Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lisu ameshauriwa kama mtu mzima aombe msamaha kwa watanzania kwani mtu mzima akivuliwa nguo huchutama na siyo kukimbia uchi.

Ni miaka sita sasa tangu Tundu Lisu aitabirie Tanzania mabaya ikiwemo kushitakiwa MIGA , ndege kukamatwa, uchumi kufilisika, kunyimwa misaada mbalimbali. Mpaka sasa hakuna hata kitu kimoja kilichotabiriwa na Lisu kilichotimia maaana yake aliwadanaganya watanzania, yani licha ya kusoma kwa kodi za watanzania yeye anakuja kufanya kazi ya kuwadanganya watanzania!!!
Kinyume na utabiri wa Lisu ,Tanzania ya sasa imeingia uchumi wa kati, hatujashitakiwa MIGA na viwanda vya kuchenjua dhahabu vimejengwa Mwanza. Mapato ya madini yamepanda kutoka billioni 100 hadi billion 500, ndege hazikamatwi na watanzania ni wamoja zaidi kinyume na utabiri wake.
Baada ya kuona aibu Tundu Lisu na Lema badala ya kuwaomba msamaha watanzania wao wamekimbilia Ulaya kwenda kulishwa bure na wazungu!!

Lema na Lisu rudini nyumbani muwaombe msamaha watanzania muanze kuishi kwa jasho lenu kwa kufanya kazi na siyo kulelewa.
Wewe jamaa mpuuzi kweli kweli
 
Pisi nini umesema? Turudii kwenye madaa!

Pisi si haba:

IMG_20210514_165606_757.jpg


Nakusubiri kwenye mada.
 
Samia Kaishiwa! Ccm hawana uwezo wa kaconvince wananchii ! Yaani akubali 2 katiba awe amejitia kitanzii! Na hatokaa apite 2025

Sasa kajibiwa kijanja na Askofu... Haya mambo ccm washakwama kitambo sana

IMG_20210629_233429.jpg


IMG_20210629_232752.jpg
 
Hahahahahah mbn kama picha yako vile? Kwani haya maviatu ni vya pisi kali? Au ametokea mbagala kwa watu wa usafiri mgumu! Ndo kaona High heels hazifai! 😂😂[/QUOTE]
 
Hahahahahah mbn kama picha yako vile? Kwani haya maviatu ni vya pisi kali? Au ametokea mbagala kwa watu wa usafiri mgumu! Ndo kaona High heels hazifai! 😂😂


Hiyo pisi uhakika. Sina shaka udenda unakudondoka. Achana na alikotoka tambua niko vizuri kuliko unavyodhani. Mambo ya chaputa labda kwako.

Turejee kwenye mada:

Comments #15 na #21 kwa mwongozo wako tafadhali.
 
We Msukuma,muogope mungu wako,

Kifo siyo kitu Cha bahat mbaya,Magufuli kafa natural death and gone,makamu mama samia kikatiba akachukua madaraka,don't
Unawajua madokta waliokuwa wanamtibu siku za mwisho ,mbona atujulishwi wala kuwaona wakitueleza kitu chochote maana raisi JPM kafia madarakani unajua kwanini wamefichwa?
 
Teuzi zote alizofanya yaani hajazingatia Makundi mbali mbali

Yeye anaangalia kigezo cha Dini na jinsia tu hii sio haki hata kidogo.

Kuna
Wajane
Vipofu
Viziwi
Vilema
Alibino

Watanzania wenye asili ya India na uharabuni wanatakiwa kuonekana kwenye teuzi ili kuleta umoja wa kitaifa.

Na wapo kibao tu wengine tumesoma nao vyuo

Yaani teuzi zaidi ya 500 lakini hakuna kujali makundi mengine hii sio sawa!

Mama bado hatoshi kwenye kiti cha urais huu ndio ukweli !! Washauri wa mama mshaurini juu ya kuteua kila mtu bila kijali yupo vipi ili mradi tu aweze kutimiza majukumu yake!
 
Teuzi zote alizofanya yaani hajazingatia Makundi mbali mbali

Yeye anaangalia kigezo cha Dini na jinsia tu hii sio haki hata kidogo.

Kuna
Wajane
Vipofu
Viziwi
Vilema
Alibino
Watanzania wenye asili ya India na uharabuni wanatakiwa kuonekana kwenye teuzi ili kuleta umoja wa kitaifa.

Na wapo kibao tu wengine tumesoma nao vyuo

Yaani teuzi zaidi ya 500 lakini hakuna kujali makundi mengine hii sio sawa!

Mama bado hatoshi kwenye kiti cha urais huu ndio ukweli !! Washauri wa mama mshaurini juu ya kuteua kila mtu bila kijali yupo vipi ili mradi tu aweze kutimiza majukumu yake!
Ovyo kabisaaa ww
Tazama vizuri watendaj wa serikal walionteuliwa wapo makundi maalum
 
Sasa mnarahizisha Kiti cha Urais.
Wajane,
Wagane,baadae na Masela nao mtasema awape nafasi.
Mwacheni afanye kazi
 
Teuzi zote alizofanya yaani hajazingatia Makundi mbali mbali

Yeye anaangalia kigezo cha Dini na jinsia tu hii sio haki hata kidogo.

Kuna
Wajane
Vipofu
Viziwi
Vilema
Alibino
Watanzania wenye asili ya India na uharabuni wanatakiwa kuonekana kwenye teuzi ili kuleta umoja wa kitaifa.

Na wapo kibao tu wengine tumesoma nao vyuo

Yaani teuzi zaidi ya 500 lakini hakuna kujali makundi mengine hii sio sawa!

Mama bado hatoshi kwenye kiti cha urais huu ndio ukweli !! Washauri wa mama mshaurini juu ya kuteua kila mtu bila kijali yupo vipi ili mradi tu aweze kutimiza majukumu yake!
Unadinywa wewe. Unakumbuka baraza la mawaziri mwisho la Magufuli kabla hajafa? Alichagua watu wengi wa dini moja halafu dini nyingine haikuzidi hata asilimia tatu!
 
Achana na huyo mdini,tunataka mtu kwenye uwezo.
Udini utaturudisha kule nani achinje,nyama zakwenye makopo alichinja nani.
Huyo anayempangia Rais kupitia udini alitegemea uteuzi
 
Back
Top Bottom