darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 9,101
- 18,055
8. Anajenga reli SGR kipande Cha Isaka - Mwanza (keshatoa zaidi yaBill. 350)Acha majungu fake.Mama kwa muda mfupi ameleta:
1.kuunganishiwa umeme 27,000.
2.Sasa wananchi tuko huru na tunapumua.
3.Bia bei atashuka
4.Boda faini 10,000
5.Amewaondoa viongozi wahahalifu akgna Sabaya,Chalamila.
6.Ameshusha PAYE
7.AMEWARUHUSU WATUMISHIKWENDA NJE YA NCHI.
Hongera sana mama yetu
9. Anapandisha madaraja watumishi 92,000 mchakato unaendelea.
10.Ameshatoa fedha kujenga barabara za kimkakati zinazounganisha mikoa zaidi ya kilometer 1,500 (hizi zilikwama)
11.Ameshatangaza ajira mpya zaidi ya 42,000. Elfu kumi tayari vibali vimeshatolewa
12.Ameondoa faida Kandamizi ya Bodi ya mikopo (Retention fee) ya asilimia sita kila Mwaka katika Deni la la mkopo wa kusoma chuo.
13.Ameondoa faini ya Bodi ya mikopo ya 10% ukichelewa kurejesha.
14. Anamalizia SGR kipande Cha Dar- Moro. Ujenzi unaendelea.
15. Anajenga SGR kipande Cha Dodoma Makutopola Ujenzi unaendelea.
16. Ameanzisha mradi wa kufua umeme mto Malagalasi tayarizaidi ya bill.100 zimeshatolewa.
17. Anaendeleza Ujenzi wa mradi wa kufua umeme wa JK Nyerere Rufiji.
18. Anarudisha nidhamu ya utendaji unaozingatia sheria kwa viongozi wa umma (Wapuuzi,waigizaji,commedian na chawa wawili wameshaondolewa na mmojawao yupo mahakamani)
19. Anarejesha mahusiano ya kidiplomasia,kiuchumi na mataifa ya nje. Tayari mahindi,maharage,pamba nk yameanza kupanda bei.