Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Habarin wadau polen na majukum pia polen kwa mzigo huu wa kiongozi Tulie nae na bila shaka tusipo Tafuta njia za kuutua utatuvunja mgongo

Watanzania maamuzi ni Muda endapo tutachelewa kufanya maamuzi mapema huenda Baadae tukafanya ikawa to late na nchi yetu kua imesha haribiwa ni uyu Rais Tulie nae

Rais toka Ameingia madarakan amekua mtu Wa kuyafanyia kazi Yale anayo yaona mitandao bila kusahau kua dhamana na msimamo wa nchi hauwezi kuamua tu kwa niaba ya watu Fulani wanao kuchochea kuamua na kundi ilo ni ndogo Sana katika asilimia 100 ya watanzania wao ni 3%

Rais toka ameingia madarakan yupo bize anazunguka zunguka tu nakufanya mambo ya sio ya msingi ili kutafuta sifa
Toka ameingia Madarakan kazi alizo fanya ni
Kuteua mawazir
Kuapisha mawazir
Kuteua wakuu wa mikoa
Kuapisha wakuu wa mikoa
Kwenda Kenya
Kwenda Uganda
Kuongea na wazee
Kupokea Ripot ya corona

Ukipiga hesabu apo utaelewa kwanini Rais hatufai

Rais wetu Ana akili Zipo slow Sana yeye na wanao mshaur. Ripot ya Corona Jana imetoka eti wanashauriana namna ya kutuwekea lock down pia serikal ijenge kiwanda cha chanjo how jaman awa viongozi wetu Hua wanarogwa


Ivi serikal umeshindwa hata kutoa Ripot ya miradi alio Iacha magufuli na kuamua kutumia hela hovyo kwa kuunda kamat ambayo Leo inakuja na majibu ambayo kila mmoja a nayajua

Raisi acha kuwaridhisha wajinga wajinga jenga nchi acha kutupeleka tusipo pajua
Yaani kwa yaliyotokea nahisi kuchanganyikiwa, mwuli umeingia ganzi, na hii yote ni sababu ya madalali wa chanjo, Corona yenyewe hata haipo, basi tu kutaka kupiga mpunga wa bure bure kwa kuagiza chanjo, mimi watanipeleka jela, ila hakai mtu lockdown, R.I.P Magufuli
 
Hahaaaa tulieni sindano iwaingie vizuri! Mlijua kukenua meno sana na kuvimba sura kama koboko! Kila mkiambiwa mwendazake anaonea watu mkawa mnachekelea!

Acha mama arekebishe palipo oza!

Ukijickia kichefu kichefu kamulia ndimu!!
 
Habarin wadau polen na majukum pia polen kwa mzigo huu wa kiongozi Tulie nae na bila shaka tusipo Tafuta njia za kuutua utatuvunja mgongo

Watanzania maamuzi ni Muda endapo tutachelewa kufanya maamuzi mapema huenda Baadae tukafanya ikawa to late na nchi yetu kua imesha haribiwa ni uyu Rais Tulie nae

Rais toka Ameingia madarakan amekua mtu Wa kuyafanyia kazi Yale anayo yaona mitandao bila kusahau kua dhamana na msimamo wa nchi hauwezi kuamua tu kwa niaba ya watu Fulani wanao kuchochea kuamua na kundi ilo ni ndogo Sana katika asilimia 100 ya watanzania wao ni 3%

Rais toka ameingia madarakan yupo bize anazunguka zunguka tu nakufanya mambo ya sio ya msingi ili kutafuta sifa
Toka ameingia Madarakan kazi alizo fanya ni
Kuteua mawazir
Kuapisha mawazir
Kuteua wakuu wa mikoa
Kuapisha wakuu wa mikoa
Kwenda Kenya
Kwenda Uganda
Kuongea na wazee
Kupokea Ripot ya corona

Ukipiga hesabu apo utaelewa kwanini Rais hatufai

Rais wetu Ana akili Zipo slow Sana yeye na wanao mshaur. Ripot ya Corona Jana imetoka eti wanashauriana namna ya kutuwekea lock down pia serikal ijenge kiwanda cha chanjo how jaman awa viongozi wetu Hua wanarogwa


Ivi serikal umeshindwa hata kutoa Ripot ya miradi alio Iacha magufuli na kuamua kutumia hela hovyo kwa kuunda kamat ambayo Leo inakuja na majibu ambayo kila mmoja a nayajua

Raisi acha kuwaridhisha wajinga wajinga jenga nchi acha kutupeleka tusipo pajua
Rejea imhotep , ni haki yako/ yenu kikatiba kuandamana kwa amani na utulivu hivyo naweza kukushauri undelee na uamuzi wako maana ni haki yako.
 
