Haiwezekani, nchi inafikia hatua ya kupanga foleni kununua LUKU mkuu wa nchi upo kimya tu huna uamzi wwte unaotoa,
ilianza TRA imefata LUKU what next?
mweshmiwa unachotakiwa ujue ni kua hii nchi imejaa watu wenye viburi sana na wameshika nyadhifa kwaiyo ukiendeleza lugha za kilembo imekula kwako, minne itakutosha
nimeboeka😏
Awe kama Raisi Kikwete unamuona anacheka lakini anapiga kazi halafu sisi Wapinzani atupe Uwanja mpana ili tupambane na MatagaKama atakua na mentality ya kucheka cheka na kuonea huruma watampoteza na atachukiwa na wananchi. Kashika rungu ila anacheka cheka tu. sipendi sana viongozi dhaifu...
Viashiria vinaonyesha nae atamaliza muda wake na kutuacha vile vile.Next, Watumishi watakosa mishahara.
Ipo siku, kama naiona.
Hatuoni kazi zikienda sshv tupo gizaniWho is magufuli? Kila rais na style yake ya uongozi. Na hata huyo magu wako hakufwata style ya jk na hamna aliye lalamika.
Muacheni mama afanye kazi yake msimfundishe kazi.
Acha uzwazwa weweYaani kuwa watu humu walidhani Rais wa awamu ya sita ataleta mabadiliko ya ghafla kama ilivyokuwa kifo cha mwendazake. Mleta mada na wote wanaokuunga mkono ni vema mkajua kuwa Rais hatakidhi matamanio ya wote na kwa sasa hajzkidhi matamanio yenu. Hakuna kiongozi makini anayeweza kukidhi matamanio ya wote.
Kuna busara katika kuwa watulivu na wavumilivu wakati Mama anapoweka mambo sawa hata kama si kwa kasi tuipendayo.
Nchi hii ni yetu sote.
Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app
Hiyo ipo karibu sana, polisi
tutwapigia simu kuwa tumevamiwa na majambazi tutaambiwa gari hazina mafuta, hakimu mahakamani hataandika hukumu hadi washitakiwa wanunue karatasi,nk
"...ukiona wapinzani wako wanakupongeza, jitafakari kuna sehemu haupo Sawa...." JPM(rip)
Mkuu kuhusu suala la Biswalo, mama alitaka kumuondoa pale na njia moja ni hiyo ya yeye kuteuliwa kuwa Jaji; kumbuka recommendations za kuteuliwa kuwa Jaji zinatoka kwenye Judiciary commission hivyo Rais hana budi kufuata ushauri wa mahakama kwenye mambo yanyohusu sheria. Kama kulikuwa na sababu za kiutendaji ambazo zingemzuia Biswalo kuwa Jaji hizo zilitakiwa kuainishwa na judicial commission na sio Rais; kufuata malamiko ya wakina Shangazi!
Ipe muda ipo siku akili zako zitakaa sawa tu utaelewa uongozi sio lelemama maslahi yako yataguswa tu kwa namna moja au nyingine ndio utazinduka.
Hizo kesi hazina uhusiano wowote na Magufuli ata yeye mara kadhaa alikuwa akipinga hayo.
Welcome to my club Mkuu there is no fee to become a member. Mama Samia is HOPELESS. Utasikia kesho anaruka kwenda Dom/Zenj au kwenye mualiko mwingine wa Museveni 😂😂
BAK, mtu akishateuliwa kuwa Jaji na kuapishwa kumtengua kuna utaratibu wake mahususi ambao haumuhusishi Rais kabisa isipokuwa mahakama!!! It is a complicated process which involves judges from other commonwealth countries to come and do the investigations. Kumbuka kuwa Mahakama ndio inamfungulia mashitaka ya ukiukaji wa maadili!Mkuu kuna kitu kinaitwa kutengua uteuzi and in my opinion it is not to late to do that.
Huyo huwa anahemukwa hajui kituBAK, mtu akishateuliwa kuwa Jaji na kuapishwa kumtengua kuna utaratibu wake mahususi ambao haumuhusishi Rais kabisa isipokuwa mahakama!!! It is a complicated process which involves judges from other commonwealth countries to come and do the investigations. Kumbuka kuwa Mahakama ndio inamfungulia mashitaka ya ukiukaji wa maadili!
Kwanini Rais Samia ahangaike na TANESCO wakati waziri yupo? Nini maana ya kuwa na wasaidizi sasa?
BAK, mtu akishateuliwa kuwa Jaji na kuapishwa kumtengua kuna utaratibu wake mahususi ambao haumuhusishi Rais kabisa isipokuwa mahakama!!! It is a complicated process which involves judges from other commonwealth countries to come and do the investigations. Kumbuka kuwa Mahakama ndio inamfungulia mashitaka ya ukiukaji wa maadili!
Hii ndio mentality ninayosemaga kuwa ni mbovu kwetu sisi waafrika. Ina maana mtu mzima haujui majukumu yako mpaka ukumbushwe na boss?Sehemu yeyote kama hakuna kiongozi mchapakazi na aliyemakini walio chini yake lazima wazembee, ndo hivi tunaona hao mawaziri wameona Boss wao soft soft unategemea nini kitafanyika? Kiongozi ndo anatakiwa awe catalyst ya watu kufanya kazi kwa bidii, hata awe na wasaidizi million kama kiongozi haeleweki hakuna kitakachofanyika