Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

8. Anajenga reli SGR kipande Cha Isaka - Mwanza (keshatoa zaidi yaBill. 350)
9. Anapandisha madaraja watumishi 92,000 mchakato unaendelea.
10.Ameshatoa fedha kujenga barabara za kimkakati zinazounganisha mikoa zaidi ya kilometer 1,500 (hizi zilikwama)
11.Ameshatangaza ajira mpya zaidi ya 42,000. Elfu kumi tayari vibali vimeshatolewa
12.Ameondoa faida Kandamizi ya Bodi ya mikopo (Retention fee) ya asilimia sita kila Mwaka katika Deni la la mkopo wa kusoma chuo.
13.Ameondoa faini ya Bodi ya mikopo ya 10% ukichelewa kurejesha.
14. Anamalizia SGR kipande Cha Dar- Moro. Ujenzi unaendelea.
15. Anajenga SGR kipande Cha Dodoma Makutopola Ujenzi unaendelea.
16. Ameanzisha mradi wa kufua umeme mto Malagalasi tayarizaidi ya bill.100 zimeshatolewa.
17. Anaendeleza Ujenzi wa mradi wa kufua umeme wa JK Nyerere Rufiji.
18. Anarudisha nidhamu ya utendaji unaozingatia sheria kwa viongozi wa umma (Wapuuzi,waigizaji,commedian na chawa wawili wameshaondolewa na mmojawao yupo mahakamani)
19. Anarejesha mahusiano ya kidiplomasia,kiuchumi na mataifa ya nje. Tayari mahindi,maharage,pamba nk yameanza kupanda bei.
 
Hilarious 😂!
 
ataenda kuzifanyia chato basi, ili amuenzi mungu wenu
 
Andikaga vizuri basi!!
 
Dar es salaam ni kama mwanamke mzuri unayetaka kumuacha.

Lakini kila ukitaka kumuaacha, unajikuta mwenyewe umemrudia.
 
Mama ameonyesha uwezo na ukakamavu, hakuna kitu kilichoyumba. Amepitiliza matarajio
 
Na hana uwezo wa kutuongoza kabisa yani.
Asilaumiwe mama SSH hatukumchagua yeye, na yeye ataendelea kuwa makamu wa rais akisubiri maelekezo kutoka kwa rais...kwa bahati mbaya hayupo sasa na hivyo akina JK wanapata mwanya wa kumpa maelekezo 'makamu wa rais' maana ndivyo wanavyomuona! Huu ni ukweli mchungu sana, na unaweza kuligharimu sana taifa😭! Mungu atusaidie watanzania 🙏!
RIE&P our great African hero 💔 Hon Dr JPM 🙏😭!
 
Ila yeye labda ameamua kutii chama chake badala ya hayo uliyosema.

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
... nitajie hoteli yoyote Dodoma yenye hadhi ya kufikia mkuu wa nchi ya kigeni na msafara wake! Hebu ongeeni kwa facts badala ya kuwaza kwa akili za marehemu!
Labda Morena
... nitajie hoteli yoyote Dodoma yenye hadhi ya kufikia mkuu wa nchi ya kigeni na msafara wake! Hebu ongeeni kwa facts badala ya kuwaza kwa akili za marehemu!
 
a

Aisee mama unataka afanye nini tena juzi ameongea na kina mama bado akina baba na dawati la kina baba litaanzishwa mara moja ili mupeleke malalamiko yenu munayonywanywasa ni wake zenu., ashaongea M7, Kenyata na jana Bostwana, na karibu kila siku anafanya teuzi hizi na zile na chalamila katumbuliwa, sabaya ndio ivyo tena naye unataka mama afanye nini tena
 
Jiji chafu na ufusika umejaa pale bado unataka wageni wafikie pale!! mkuu vipi tena.
 
Hii mada ni ya utambuzi.

Naona kama kuna mnyukano wa 'magenge' hapa!

Haya endeleeni, wengine tutasoma na kufurahi kujua.
 
Dar es salaam ni kama mwanamke mzuri unayetaka kumuacha.

Lakini kila ukitaka kumuaacha, unajikuta mwenyewe umemrudia.
Mkuu unakua ni udhaifu Sasa, kwamba ambacho MWANZO uliona kumuacha , kimeisha mpaka ulejeshe majeshi ,!!
 
Hela ya kumalizia bwawa la umeme unaona sio jambo la msingi maana ametoa zaidi ya bilioni 580, hela ya Daraja la busisi, hela ya kujenga phase 3 ya reli ya SGR? Hela alizopeleka Halmashauri? Hela alizoidhinisha za kununua madawa? Tuwe makini basi.
 
Mkuu unakua ni udhaifu Sasa, kwamba ambacho MWANZO uliona kumuacha , kimeisha mpaka ulejeshe majeshi ,!!
Inawezekana udhaifu.

Lakini pia inawezekana unagundua huyo ndiye anayekufaa, ulichepuka kwa tamaa tu.

Kusema kweli kuhamia Dodoma ilikuwa move moja ya kisiasa zaidi. Kulikuwa hakuna sababu ya maana ya kiuchumi au kiusalama, na kadiri muda unavyoenda hilo linaonekana zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…