Hakuna kazi ngumu siku hizi kama kumwambia Kijana afunge kibanda chake cha chipsi anazouza aende kuandamana ili Wewe uitwe Ikulu ukanywe Kahawa na Vihamduni!
Ila kijana wa kumwambia afunge kibamda chake sababu kuna Corona yupo, si ndio eeh?
 
Hahaaaa tulieni sindano iwaingie vizuri! Mlijua kukenua meno sana na kuvimba sura kama koboko! Kila mkiambiwa mwendazake anaonea watu mkawa mnachekelea!

Acha mama arekebishe palipo oza!

Ukijickia kichefu kichefu kamulia ndimu!!
Mama anarekebisha kwa watu wa Mitandaon na kuwaridhisha chadema pia Hua najiuliza kwanini anaogopa Sana Hawa watu Ana Ana kashfa mbaya anaogopa zisiende pablick????
 
tuzidi kumuombea ili asiyumbishwe na wajuaji na walafi wa vyeo.

Mungu amzidishie ujasiri, ufuatiliaji na awe mkali kwa mambo yanayo paswa.

asikubali kila ushauri bila kujiridhisha kwa njia zingine za ziada, tunamuombea nguvu na busara.
 
Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani...
Ukiona UNAPOTEA suluhisho ni rais sana, achana naye rudi uliko toka.
 
Mputa Mputa kivip mbona mengine mengi ya kipuuzi anayafanya ndani ya muda mchache
Yanayowezekana haraka yanafanyika haraka na yasiyowezeka haraka yanasubiri. Inaonekana yaliyofanyika haraka ndiyo yanayokukera. Sasa unachopaswa kujua pia ni kwamba unavyokereka leo ndivyo wengine walikereka wakati wewe ukimshangilia unayempenda. Inaitwa kutesa kwa zamu usichukie utapasuka ndugu.
 
tuzidi kumuombea ili asiyumbishwe na wajuaji na walafi wa vyeo.

Mungu amzidishie ujasiri, ufuatiliaji na awe mkali kwa mambo yanayo paswa.

asikubali kila ushauri bila kujiridhisha kwa njia zingine za ziada, tunamuombea nguvu na busara.
 
Haiwezekani, nchi inafikia hatua ya kupanga foleni kununua LUKU mkuu wa nchi upo kimya tu huna uamzi wwte unaotoa,

ilianza TRA imefata LUKU what next?


mweshmiwa unachotakiwa ujue ni kua hii nchi imejaa watu wenye viburi sana na wameshika nyadhifa kwaiyo ukiendeleza lugha za kilembo imekula kwako, minne itakutosha


nimeboeka😏
 
Haiwezekani, nchi inafikia hatua ya kupanga foleni kununua LUKU mkuu wa nchi upo kimya tu huna uamzi wwte unaotoa,

ilianza TRA imefata LUKU what next?


mweshmiwa unachotakiwa ujue ni kua hii nchi imejaa watu wenye viburi sana na wameshika nyadhifa kwaiyo ukiendeleza lugha za kilembo imekula kwako, minne itakutosha


nimeboeka😏
Ndugu mtoa mada kupunguza baadhi ya hujuma kama hizi tuliamua angalau tuwe na katiba mpya ambayo wewe kama msimamizi mkuu ungetatakiwa kuachia ngazi mapema kwa uzembe sasa kikwete na maccm wengine wakaamua waendelee kuwanyonya watanzania kwa ujinga wao ,halafu utashangaa leo mtu anamsifia kikwete kwa lipi!wakati jambo la msingi hakufanya !yaani huyu mwanamke ni ziroooooo
 
Ndugu mtoa mada kupunguza baadhi ya hujuma kama hizi tuliamua angalau tuwe na katiba mpya ambayo wewe kama msimamizi mkuu ungetatakiwa kuachia ngazi mapema kwa uzembe sasa kikwete na maccm wengine wakaamua waendelee kuwanyonya watanzania kwa ujinga wao ,halafu utashangaa leo mtu anamsifia kikwete kwa lipi!wakati jambo la msingi hakufanya !yaani huyu mwanamke ni ziroooooo
Kwa hizi nchi za Afrika katiba siyo suruhisho. Kwani hakuna katiba inayosema watumishi wa umma/serikali wawe wazembe kazini.
 
Back
Top Bottom