Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁



😱😱😱😱😱😱😱😱


😀😀😀😀😀😀😀😀


😛😛😛😛😛😛😛😛
 
Malisa acha kulialia, inabidi ujifunze kuheshimu mawazo ya wenzio.

Kwa taarifa yako dhambi ya kubadili gia angani na kuuza chama kwa mafisadi itawatafuna milele na huu ni mwanzo tu.

Chadema ya Leo ni watetezi wa kila aina ya maovu ya nchi hii .

Kubenea anajaribu kuweka hadharani usanii wa viongozi wa chadema lakini wewe Malisa na bavicha mnajaribu kuficha!!!

Kumbuka hata ulipoenea uvumi kwamba lowasa ameuziwa chadema na atagombea urais, ulijitokeza kupinga sana habari hizo, lakini leo ndio muogeshaji na mbeba viatu mkuu wa lowasa!!!

Bado unatakiwa kuaminiwa tena na jamii???
kumbe mwenye hii i.d ni yule katibu wa UGT?
 
Ewura haina BOSI ? Yeye kaachwa ili nini?aliyetangaza bei mpya nani? Sio ewura ?
 
Ewura haina BOSI ? Yeye kaachwa ili nini?aliyetangaza bei mpya nani? Sio ewura ?
 
Me nimeridhika na hili jibu nililopata baada ya kusoma hizi nukuu.
 
Watafanya hicho unachofikiria ww endapo atatumia fedha kwa manufaa yake binafsi, usidhani anachukua pesa kienyeji bro, unajua sisi tunaopata viuzushi kwenye mitandao tunaona kama anafanya kosa, lakini sheria inamruhusu kufanya anavofanya bro. Na yote anayoyafanya ni kwa faida yetu sote ntakushangaa sana kulalamika kanakwamba hayo maendeleo yanafanyika Kenya au Uganda.
Jifikirie vyema.
Fikra zako zinamakengeza(biased )
 
Watafanya hicho unachofikiria ww endapo atatumia fedha kwa manufaa yake binafsi, usidhani anachukua pesa kienyeji bro, unajua sisi tunaopata viuzushi kwenye mitandao tunaona kama anafanya kosa, lakini sheria inamruhusu kufanya anavofanya bro. Na yote anayoyafanya ni kwa faida yetu sote ntakushangaa sana kulalamika kanakwamba hayo maendeleo yanafanyika Kenya au Uganda.
Superficially you might seem right. If you go deeper and beyond... utagundua kuwa haupo sahihihttp://
 
2020 ikatae ccm kabisa.
Dai tume huru ya uchaguzi ewe mtanzania.
 
Malisa acha kulialia, inabidi ujifunze kuheshimu mawazo ya wenzio.

Kwa taarifa yako dhambi ya kubadili gia angani na kuuza chama kwa mafisadi itawatafuna milele na huu ni mwanzo tu.

Chadema ya Leo ni watetezi wa kila aina ya maovu ya nchi hii .

Kubenea anajaribu kuweka hadharani usanii wa viongozi wa chadema lakini wewe Malisa na bavicha mnajaribu kuficha!!!

Kumbuka hata ulipoenea uvumi kwamba lowasa ameuziwa chadema na atagombea urais, ulijitokeza kupinga sana habari hizo, lakini leo ndio muogeshaji na mbeba viatu mkuu wa lowasa!!!

Bado unatakiwa kuaminiwa tena na jamii???
Naomba nikuulize swali moja mkuu! Kuna hata post moja unayo dhani umeandika na wewe ukiisoma unakubali kuwa hapa nimetumia akili? Please hebu zipitie kisha tuambie ni ipi kwani binafsi nimeanza kuhisi huwa tunajadiliana na mtu mwenye kuhitaji tiba ya afya ya akili.
Samahani lakini, yaani ni mawazo yangu tuu hivyo waweza nidhibitishia kuwa sivyo ulivyo bali unafanya makusudi tuu.
 
Huu utumbuaji wa maigizo tumeichoka sasa. Kama kila anayefanya kosa anatumbuliwa basi ni muda muafaka JPM ajitumbue mwenyewe kama sii kujiuzulu. Yeye ndye kaleta hii zana ya one mistake go home. Hata yeye pia kafanya blandaz nyingi kuanzia sakata la sukari. Na yeye ajitazame kwa jicho la tatu Kama ni mzalendo wa kweli.

Ni wazi kuwa serikali imemshinda. kama wizara zilizo chini yake zinafanya mambo makubwa na mazito bila kumuhusisha yeye mpaka mchakato unaisha. Inabidi na yeye ajiulize ni kwa nini? ( in condition kama haya sio maigizo)
Nakubaliana na hoja yako asilimia zote mkuu.
 
Watafanya hicho unachofikiria ww endapo atatumia fedha kwa manufaa yake binafsi, usidhani anachukua pesa kienyeji bro, unajua sisi tunaopata viuzushi kwenye mitandao tunaona kama anafanya kosa, lakini sheria inamruhusu kufanya anavofanya bro. Na yote anayoyafanya ni kwa faida yetu sote ntakushangaa sana kulalamika kanakwamba hayo maendeleo yanafanyika Kenya au Uganda.
Chattle.
 
2020 ikatae ccm kabisa.
Dai tume huru ya uchaguzi ewe mtanzania.

kama hamjui Magufuri anawapeleka wapi, nendeni mkawaulize wananchi wa Ihumwa kule Dodoma. CCM imeshashinda uchaguzi wa udiwani bila kupingwa mpaka sasa.

mwaka huu lazima CDM mjinyonge.
 
Note.Ni ngumu kuwa na Taifa lenye maendeleo na kupiga hatua kama bado kuna kundi la Wafia Chama kuliko TAIFA.


Sijui kwa nini mkuu wa nchi alidanganya kwamba dunia nzima serikali hazijengi nyumba wakati wa maafa
15,861 houses in building process for earthquake victims

Wakati huo huko Japan tetemeko la Kumamoto, serikali ilijenga nyumba 3000, mh rais angeongea tu vingine lakini sio kudanganya.


Kwa hiki kilichoonyeshwa Bukoba huenda kikawafanya wananchi kuwa wagumu kuchangia maafa huko mbeleni kwa kuhofia michango yao kuchukuliwa kwenda kufanya yaliyokuwa kinyume na lengo la michango yenyewe.

Note. Mlimpamba sana ngosha ,akajisahau,akahisi ni Mungu..akaanza na kusigina katiba..Mkamsifu! Akaingilia Bunge mkaona poa..huu ni mwendelezo tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom