Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Wanaompigia Makofi ni wale wasiojua maana ya Raisi na wajibu wake. Siku hizi yeye amekuwa .mpokea wawekezaji utafikiria ni Waziri. Eti wanakuja watalii waandishi wa Habari il kuandika Stori na kwenda kuzirusha huko tusaidiwe! Kwa ufupi, Raisi anayeamini kuna kitu kinaitwa misaada Duniani kwa ajili ya maendeleo ya Nchi.
 
Sasa unataka RAIS WA NCHI audhi kila kundi?!!!!

Kwani URAIS ni ufalme ?!!!!

Kukutana kwake na MAASKOFU ni kosa ?!!!
Kukutana kwake na VIJANA ni kosa?!!!
Kukutana kwake na WANAWAKE ni kosa?!!!
Kukutana kwake na WAZEE ni kosa ?!!!

Mbona KATIBA inamuelekeza katika hayo makundi !!

Mbona mikono yake ina "presidential decree"!!!!

Binafsi nasubiri akutane na WALEMAVU......

KULE HALMASHAURI kumetengwa mafungu ya baadhi ya makundi niliyoainisha hapo juu.....waliorasimisha hayo WAMEKOSEA?!!!!

Tuna Rais mpya na hawezi KUWA kama BABA WA TAIFA NA WENGINEO........

*************************
1)Ameanza na AJIRA 8000 zilizokosekana kwa miaka 6....

2)Amefuta tozo ya 6% ya mikopo ya HESLB.....

SILIONI KOSA LAKE......

#MwanzoMzuriKwaRaisSSH
#KaziIendelee
 
Mbona hakukubaliana na hoja ya kupandisha mshahara wakati huu alipoombwa na wafanya kazi? Akili yako fupi sana wewe
 
Aliukwaa urais kwa bahati mbaya that's way hata maamuzi yake ni ya bahati mbaya, shame on katiba kwa maamuz yale
 
Hama nchi mkuu
 
Unanikumbusgha mbwa wangu ambaye ukimtupia mfupa, anahangika nao siku nzima wakati nimekula minofu ndani: wewe Unahangika na mfupa! Utakufikisha wapi? Hizo ajira zimeanza leo? Tangu enzi ya Kikwete na tukaishiwa kuambiwa barmaid walivyofaidi.
 
Usisumbuke na hao wahuni, Mama yupo vizuri sana.
 
Aliukwaa urais kwa bahati mbaya that's way hata maamuzi yake ni ya bahati mbaya, shame on katiba kwa maamuz yale

We Msukuma,muogope mungu wako,

Kifo siyo kitu Cha bahat mbaya,Magufuli kafa natural death and gone,makamu mama samia kikatiba akachukua madaraka,don't ask me why Magufuli died,thank God,and ask how??Kweli ulitegemea kuwa leo hayupo??Mungu mkubwa
 
Unanikumbusgha mbwa wangu ambaye ukimtupia mfupa, anahangika nao siku nzima wakati nimekula minofu ndani: wewe Unahangika na mfupa! Utakufikisha wapi? Hizo ajira zimeanza leo? Tangu enzi ya Kikwete na tukaishiwa kuambiwa barmaid walivyofaidi.
Sentensi ya mwisho una maana gani?
 
We Msukuma,muogope mungu wako,

Kifo siyo kitu Cha bahat mbaya,Magufuli kafa natural death and gone,makamu mama samia kikatiba akachukua madaraka,don't ask me why Magufuli died,thank God,and ask how??Kweli ulitegemea kuwa leo hayupo??Mungu mkubwa
Hakuna ulichosema hapo jipange na uje tna.Am out
 
Uwe na heshima na adabu katika ukosoaji wako!
 
Mapema sana kulalamika hivi, tumpe mama muda, mbona kujitwisha lawama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…