Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Binafsi nashangaa sana...hatuwezi diversify maendeleo ya nchi hii kwa kubaki na mentality ya Dar es Salaam tu. It's time tukuze miji mingine...let's make Dodoma our capital city with serious political will. Hata marekani kuna New York lakini serikali imetulizana Washington DC.
... Marekani cities zote almost ziko sawa in terms of infrastructure, services, hospitality, and the like. There is no significant difference kati ya NY, DC, Los Angeles, Houston, etc. Chadema wakizungumzia sera ya majimbo ili kuwe na ushindani wa maendeleo; miji ikue kama hawaeleweki vile.

Kadiri tunavyoendelea kuwa na "central government" inayomiliki kila kitu na Rais kugawa jinsi apendavyo tusahau habari ya miji na maeneo mengine ya nchi kukua.
 
haya unayataka wewe kwa maslahi yako sisi tunataka maendeleo ambayo mama anayafanya huna hoja ya msing hapa
Tena hana hoja kabisa.

Hawa watu sijui wafanyiwe nini yaani. Ndio maana mwendazake alifunga madirisha na milango na kuamua kufanya anavyoona yeye ni sawa.

Eti jitu linatoka huko na njaa zake linaropoka tu Mama hajafanya kitu.

Fanya wewe basi.
 
Tuendelee kumkumbusha Rais wetu mpendwa mpaka sasahivi ajafanya chochote chenye multiple effect kwa watanzania.

Tuendelee kumkumbusha ajenda kuu za nchi hii ni

Kutengeneza mifumo imara ya kiutawala
Kuleta katiba mpya yenye matakwa ya wananchi.
Kuwepo tume huru ya kusimamia chaguzi zote za mwakwa 2024 na 2025 na mbele.

Kutengenisha siasa na biashara yaani sector binafsi iwe na nguvu sio kuwa na wafanyabiashara wanasiasa hawa hawatalipa kodi.

Kuwa na elimu maalifa (ujuzi) ( tetchnical education) sio elimu vyeti na kuzalisha watu wasio ajirika hapa tutaondoa tatizo la ajira.

Sera za kibenk kwa vijana ili mabenk yaweze kuwakopesha vijana pesa na watu wafanye biashara sio kukopa mpaka uwe na nyumba au shamba kama ilivyo sasa.

Mawazo ya biashara yapewe mikopo na ziwepo bima za mikopo hiyo.

Mifumo bora ya watanzania masikini kujengewa nyumba na NHC na wao kuzinunua kwa bei ndogo na malipo yawe kidogokidogo.

Sio zijengwe tena zinunuliwe na hao hao wajenzi hapana utengenezwe utaratibu wa kutambua wanaonunua ni masikini au ni matajiri?

Mama Fanya mambo ambayo yanaweza kuleta multiple effect kwa wananchi wote sio siasa za majukwaani au mambo ya kimbizana na wakina Sabaya na wengine.

Ni ushauri wangu tu safari bado ndefu na muda ni mchache tengeneza mifumo wa kisheria kikatiba hata aje mwehu kiasi gani atapita mle mle ndani ya katiba.
Sabaya je
 
Haya yote uliyotaja unaamini kabisa Rais Samia anaweza kuyafanya kwa kipindi cha mwaka mmoja? Kila ulichotaja kinahitaji muda na rasilimali kukitekeleza.
Mfano ukikurupuka tu kuleta katiba mpya basi inawezekana kabisa ukaenda kuwanufaisha wachache tena wanasiasa na sio wananchi kama wanavyojinadi wanaoitaka.
Ukiangalia matakwa ya katiba utaona wanaoipigia chapuo wamejaza matakwa ya kutawala tu na mgawanyo was vyeo tu.
 
Tulisema huyu mpwani lao moja kurudisha mji mkuu dar.
La kushangaza dodoma ndege kubwa zinatua ila ziara ya rais wa botswana tunaona kupokelewa dar na tafrija zote dar. Samia ajue kwamba magufulist tunamuangalia tukijua kura za magufuli ndio zimempa urais. Tungependa kuona dodoma inapewa haki yake ya mji mkuu. Magufuli hakukosa sehemu dodoma kufanya shughuli yoyote ila mtu mpenda fahari na kujikweza ataona kuna vitu dodoma bado haikidhi.
Yetu macho.. hatutaki maonesho tunataka utendaji wa kimagufuli. Tulimpigia yeye kura samia usituzingue.
Na mbaya zaidi ule uwanja wa Dodoma ulipanuliwa na gharama ya kutosha imetumika, ikulu imejengwa Sasa sijui kinacho mfanya Rais daily pokea wageni dar ni nini?


