ELIMU YA KUJENGA NCHI:
Elimu ya kujenga nchi ndio roadplan yetu. Tusipoteze lengo LA suala letu Muhimu.Tulishaona kuwa Raisat Samia karithi Urais hali a kuwa nchi na watu wake TUMEPOTEA njia. Kwani kama taifa hatina Dira. Leo nchi unaongozwa kwa sera cha chama tawala. Ina maana kesho chama tawala kikiwa tlp, sera za tlp ndizo ziitakazo fuatwa. Na katiba za vyama vyetu vya siasa,vinadai kuwa hazina DINI.
VYAMA NA SERIKALI HAVINA DINI:
Hayati Magufuli akaliona hilo. Na yeye kama Rais akaja na kauli inayokiri kuwa Mungu Yupona TUMUWEKE MBELE. Nchi nzima mvua kwa miaka matano ya uongozi wake, ZIKANYESHA. Na chakula kwa wingi tukavuna na mazingira ya kijani kibichi tukaanza kuyazoea. Lakini ma malaika walipomnyakuwa, na Raisat Samia akatanguliza Jamhuri mbele badala ya Mungu, mvua zikakata na mazao sehemu nyingi yamekauka.
Kwa hiyo tunajifunza kuwa serikali, chama tawala na katiba, kutokuwa na dini ya taiga, hapo TUMEPOTEA.
Zingatia nchi za ulay, uarabuni, Asia, sote zina state religion. Kwa mimi sisi tuwe tofauti?
Waingereza ni Waanglikani
Warusi ni Mathodox,
Wachina ni Mabudha,
Wairani ni Mashia,
Wshindi ni Mahindu,
Wajerumani ni Waprotestant,
Wsitaliano, Waskandernavia, Wareno n.k ni Wakatoliki,
Waturuki ni Masuni,
Wasaudia ni Manswar; tunaona?
Keifa sisi mbona tuwe ni nchi tusio na DINI kitaifa?
Nchi zetu Baran'tu (AFRIKA), ni makoloni ya hawa wazungu ambao nchi zaho wana dini. Nasi tumejikuta wametushikisha dini za mataifa yao kama dhehebu au taasisi na au shirika; kwa namba yenye kutugawa tuwe makundi yasiyo patana. Haya wazungu walifanikiwa baada ya kuibomoa SERA YA MATAIFA YETU-
1) MILA
2) DESTURI na
3) JADI
iliyokuwa rafiki wa Mazingira. Jamii zetu zikawa na dini ile ile iliyoletwa na MANABII WA MUNGU -amrisha hizi 10-
1) Mungu ndiye kila kitu
2) Sharia, hukumu na Amri za Mungu ndivyo itikafi yetu,
3) Mila ya baba wa imani[kinyamkera] kusimikwa,
4) Jamii kuenzi MIIKO
5) Wazazi kuheshimiwa
6) Usiibe,
7) Usiseme uongo
8) Usizini,
9) Usiue na
10) Usitamani vya jirani, bali umpende kwa hali sote.
Hivyo ndivyo Wazungu waliwakuta Babu zetu wamesjika na kuzienzi AMRI KUMI ZA MUNGU. Leo wametufunza neno lao LA UPAGANI. Kumbe wako ndio wapagani. Nasi ni sana wa Mungu ASILI. Hakika wametushikisha UPOTOFU-
1) KATIBA isiyo na dini,
2) SETIKALI haina dini, na
3) MAHAKAMA yenye sheria za taifa lao;
kuwa ndivyo sera ya taifa letu. HAKIKA TUMEPOTEA.
SERA YA TAIFA LAO:
Wao Waingereza (mabwana zetu) wanaongozwa kwa MAJUMBA matatu~
1) Buckingham Palace alipo Malkia na ndiye Mkuu wa Kanisa, KWA HIYO DINI WAMEIWEKA MBELE.
2) Lambuth Palace alipo Askofu mkuu wa Kantibury, Yeye ni namba mbili baada ya Malkia. DINI WAMEOWEKA MBELE, na
3) Jumba la Bunge alipo Waziri Mkuu shahidi (JUMBA HILI MLANGONI LIMEANDIKWA 10 DOWN STREET [YAANI AMRI 10 ZA MUNGU ZISIMAMIWE CHINI MITAANI]), kuwa ndiyo dini waliyoishika.
Niambieni! Kwa nini utajiri wetu usimwagikie kwao walipokinga KAPU lao ~ utajiri wa pamoja {COMMONWEALTH}?????????????????????????????????????????????????????????
Je Sisi!??!!
Tunaongozwa kwa Majumba manne.
1) Ofisi ya Bakwata alipo Mufti asiye na amri wala hukumu na wala Haki
2) Kanisa Katoliki alipo askofu mkana sharia,
3) ikulu isiyo na dini
4) jumba la bunge la kutinga sheria,
Mufti na Askofu ni mahadimu kiimani. Tutegemee nini?
HAKIKA TUPO MBALI MNO NA UKWELI WA MAISHA.
MAISHA NI NINI?
Bila elimu hatuwezi kuchomoka walipo tunasa wazungu wakoloni......
Lakini Leo MALEZI kwa jamii zetu hayapo. YAMEFUTWA MNO........
ITAENDELEZWA