Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Na watumishi wana kinyongo Na wamepaniaaa,kwani stahiki zao zumezimwa kimya.
Taasisi za kifedha hazitoi fedha,yani ni tafrani
 
Pamoja na kwamba nilitoa support yangu kwa Ukawa uchaguzi uliopita ,Mwanzoni nilikuwa najaribu kumuelewa bwana mkubwa mtukufu sana ila kadri siku zinavyozidi kwenda ndio anazidi kunipoteza

Sasa sijui uelewa wangu una matatizo au nahitaji kuwa kichaa kumuelewa ,mfano ishu ya wahanga wa Kagera pesa kwenda kwenye miundo mbinu ila tunajisifu tumelipia Jet Planes Cash zitaingia 2018 mwanzoni
 
Huyu rais wetu amekuwa akijinasibu kuwa nchi hii ni tajiri na imechezewa kwa mda mrefu mbona anaharibu hata yale mazuri aliotuachia baba Riz wanafunzi wa Elimu ya juu watapata shida, Watumishi wa Umma vile vile waendesha dala dala kwa Dar, boda boda, hospitalini dawa shida
*Kubwa zaidi ni hili la kagera alishindwa kufika kule watu hawakutoa pesa zao ili zijenge miundo mbinu bali ilikuwa kuwachangia wahanga ile ilikuwa ni misaada ya kibinadamu wao wamebadilisha matumizi na kufanyia shughuli za kiserikali zile pesa ambazo mkuu amekuwa akijinasibu nazo zako wapi*
Serikali yagawa vifaa vya ujenzi kwa wahanga wa tetemeko, mliokuwa mnabeza pongezeni
 
Huyu rais wetu amekuwa akijinasibu kuwa nchi hii ni tajiri na imechezewa kwa mda mrefu mbona anaharibu hata yale mazuri aliotuachia baba Riz wanafunzi wa Elimu ya juu watapata shida, Watumishi wa Umma vile vile waendesha dala dala kwa Dar, boda boda, hospitalini dawa shida
*Kubwa zaidi ni hili la kagera alishindwa kufika kule watu hawakutoa pesa zao ili zijenge miundo mbinu bali ilikuwa kuwachangia wahanga ile ilikuwa ni misaada ya kibinadamu wao wamebadilisha matumizi na kufanyia shughuli za kiserikali zile pesa ambazo mkuu amekuwa akijinasibu nazo zako wapi*
Hata Yesu alikataliwa,akasulubiwa japo alikuja duniani kutukomboa,,sembuse presdaa wetu?
 
Hivi hii pesa ya ccm inayosemekana wamegawanga 10m kila mmoja siyo hiyo ya michango kweli????
 
Na watumishi wana kinyongo Na wamepaniaaa,kwani stahiki zao zumezimwa kimya.
Taasisi za kifedha hazitoi fedha,yani ni tafrani
Huyu anajitia majaribu mwenyewe 2020 anayotegemea ataiba kura na hazitatosha huyo February ataagiza hata wakorea hazitatosha.
 
Nimeota Baba Yako Atakufa Kwa Ajali Mbaya Sana Ya Gari Kabla Ya Mwisho Wa Mwaka Huu.
Kwa vile hayupo,angekuwepo ningemwambia akualike tar. 1,2017 mnywe nae chai ili ujue ndoto zako si lolote mbele ya Mungu
 
Huyu rais wetu amekuwa akijinasibu kuwa nchi hii ni tajiri na imechezewa kwa mda mrefu mbona anaharibu hata yale mazuri aliotuachia baba Riz wanafunzi wa Elimu ya juu watapata shida, Watumishi wa Umma vile vile waendesha dala dala kwa Dar, boda boda, hospitalini dawa shida
*Kubwa zaidi ni hili la kagera alishindwa kufika kule watu hawakutoa pesa zao ili zijenge miundo mbinu bali ilikuwa kuwachangia wahanga ile ilikuwa ni misaada ya kibinadamu wao wamebadilisha matumizi na kufanyia shughuli za kiserikali zile pesa ambazo mkuu amekuwa akijinasibu nazo zako wapi*

Tunashukuru kuujua ukomo wa uwezo wako wa ' kufikiri '.
 
reject hilo la SAUT Mwanza katika ubora wake

Donald Trump mwezi January 2017 anaanza kuwarudisha ' Wahamiaji ' 3,000,000 hewa waliopo Marekani na nina uhakika 100% humo na Wewe hukosi hivyo ukifika ' jijini ' najua ' nyero ' lako litakuwa limeshanona kama Pizza za McDonald na ' Mwanamume ' nitakuwa ' nateleza ' nalo tu. Na ' tutawapumulieni ' kweli hadi ' mjute '.
 
Huyu rais wetu amekuwa akijinasibu kuwa nchi hii ni tajiri na imechezewa kwa mda mrefu mbona anaharibu hata yale mazuri aliotuachia baba Riz wanafunzi wa Elimu ya juu watapata shida, Watumishi wa Umma vile vile waendesha dala dala kwa Dar, boda boda, hospitalini dawa shida
*Kubwa zaidi ni hili la kagera alishindwa kufika kule watu hawakutoa pesa zao ili zijenge miundo mbinu bali ilikuwa kuwachangia wahanga ile ilikuwa ni misaada ya kibinadamu wao wamebadilisha matumizi na kufanyia shughuli za kiserikali zile pesa ambazo mkuu amekuwa akijinasibu nazo zako wapi*
Mkuu leo saa mbili usiku nilikuwa naangalia taarifa ya habari ITV kwenye Baa tukiwa na wazee ilipofika ile habari ya wanavyuo kukosa mikopo walishangaa sana na wakasema hii serikali sijui inaelekea wapi mbona afadhali ya kikwete haya matatizo hayakuwepo..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom