Unataka heka ngapi??? Dodoma yapo maeneo ya kutosha wilaya za bahi, chemba na kondoa...
Punguza wizi, ulipwe kila heka elfu 50 ardhi ni ya kwako?Nitafute rukwa wilaya ya kalambo kuna heka 150 special kwa mahindi, maharage na mazao mengine bei ni 100000 per heka weka ya udalili 50000 per heka
Linafaa kwa kilimo gani?Mkuu karibu Morogoro Mikese, shamba lipo ukubwa hekari 140, shamba lipo KM 7 kutoka ilipo mizani ya mikese morogoro, barabara inapitika muda wote, shamba limesafishwa na linalimika kwa trekta
NamtumboSongea Wilaya Gani Mkuu
Yanafaa kwa kilimo gani?Pwani Mkuranga Kata ya Mkamba mashamba yanapatikana ardhi ina rutuba huitaji mbolea
Anauzaje?Yapo Mashamba Mkuranga....!
Bei ni Bwerere, Aunty yangu ana Mashamba makubwa kashindwa kuyalima, anayauza Bei sawa na Bure.
200,000 hivi kwa Heka.Anauzaje?
Utawakoma wamasai na ngombe wao!Nenda handeni_kilindi huko mapori ya kutosha.
Ukiwa mtulivu na mdadisi na kuongea vizuri na wenyeviti wa vitongoji heka mmoja utapata hata chini ya laki.
Wilaya Gani hii kakaKaribu Mpui unapata hata kwa 50,000....ulizia Mwenyekiti Chengwa
Ikiwa hutajari naomba ni connect na mtu wa huko. AAhsanteMzenga zegelo