Haiwezekani, nchi inafikia hatua ya kupanga foleni kununua LUKU mkuu wa nchi upo kimya tu huna uamzi wwte unaotoa,
ilianza TRA imefata LUKU what next?
mweshmiwa unachotakiwa ujue ni kua hii nchi imejaa watu wenye viburi sana na wameshika nyadhifa kwaiyo ukiendeleza lugha za kilembo imekula kwako, minne itakutosha
nimeboeka😏
Yale magenge ya kikabila ni ya kufurusha. Yamedhamiria haswa kumchafua mama.
Kuanza na timu mpya ni suala la msingi sana.