Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Kwa kweli akikabidhiwa kijiti majaliwa moyo wangu utafurahi Sana,mungu amjalie kassim awe rais
 
Suala la immune lipo. Unapotaja ukimwi uelewe wazungu wako vzr kwenye ukimwi kuliko waafrika. Namaanisha Kinga ya weupe linapokuja suala la ukimwi ipo juu kuliko waafrika na hivyo wao hawaathiriki Sana Kama sisi
 
Ni kweli sasa hivi si tishio sana kwani watu wanachukua tahadhari za kisayansi.

Kabla ya tarehe 17 March watu walikuwa wakilishwa matango pori ya "kujifukiza, kula malimau na kunywa tangawizi".

Korona ilipokuja kupiga ikulu ndiposa watu akili zimewarudi na tahadhari za kisayansi zinachukuliwa.
 
Majaliwa anaenda kupumzika Ruangwa, 2025 Katiba Mpya na Tume Huru kwanza mengine baadae.
 
Suala la immune lipo. Unapotaja ukimwi uelewe wazungu wako vzr kwenye ukimwi kuliko waafrika. Namaanisha Kinga ya weupe linapokuja suala la ukimwi ipo juu kuliko waafrika na hivyo wao hawaathiriki Sana Kama sisi
Kuna research yoyote au myth stories?
 
Ata wewe unaweza kufa ata kwa kujikwaa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo sipingi lakini tusife vifo tulivyopewa maarifa kuviepuka.
Mfano CORONA ni sawa unaweza kufa nayo lakni pia tunaweza kuepukana mayo.
Serikali yetu haina uwezo wa kukabiliana na majanga au maafa kama hayo. Tukileta uzembe tutarudi nyuma tena.
Ebu tuchkueni tahadhari tukiomba pia.
 
Mnafiki ww, Samia yupo hadi #2035,
Kwanza we si tokea afe mungu wenu ulikuwa unamtukana Samia humu!, leo pole unampa ya nini
 
Mama Samia yuko amechoka anasubiri tu 2025 amkabidhi kijiti Majaliwa Kassim Majaliwa.
Baada ya hapo muandae Wachawi elfu sita muelekee kwenye kaburi kwenda kufanya ibada zenu za Gambosh ili mjaribu kufufua mwili ibada hiyo itaongozwa na Majaliwa
 
Mataga mnahangaika Sana Sasa ndio Nini hizi pumbaz ulizoandika?

Hapo mwishoni et corona ugonjwa wa kishetani daaa Africa Bado Kuna ujinga mkubwa Sana yaani Leo shetani ajifitini alete ugonjwa unaoua Hadi watu wake huo si upuuzi

Et mtu pori from Chattle Mabatini alikua Shujaa akaishinda corona wakati ndio ilimtoa roho Kwa kustop heart ingine yake
Endelea kupigania legasi hewa!

Kalaga bhaho!
 
wapo wanakufa kwa Maralia pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Munakataa vitu vilivyopo hadi munakufa kilofa,mbwa nyie
 
I second you
 
Habarin wana jf.

Hayati magufuli alitufikisha kwenye uchumi wa kati kutoka uchumi wa chini.
Je, mama anatubakisha hapa hapa au anatupeleka uchumi wa juu?

Sera Zake hazieleweki.swala la bandari ya bagamoyo, lilishasemwa, kwamba mkataba ni mbovu huo.

Anaturidisha kwa mafisadi tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…