Hili kwa kweli naungana na wewe mkuu ,Hili halikubaliki, Kama vipi Rais aludishe serikali Dar tujue moja, mamlaka anayo ,but hatutaweza kuukamilisha mji mkuu wa Dodoma Kama mkuu wa Nchi hatakua na commitment, maana KWA Sasa naona Kama viongonzi hawataki kukubali kwamba makao makuu ni Dodoma but daily shughuli nyingi zinafanyika dar ,

Nilitegemea MPAKA mda huu shughuli za kiserikali kufanyika Dodoma, wageni wafikie Dodoma ili kuendelea kuutangaza mji
 
Kwa akili ya kawaida utajengaje ikulu Dodoma Kama siyo ukichaa,au alikuwa anamjengea Ndugai .Wizara zipo Dar ,balozi zote zipo Dar ,uwanja wa ndege kimataifa upo Dar ,Bandari ipo Dar halafu unahamisha Ikulu .Jamaa alikuwa na akili za ajabu
... watetezi watakwambia lilikuwa wazo la tangu Nyerere! Subiri matusi Mkuu.
 
Tuendelee kumkumbusha Rais wetu mpendwa mpaka sasahivi ajafanya chochote chenye multiple effect kwa watanzania.

Tuendelee kumkumbusha ajenda kuu za nchi hii ni

Kutengeneza mifumo imara ya kiutawala
Kuleta katiba mpya yenye matakwa ya wananchi.
Kuwepo tume huru ya kusimamia chaguzi zote za mwakwa 2024 na 2025 na mbele.

Kutengenisha siasa na biashara yaani sector binafsi iwe na nguvu sio kuwa na wafanyabiashara wanasiasa hawa hawatalipa kodi.

Kuwa na elimu maalifa (ujuzi) ( tetchnical education) sio elimu vyeti na kuzalisha watu wasio ajirika hapa tutaondoa tatizo la ajira.

Sera za kibenk kwa vijana ili mabenk yaweze kuwakopesha vijana pesa na watu wafanye biashara sio kukopa mpaka uwe na nyumba au shamba kama ilivyo sasa.

Mawazo ya biashara yapewe mikopo na ziwepo bima za mikopo hiyo.

Mifumo bora ya watanzania masikini kujengewa nyumba na NHC na wao kuzinunua kwa bei ndogo na malipo yawe kidogokidogo.

Sio zijengwe tena zinunuliwe na hao hao wajenzi hapana utengenezwe utaratibu wa kutambua wanaonunua ni masikini au ni matajiri?

Mama Fanya mambo ambayo yanaweza kuleta multiple effect kwa wananchi wote sio siasa za majukwaani au mambo ya kimbizana na wakina Sabaya na wengine.

Ni ushauri wangu tu safari bado ndefu na muda ni mchache tengeneza mifumo wa kisheria kikatiba hata aje mwehu kiasi gani atapita mle mle ndani ya katiba.
Kumbe we Ni mtu wa kukosoa tu, nilikuwa nakuonaga Ni great thinker, kumbe ni kiazi
 
Tuendelee kumkumbusha Rais wetu mpendwa mpaka sasahivi ajafanya chochote chenye multiple effect kwa watanzania.

Tuendelee kumkumbusha ajenda kuu za nchi hii ni

Kutengeneza mifumo imara ya kiutawala
Kuleta katiba mpya yenye matakwa ya wananchi.
Kuwepo tume huru ya kusimamia chaguzi zote za mwakwa 2024 na 2025 na mbele.

Kutengenisha siasa na biashara yaani sector binafsi iwe na nguvu sio kuwa na wafanyabiashara wanasiasa hawa hawatalipa kodi.

Kuwa na elimu maalifa (ujuzi) ( tetchnical education) sio elimu vyeti na kuzalisha watu wasio ajirika hapa tutaondoa tatizo la ajira.

Sera za kibenk kwa vijana ili mabenk yaweze kuwakopesha vijana pesa na watu wafanye biashara sio kukopa mpaka uwe na nyumba au shamba kama ilivyo sasa.

Mawazo ya biashara yapewe mikopo na ziwepo bima za mikopo hiyo.

Mifumo bora ya watanzania masikini kujengewa nyumba na NHC na wao kuzinunua kwa bei ndogo na malipo yawe kidogokidogo.

Sio zijengwe tena zinunuliwe na hao hao wajenzi hapana utengenezwe utaratibu wa kutambua wanaonunua ni masikini au ni matajiri?

Mama Fanya mambo ambayo yanaweza kuleta multiple effect kwa wananchi wote sio siasa za majukwaani au mambo ya kimbizana na wakina Sabaya na wengine.

Ni ushauri wangu tu safari bado ndefu na muda ni mchache tengeneza mifumo wa kisheria kikatiba hata aje mwehu kiasi gani atapita mle mle ndani ya katiba.
Hawezi kufanya kitu bila kuwa na safu nzuri ya viongozi. Si unajua chama hakina watu wazuri kiweledi ndiyo maana anapangua pangua. Akipata viongozi wenye weledi atafanya makubwa. Raisi peke yake hawezi kufanya kitu, lazima awe na majemedari imara. ukifanya kila kitu mwenyewe ni tidious na huwezi kufanikiwa. Ukifanya hivyo tegemea kupata stress, pressure, heart attack na early death!!!! Lazima awe na watu mahiri wa kubeba kile anachoamini.
 
