Mungu ni upendo
Member
- Nov 26, 2024
- 27
- 36
Habari watanzania wenzangu naombeni njia mbadala za kupona hii changamoto ninayoipitia ya kukosa usingizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole Sana Dawa zipo hasa watu wa Bukoba watakusaidiaHabari watanzania wenzangu naombeni njia mbadala za kupona hii changamoto ninayoipitia ya kukosa usingizi
Dawa gani hzo ndugu niambiePole Sana Dawa zipo hasa watu wa Bukoba watakusaidia
Sijui kama nina msongo wa mawazo ila Kuna kipindi Cha miaka mingi nyuma niliwahi kupitia stress nyingi,miaka33,kilo 59kg,nalala peke angu,saa tatuUna msongo wa mawazo?
Una umri gani?
Uzito wako je?
Unalala peke yako au unalala na mwenza?
Hua unaingia kitandani saa ngapi?
Jibu hayo maswali yote kwanza
amka Alfajiri usali kama Muislamu usingizi utakuja automatic na usilale kuanzia saa 11 alfajiri mpka jua lichomozeHabari watanzania wenzangu naombeni njia mbadala za kupona hii changamoto ninayoipitia ya kukosa usingizi
Asante mm ni mkristuamka Alfajiri usali kama Muislamu usingizi utakuja automatic na usilale kuanzia saa 11 alfajiri mpka jua lichomoze
Umekua na tatizo la kukosa usingizi kwa muda gani mpaka sasa?Sijui kama nina msongo wa mawazo ila Kuna kipindi Cha miaka mingi nyuma niliwahi kupitia stress nyingi,miaka33,kilo 59kg,nalala peke angu,saa tatu
Miaka7,situmii kahawa,pombe,bangi,sigara,mm sio mtu wa mazoezi,silaliUmekua na tatizo la kukosa usingizi kwa muda gani mpaka sasa?
Je, unatumia kahawa, sigara, bangi ama pombe?
Je, ni mtu wa mazoezi? kama ndio hua unafanya kila siku? muda gani?
Je, hua unalala mchana?
Tutaendelea
Je hua hulali kabisa au unalala kwa masaa machache? Masaa mangapi?Miaka7,situmii kahawa,pombe,bangi,sigara,mm sio mtu wa mazoezi,silali
Kuna siku silali kabisa ata sekunde ,siku zingne nalala masaa 2 au chini,huwa nachezea simuJe hua hulali kabisa au unalala kwa masaa machache? Masaa mangapi?
Ukiwa unakosa usingizi hua unachezea simu/computer au unaangalia TV?
Hua unasoma Vitabu usiku?
Hii ni muhimu, niambie mlo wako kabla hujalala
Huwa inanitokea nikaa miezi mingi bila kulala ata sekundeMswali mawili hapa, ushawahi fikiria kujiua? Na sababu ni ipi/zipi?
Nishafanya ivo ila sikulalaNi ishara madini ya magnesium yamepungua mwilini. Chukua maganda 4 ya ndizi mbivu, chemsha kwa maji nusu lita, yakipoa kunywa. Hapo hakikisha unefunga milango , utalala fofofo
😭tupo wengi
Tafuta demu wakulalal naeSijui kama nina msongo wa mawazo ila Kuna kipindi Cha miaka mingi nyuma niliwahi kupitia stress nyingi,miaka33,kilo 59kg,nalala peke angu,saa tatu
Kuna kipindi nilifanyia ivo ila haikutibu tatizoTafuta demu wakulalal nae