Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lisu ameshauriwa kama mtu mzima aombe msamaha kwa watanzania kwani mtu mzima akivuliwa nguo huchutama na siyo kukimbia uchi.

Ni miaka sita sasa tangu Tundu Lisu aitabirie Tanzania mabaya ikiwemo kushitakiwa MIGA , ndege kukamatwa, uchumi kufilisika, kunyimwa misaada mbalimbali. Mpaka sasa hakuna hata kitu kimoja kilichotabiriwa na Lisu kilichotimia maaana yake aliwadanaganya watanzania, yani licha ya kusoma kwa kodi za watanzania yeye anakuja kufanya kazi ya kuwadanganya watanzania!!!
Kinyume na utabiri wa Lisu ,Tanzania ya sasa imeingia uchumi wa kati, hatujashitakiwa MIGA na viwanda vya kuchenjua dhahabu vimejengwa Mwanza. Mapato ya madini yamepanda kutoka billioni 100 hadi billion 500, ndege hazikamatwi na watanzania ni wamoja zaidi kinyume na utabiri wake.
Baada ya kuona aibu Tundu Lisu na Lema badala ya kuwaomba msamaha watanzania wao wamekimbilia Ulaya kwenda kulishwa bure na wazungu!!

Lema na Lisu rudini nyumbani muwaombe msamaha watanzania muanze kuishi kwa jasho lenu kwa kufanya kazi na siyo kulelewa.
Duh....!! Unaharibu uzi wa watu!! Unaua VIBE!
 
Hahahaha huyu mama ni muoga si dictator mama anajua kabisa huku mtaani hakuna anaemuelewa hasa kumjua kwani watanzania wengi wanatabia ya kumchagua mtu wanaemjua kwa sifa zake huyu mama amekaa kiofisi zaidi si kifield kama JPM sapport pekee aliyonayo ni mitandaoni tu ambao wengi si wapiga kura .. huku mitaani hali ni tofauti kabisa sasa akiruhusu siasa za mitaani anajua kabisa mwaka 2025 maajabu yanaweza kutokea na akajikuta ni Trump wa kike (rais wa muhula mmoja)
Amin Amin nakwambia mwendazake alikua na uwezo wa kuteka tu na sio kufanya mambo mwingine ya maendeleo.
 
Hahahaha huyu mama ni muoga si dictator mama anajua kabisa huku mtaani hakuna anaemuelewa hasa kumjua kwani watanzania wengi wanatabia ya kumchagua mtu wanaemjua kwa sifa zake huyu mama amekaa kiofisi zaidi si kifield kama JPM sapport pekee aliyonayo ni mitandaoni tu ambao wengi si wapiga kura .. huku mitaani hali ni tofauti kabisa sasa akiruhusu siasa za mitaani anajua kabisa mwaka 2025 maajabu yanaweza kutokea na akajikuta ni Trump wa kike (rais wa muhula mmoja)
Wakwanza kumpiga mama tofali ni yule sheikh mkuu abubakary yaani kaenda na korani kabisa na juzuu zote kichwanii lakin samia kaona dodo haliachwi kihasara hasara labda na yeye wamuue!
 
Mara hii mnaanza kumlaumu mama yenu wakati tunaambiwa Magufuli alikuwa dikteta na kila upuuzi. Muda si mrefu Tanzania siyo kumkumbuka tu bali itamlilia Magufuli asijitokeze.
Samia Hana uwezo wowote ule

Yaani hakuna watu wa kuwaogopa kama ma ccm! Hawanaga maana kwenye hii inchii zaidi ya propaganda nyingi! Askofu Gwajima alihaidi mambo kem kem leo yuko wapi... Alie muweka hapo kafaa na ahadi ya kuwa waziri imegonga mwamba yaani

Sasa hata mm sijipi matumaini kwa mama samia maana ni walewale 2, hawezi kuenda against chama chake! Ni kondooo anae ongozwa na fimbo [ ilani ] ya mchungaji ( ccm)

Haya huyu mama kasema j5 na Alhamisi anapokea mitaarifa ya CAG iliyofanywa BoT ( Benki Kuu) sasa hapo sisi hatuna shida!! Sasa ikionekana kuna wizi ulifanyika na matrillioni ya hela zimepotea! Jee mtasema ni hela za mboga?

Alafu ikitokea CAG kasema kuna fedha hazipo kwenye bajetii haijulikani ilipo... Itamhusishaa aliekuwa waziri wa fedha ( Mpango ) ? Au utamsaidia mwanao?

Kazii iendelee! Dictator Kipanya! Kung'ata na kupuliza yaani View attachment 1834917
i
 
Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lisu ameshauriwa kama mtu mzima aombe msamaha kwa watanzania kwani mtu mzima akivuliwa nguo huchutama na siyo kukimbia uchi.

Ni miaka sita sasa tangu Tundu Lisu aitabirie Tanzania mabaya ikiwemo kushitakiwa MIGA , ndege kukamatwa, uchumi kufilisika, kunyimwa misaada mbalimbali. Mpaka sasa hakuna hata kitu kimoja kilichotabiriwa na Lisu kilichotimia maaana yake aliwadanaganya watanzania, yani licha ya kusoma kwa kodi za watanzania yeye anakuja kufanya kazi ya kuwadanganya watanzania!!!
Kinyume na utabiri wa Lisu ,Tanzania ya sasa imeingia uchumi wa kati, hatujashitakiwa MIGA na viwanda vya kuchenjua dhahabu vimejengwa Mwanza. Mapato ya madini yamepanda kutoka billioni 100 hadi billion 500, ndege hazikamatwi na watanzania ni wamoja zaidi kinyume na utabiri wake.
Baada ya kuona aibu Tundu Lisu na Lema badala ya kuwaomba msamaha watanzania wao wamekimbilia Ulaya kwenda kulishwa bure na wazungu!!