Kwa akili ya kawaida utajengaje ikulu Dodoma Kama siyo ukichaa,au alikuwa anamjengea Ndugai .Wizara zipo Dar ,balozi zote zipo Dar ,uwanja wa ndege kimataifa upo Dar ,Bandari ipo Dar halafu unahamisha Ikulu .Jamaa alikuwa na akili za ajabu
Axha kupiga watu kamba mzee, wizara zote makao makuu ni Dom zilishahamishwa kitambo.

Pia

Uwanja wa ndege kimataifa dodoma hata mchoro ulishawekwa toka enzi ya Kikwete na unajulikana utakuwa msalato. Hiyo plan hakuweka mwenyewe kaikuta kwa wakati wake, ndiyo maana hata mpango wa uwanja wa Msalato ulipitishwa enzi za Mzee wa Msoga. Hata kama unamchukia mtu, si kufikia kumzushia akiwa amefariki ukijua hawezi kukujibu.

Bandari kutokuwa Dodoma haimaanishi ndiyo haiwezi kuwa mji mkuu, hebu come to your sense. Mbona Madrid mji mkuu wa Hispania hauna bandari na bado unatambulika ni mji mkuu? Mbona Nairobi haina bahari wala bandari? Hii ni sababu ya kitoto tu.

Kama kuwa na uwanja wa kimataifa ni kigezo mbona Kilimanjaro haijawa mji mkuu, nayo si inayo?

Vilevile suala la balozi karibia zote zimeshapewa maeneo Dodoma kama ulikuwa haujui, maana yake nao wataenda huko
 
Kwa akili ya kawaida utajengaje ikulu Dodoma Kama siyo ukichaa,au alikuwa anamjengea Ndugai .Wizara zipo Dar ,balozi zote zipo Dar ,uwanja wa ndege kimataifa upo Dar ,Bandari ipo Dar halafu unahamisha Ikulu .Jamaa alikuwa na akili za ajabu
So what kupanga ni kuchagua ,tulisema tunaamia Dodoma hatuwezi ludi nyuma ,maana huu ni mpango wa miaka kibao na sio waliouleta mpango hawakujua Kama balozi nyingi zipo dar na sio kwamba walikua wajinga

Wizara kuendelea kubaki dar Zinafanya nini ? Ilihali tumekubali serikali kuamia makao makuu,no way na wa kuludisha mpango huu nyuma ajipange vizuri , itamkumba laana sio ya dunia hii,

Kodi za watu zimelala pale Dodoma MPAKA mda huu alafu unaanzaje kuleta hoja mfuu Kama hii,
 
Modern economies zinajengwa kwa free market.

Nchi inapanuka, miji inastawi kwa biashara huria.

Siyo kwa central planning ya serikali kusema mji uwe hapa kwa lazima.
... sera ya majimbo ingesaidia sana kwenye hili. Badala ya kusubiri maamuzi ya mtu mmoja (Rais) aamue; decentralization ingeongeza ushindani huku Central Government ikiwa mtunga sera za kitaifa na ulinzi wa nchi.
 
Na mbaya zaidi ule uwanja wa Dodoma ulipanuliwa na gharama ya kutosha imetumika, ikulu imejengwa Sasa sijui kinacho mfanya Rais daily pokea wageni dar ni nini?
...
... nitajie hoteli yoyote Dodoma yenye hadhi ya kufikia mkuu wa nchi ya kigeni na msafara wake! Hebu ongeeni kwa facts badala ya kuwaza kwa akili za marehemu!
 
... sera ya majimbo ingesaidia sana kwenye hili. Badala ya kusubiri maamuzi ya mtu mmoja (Rais) aamue; decentralization ingeongeza ushindani huku Central Government ikiwa mtunga sera za kitaifa na ulinzi wa nchi.
Watanzania wengi bado hawajawa na akili za kutumia sera hizi.

Wangeweza kuzitumia kugawa nchi kikabila.
 
Watanzania wengi bado hawajawa na akili za kutumia sera hizi.

Wangeweza kuzitumia kugawa nchi kikabila.
... hizo ni propaganda za watawala kuwatisha wananchi wasio na uelewa mpana ili wavune kura. Kazi ya Central Government ni ku-oversee na kuhakikisha hilo halitokei; "eyes on, hands off".
 
Tulisema huyu mpwani lao moja kurudisha mji mkuu dar.
La kushangaza dodoma ndege kubwa zinatua ila ziara ya rais wa botswana tunaona kupokelewa dar na tafrija zote dar. Samia ajue kwamba magufulist tunamuangalia tukijua kura za magufuli ndio zimempa urais. Tungependa kuona dodoma inapewa haki yake ya mji mkuu. Magufuli hakukosa sehemu dodoma kufanya shughuli yoyote ila mtu mpenda fahari na kujikweza ataona kuna vitu dodoma bado haikidhi.
Yetu macho.. hatutaki maonesho tunataka utendaji wa kimagufuli. Tulimpigia yeye kura samia usituzingue.
Mbona dikteta alikuwa anapokea wageni kwao chattle??? Na hamkusema kitu nyie wasukuma?
 
Back
Top Bottom