Anayejua dawa za asili kutibu tatizo la kukosa usingizi (insomnia) anisaidie nateseka

Anayejua dawa za asili kutibu tatizo la kukosa usingizi (insomnia) anisaidie nateseka

1. Mazoezi
2. Kula mapema hata masaa 3 kabla ya kulala
3. Kunywa maji hata lita3 Kila siku
4. Relax, baada ya kulala na kuhakikisha chumba kina utulivu bila mwanga wala sauti, Fanya hivi, hakikisha baada ya kufunga macho hakikisha vile vigololi vya macho havichezi, usigeukegeuke kitandani hata ukisikia panapo washa usijikune, Anza kulegeza mwili kwanzia kwenye unyayo, magoti, mpaka kichwani au anzia kichwani kushuka chini.
 
Kula wali maharage wa moto.halafu kunywa majinya baridi sana kisha chukua Biblia anza kusoma kitabu cha Zaburi ukiwa umelala hutafika mbali kusoma usingizi utakuja tena wa nguvu
Ale ugali dagaaa na mtindi uliotiwa asali akitoka hapo usingizi plus ndoto juu
 
1. Mazoezi
2. Kula mapema hata masaa 3 kabla ya kulala
3. Kunywa maji hata lita3 Kila siku
4. Relax, baada ya kulala na kuhakikisha chumba kina utulivu bila mwanga wala sauti, Fanya hivi, hakikisha baada ya kufunga macho hakikisha vile vigololi vya macho havichezi, usigeukegeuke kitandani hata ukisikia panapo washa usijikune, Anza kulegeza mwili kwanzia kwenye unyayo, magoti, mpaka kichwani au anzia kichwani kushuka chini.
Vigoli vya macho ndio nini hivyo?
 
Mi najua chemsha tangawizi chuja changanya na asali kunywa
Sio mbaya ukiweka na mdalasini
Asali vijiko vya chai viwili kwa kikombe Cha robo lita
Bro mbona unampa dawa ya yale mambo yetu
1000012957.jpg


Wakati anataka ya usingizi.....
 
1. Mazoezi
2. Kula mapema hata masaa 3 kabla ya kulala
3. Kunywa maji hata lita3 Kila siku
4. Relax, baada ya kulala na kuhakikisha chumba kina utulivu bila mwanga wala sauti, Fanya hivi, hakikisha baada ya kufunga macho hakikisha vile vigololi vya macho havichezi, usigeukegeuke kitandani hata ukisikia panapo washa usijikune, Anza kulegeza mwili kwanzia kwenye unyayo, magoti, mpaka kichwani au anzia kichwani kushuka chini.
Deep breaths ukiwa kitandani zinafanya nilale kama nimekufa... Nakumbuka siku moja nimeamka ghafla nikajiuliza hv nipo sayar gani?

Fanya hv ukiwa kitandani vuta hewa kupitia pua na uiachie(exhale) kupitia mdomo taratibu... Rudia kama mara 10 uje uone usngz wa hapo....
 
Mbali na kukosa usingizi, una tatizo gani jingine?
 
Habari watanzania wenzangu naombeni njia mbadala za kupona hii changamoto ninayoipitia ya kukosa usingizi
Umetoa ombi kupata msaada. Lakini ulihitajika kujieleza kirefu iwapo uko na familia na kama huna kwanini. Hata hivyo tukusaidie. Kama una mke au mume. Chukua mafuta ya kupakaa ya maji siyo mgando. Wakati wa muda wa kwenda kulala panda kitandani kisha lala kifudifudi kisha mwenzi wako akupake mafuta ya kutosha kwenye NYAYO kisha afanye massage kwenye nyayo tu kwa muda wa dakika 15 hivi. Baada ya hapo ishia hapo lala usingizi wako. Kesho rudia zoezi hilo hata wiki iishe. Ndugu yangu utakuwa umetibu siyo tatizo hilo tu bali matatizo lukuki yaliyo mwilini mwako. Ili kuisaidia jamii tukuombe utujuze mafanikio utakayo yapata.
 
Deep breaths ukiwa kitandani zinafanya nilale kama nimekufa... Nakumbuka siku moja nimeamka ghafla nikajiuliza hv nipo sayar gani?

Fanya hv ukiwa kitandani vuta hewa kupitia pua na uiachie(exhale) kupitia mdomo taratibu... Rudia kama mara 10 uje uone usngz wa hapo....
Sawa ntajaribu japokuwa sina tatizo la usingizi
 
Asante mm ni mkristu
Ooh ok. My point jitahidi uamke saa 11 Alfajiri fanya ata mazoezi, usilale tena mpaka mchana, mchana unaweza kulala nusu saa tu , usiku usingizi utakuja wenyewe, ila kama unaamka saa 2 au saa 3 asubuhi, usiku ata ufanye NINI usingizi hutoupata na ukiupata lazima ushtuke
 
Habari watanzania wenzangu naombeni njia mbadala za kupona hii changamoto ninayoipitia ya kukosa usingizi
Anza kula biringanya kwa wingi...uje ushukuruuu.....

Can eggplant help sleep?
  • GABA: Eggplant contains GABA, an amino acid that can help reduce anxiety and improve sleep.

  • Ayurveda: Ayurveda recommends eggplant to treat insomnia and other sleep disorders.
 
Back
Top Bottom