Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Binafsi nashangaa sana...hatuwezi diversify maendeleo ya nchi hii kwa kubaki na mentality ya Dar es Salaam tu. It's time tukuze miji mingine...let's make Dodoma our capital city with serious political will. Hata marekani kuna New York lakini serikali imetulizana Washington DC.
 
Ndio hizi hizi akili zetu watu weusi. Ndio maana tumejazana Dar kama magunia. You can't build a strong economy kwa kuwa na mji mmoja unaotia ushamba watanzania wote...modern economy ipo kwenye modern cities. Dar imejazana haijapangika yani tunaishi kama mizigo..wengi wetu.
DDM imepangika?
 
Dar kuna sumaku inawavuta.

Kila wakitaka kuondoka wanashindwa.
 
Peleka bango la matusi Mwanza utaeleweka zaidi!
 
Huwezi kushindana na Dar es salaam ndgu
Binafsi nashangaa sana...hatuwezi diversify maendeleo ya nchi hii kwa kubaki na mentality ya Dar es Salaam tu. It's time tukuze miji mingine...let's make Dodoma our capital city with serious political will. Hata marekani kuna New York lakini serikali imetulizana Washington DC.
 
Tuendelee kumkumbusha Rais wetu mpendwa mpaka sasahivi ajafanya chochote chenye multiple effect kwa watanzania.

Tuendelee kumkumbusha ajenda kuu za nchi hii ni

  • Kutengeneza mifumo imara ya kiutawala
  • Kuleta katiba mpya yenye matakwa ya wananchi.
  • Kuwepo tume huru ya kusimamia chaguzi zote za mwakwa 2024 na 2025 na mbele.

Kutengenisha siasa na biashara yaani sector binafsi iwe na nguvu sio kuwa na wafanyabiashara wanasiasa hawa hawatalipa kodi. Kuwa na elimu maalifa (ujuzi) ( tetchnical education) sio elimu vyeti na kuzalisha watu wasio ajirika hapa tutaondoa tatizo la ajira.

Sera za kibenk kwa vijana ili mabenk yaweze kuwakopesha vijana pesa na watu wafanye biashara sio kukopa mpaka uwe na nyumba au shamba kama ilivyo sasa.

Mawazo ya biashara yapewe mikopo na ziwepo bima za mikopo hiyo. Mifumo bora ya watanzania masikini kujengewa nyumba na NHC na wao kuzinunua kwa bei ndogo na malipo yawe kidogokidogo.

Sio zijengwe tena zinunuliwe na hao hao wajenzi hapana utengenezwe utaratibu wa kutambua wanaonunua ni masikini au ni matajiri?

Mama Fanya mambo ambayo yanaweza kuleta multiple effect kwa wananchi wote sio siasa za majukwaani au mambo ya kimbizana na wakina Sabaya na wengine.

Ni ushauri wangu tu safari bado ndefu na muda ni mchache tengeneza mifumo wa kisheria kikatiba hata aje mwehu kiasi gani atapita mle mle ndani ya katiba.
 
Ndio hizi hizi akili zetu watu weusi. Ndio maana tumejazana Dar kama magunia. You can't build a strong economy kwa kuwa na mji mmoja unaotia ushamba watanzania wote...modern economy ipo kwenye modern cities. Dar imejazana haijapangika yani tunaishi kama mizigo..wengi wetu.
Modern economies zinajengwa kwa free market.

Nchi inapanuka, miji inastawi kwa biashara huria.

Siyo kwa central planning ya serikali kusema mji uwe hapa kwa lazima.
 
Hiyo ni chuki tu..,,inaonyesha wewe huwezi kuona kitu kinachofanyika..................
Kuna wanaoona kinachofanyika.................
Hawatafanana...............

Kila jambo na wakati wake....
 
Back
Top Bottom