Lema na Lisu rudini nyumbani muwaombe msamaha watanzania muanze kuishi kwa jasho lenu kwa kufanya kazi na siyo kulelewa.
Wakukurupuka ndani ya nyumba.
 
Mara hii mnaanza kumlaumu mama yenu wakati tunaambiwa Magufuli alikuwa dikteta na kila upuuzi. Muda si mrefu Tanzania siyo kumkumbuka tu bali itamlilia Magufuli asijitokeze

We tuachee kwanza! Nyie ndo mnataka kila ki2 mpewe Mdaa... Hakuna cha mudaa Hapa....
Amin Amin nakwambia mwendazake alikua na uwezo wa kuteka tu na sio kufanya mambo mwingine ya maendeleo.
Anateka na kuua kabisa... Mfano bensanane
 
Samia Hana uwezo wowote ule

Yaani hakuna watu wa kuwaogopa kama ma ccm! Hawanaga maana kwenye hii inchii zaidi ya propaganda nyingi! Askofu Gwajima alihaidi mambo kem kem leo yuko wapi... Alie muweka hapo kafaa na ahadi ya kuwa waziri imegonga mwamba yaani

Sasa hata mm sijipi matumaini kwa mama samia maana ni walewale 2, hawezi kuenda against chama chake! Ni kondooo anae ongozwa na fimbo [ ilani ] ya mchungaji ( ccm)

Haya huyu mama kasema j5 na Alhamisi anapokea mitaarifa ya CAG iliyofanywa BoT ( Benki Kuu) sasa hapo sisi hatuna shida!! Sasa ikionekana kuna wizi ulifanyika na matrillioni ya hela zimepotea! Jee mtasema ni hela za mboga?

Alafu ikitokea CAG kasema kuna fedha hazipo kwenye bajetii haijulikani ilipo... Itamhusishaa aliekuwa waziri wa fedha ( Mpango ) ? Au utamsaidia mwanao?

Kazii iendelee! Dictator Kipanya! Kung'ata na kupuliza yaani View attachment 1834917

Unamwongelea Mama huyu?

IMG_20210610_103030_594.jpg


Kama ni huyu mbona yuko vizuri?

Wapi alipokosea? J5 si haijafika? Wewe umekuwa nabii?

😂😂😂😂😂😂😂

Mwongozo wako tafadhali

Angalizo la kiungwana: kukosoa ni panapostahili na kwa staha.
 
Team malalamiko mnaendelea kulalamika..
Watanzania wengi furaha inaongezeka..

Usisahau kuwa kuna wengine wanahangaika kumfarakanisha Mama na yeyote na kwa lolote hata kama ni la kijinga:

 
Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lisu ameshauriwa kama mtu mzima aombe msamaha kwa watanzania kwani mtu mzima akivuliwa nguo huchutama na siyo kukimbia uchi.

Ni miaka sita sasa tangu Tundu Lisu aitabirie Tanzania mabaya ikiwemo kushitakiwa MIGA , ndege kukamatwa, uchumi kufilisika, kunyimwa misaada mbalimbali. Mpaka sasa hakuna hata kitu kimoja kilichotabiriwa na Lisu kilichotimia maaana yake aliwadanaganya watanzania, yani licha ya kusoma kwa kodi za watanzania yeye anakuja kufanya kazi ya kuwadanganya watanzania!!!
Kinyume na utabiri wa Lisu ,Tanzania ya sasa imeingia uchumi wa kati, hatujashitakiwa MIGA na viwanda vya kuchenjua dhahabu vimejengwa Mwanza. Mapato ya madini yamepanda kutoka billioni 100 hadi billion 500, ndege hazikamatwi na watanzania ni wamoja zaidi kinyume na utabiri wake.
Baada ya kuona aibu Tundu Lisu na Lema badala ya kuwaomba msamaha watanzania wao wamekimbilia Ulaya kwenda kulishwa bure na wazungu!!

Lema na Lisu rudini nyumbani muwaombe msamaha watanzania muanze kuishi kwa jasho lenu kwa kufanya kazi na siyo kulelewa.
Ndege haikukamatwa kule Canada? Hukumbuki world bank walimnyima mwendawazimu mkopo? Uchumi uko dhaifu hilo huhitaji kuwa genius kuliona.

Mataga mnahaha sana kutetea legacy uchwara.
 
Tatizo ni kuwa unaweza kutoa uharo badala ya nyongo!

😂😂😂😂😂😂!


Aaaaaiii ati uhoro! Unajua wananchi nimegundua mnawaza maeneo ya chini sana! Kama hauna bundle nikununulie ukapige nyetoo midaa ndo hii, au ushamaliza kutema ukaamua uzunguke Jf....
 
Aaaaaiii ati uhoro! Unajua wananchi nimegundua mnawaza maeneo ya chini sana! Kama hauna bundle nikununulie ukapige nyetoo midaa ndo hii, au ushamaliza kutema ukaamua uzunguke Jf....

Sasa hii nyongo unayotema jombi sababu yake nini mkuu?

Achana na bundle niko vizuri, pia nina pisi kali hapa pembeni yangu tu, hivyo usikonde.
 
Back
Top Bottom