Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hajamuongelea Mbowe. Anazungumzia udikteta. Kama huuoni ungeishia kuandika kuwa huuoni basi.Upi? We ndo u auona peke yako. Au kwa vile mbowe anaambiwa alipe kodi tra basi kwako ndo udikteta!! Makubwa
Mbona mbowe yeye hamumsemei au yeye akikwepa kodi inaruhusiwa!!Hajamuongelea Mbowe. Anazungumzia udikteta. Kama huuoni ungeishia kuandika kuwa huuoni basi.
Mheshimiwa Rais aliahidi kupambana na ufisadi na si upinzani. Mpaka sasa hivi hajawahi kupambana na upinzani kwa taarifa yako tu. Anapambana na ufisadi. Tatizo lenu hamtaki kukubali kuwa kwa sasa huwezi taja ufisadi na kuuweka kando upinzani. Mafisadi wamejaa kwenye upinzani na ndiyo maana unaona hata wale waliokuwa upinzani wakipigia kelele ufisadi wamakaa kimya kabisa. Zamani walifanya kama drama na ukizingatia serikali iliwafichia siri so walijifanya kupiga kelele za mwizii kumbe wao ndiyo wezi. Rejea zile za wezi wa mifukoni hapo kale. Mwizi akikuchomolea visenti vyako mfukoni basi na wewe ukaanza kumkimbiza na kuita mwizi nae ataita mwizi so watu watashindwa kufahamu mwizi ni yupi. Kwa sasaa Magu kakaba. No more drama. Mwizi ni mwizi. Kwa hiyo msijaribu kujifanya hamuelewi wakati mnaelewa kila kitu.Jamani naomba waungwana mnisaidie maana ninachokiona huyu bwana pombe amekuja kulipa kisasi kwa wapinzani, ana hasira ambayo sio ya kawaida. Kumbe walivyokua wakiikosoa serikali yeye alikua anauma meno akisema moyoni labda Siku moja nisiwe raisi, maana ikitokea nikawa raisi watakoma. Sasa kawa raisi! niambie mtanzania usiye mnafiki, unaona nini juu ya Magufuli na upinzani? Na je adhma yake itatimia?
Uzi wako hata hivyo ni wa low level sana hata wakiufuta ni sawa tu. Unauliza kitu ambacho jibu unalifahamu.Wakubwa msifute huu Uzi tunataka tujadili adhma ya huyu bwana, na hatima ya Tanzania yetu. Kuna shimo refu sana liko mbele sasa sijui linammeza nani.
Yeye hajaandika dikteta ni nani hasa. Wewe ndiyo umeandika hadi majina na kutiririka meeeengii. Hata hivyo kwani kuna udikteta hata ule uchwara tu mkuu wangu?N
Mbona mbowe yeye hamumsemei au yeye akikwepa kodi inaruhusiwa!!
You are right wachangiaji wangekuwa kama wewe hakiamungu nchi ingesonga mbele. Unaonekana mstaarabu sanaYeye hajaandika dikteta ni nani hasa. Wewe ndiyo umeandika hadi majina na kutiririka meeeengii. Hata hivyo kwani kuna udikteta hata ule uchwara tu mkuu wangu?
Apia hakyanani mkuu? [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]You
You are right wachangiaji wangekuwa kama wewe hakiamungu nchi ingesonga mbele. Unaonekana mstaarabu sana
Hakiyanini!!Apia hakyanani mkuu? [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
hahahhhh tatizo sheria ni kauli yake na sura yake....wewe ndo unaleta uchochezi shauri yakeUhakiki wa watumishi hewa utaisha ndani ya miezi miwili tu baada ya hapo watu watalipwa madai yao na ajira mpya zitatoka baada ya halo uhakiki mpaka sasa unaendelea serikali haitoi uhamisho wala kupandisha madaraja wala kulipa malimbikizo kwa watumishi wa umma wala ajira mpya hazitangazwi tena serikalini hujui kuwa miezi yako miwili ilishaisha toka mwezi wa 8/2016 wewe ni mchochezi .
Takayechaguliwa chuo kikuu atapata mkopo asimilia nyingi waliopewa mikopo ni wachache huu siyo uchochezi ?
Zipo kauli nyingi sana anazotoa za kichochezi.