Asante nitalifanyia kazKama wewe ni mkristu,jenga tabia ya kusoma Biblia unapokuwa kitandani na kulitafakari neno,utapitiwa na usingizi na hata ukishtuka endelea kusoma mpk usingizi uje tena, fanya hii iwe ni utaratibu wako.Usitumie Biblia ya hardcopy maana hii itakulazimu uwashe taa na kusoma,weka app ya Biblia kwenye simu na uitumie,hakikisha pia unapoamua kwenda kulala,zima data kwenye simu yako,usisome chochote kwenye simu zaidi ya neno,utanishukuru siku moja,mimi nilikua muhanga wa hiyo shida,njia hii ilinisaidia sana mpk sasa tatizo limeisha kabisa.Unaweza kuhisi ni mambo ya kawaida,hizo ni roho za shetani zimeweka kituo kwako,na lengo ni kukupa mateso....
Ndio mana watu wa Bukoba wanalala sana?Pole Sana Dawa zipo hasa watu wa Bukoba watakusaidia
Anza kula biringanya kwa wingi...uje ushukuruuu.....
Can eggplant help sleep?
- GABA: Eggplant contains GABA, an amino acid that can help reduce anxiety and improve sleep.
- Ayurveda: Ayurveda recommends eggplant to treat insomnia and other sle
Natumiaje biringanyaAnza kula biringanya kwa wingi...uje ushukuruuu.....
Can eggplant help sleep?
- GABA: Eggplant contains GABA, an amino acid that can help reduce anxiety and improve sleep.
- Ayurveda: Ayurveda recommends eggplant to treat insomnia and other sleep disorders.
Ni dawa gani hizo watu wa Bukoba wanatumiaNdio mana watu wa Bukoba wanalala sana?
Nimekonda Kwa kutolala vizurimiaka 33 kilogram 59 mmmmh una urefu gani
Kama mbonga...uliza wamama wanajya kupika....ziwemo kama bamia unavyotumiaga.....angalau moja likatwe humo kila mlo wako kwenye mbogaNatumiaje biringanya
Acha uzembe kulala siyo sifa utalala kaburini ukikosa usingizi tumia kama fursa, tafuta kazi ofisi za Kijiji au mitaa wakupe kazi ya ulinzi uongeze kipato zaidi ukikosa tafuta hata kazi za viwandani omba kufanya kazi za usikuNishafanya ivo ila sikulala
Mkuu hauna madeni? Make madeni na usingizi havipatani.Nimekonda Kwa kutolala vizuri
Marijuana nilijarbu nikaona siwezi kabisa kichwa kilitaka kulipuka ila sikupata usingizi nimejarbu mara nyingiKwa ushauri wangu we tumia Mjani,(Marijuana, chimo therapy) kwa kimombo inaitwa ukiweza tafuta Google, Marijana for medicine utanishukuru broo in a few moments usingizi utakuja ila angalizo Msosi usiwe mbali...!!!!
Tumia chai ya chamomile, inapatikana supermarket utalala vizuriMarijuana nilijarbu nikaona siwezi kabisa kichwa kilitaka kulipuka ila sikupata usingizi nimejarbu mara nyingi