Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Mimi mwenyewe ,nimeshtuka, kumbe kuna watu 10000/= wanapata unit 73[emoji1787][emoji1787]
Ndio... Umeme wa REA ukinunua elfu 10 unapita units 70+ na una masharti.. ikitokea hizo units 70+ zimeisha kabla ya mwezi ukinunua units tena unapata units chache below 70
 
Mwanzoni ulipoingia madarakani, ulikuwa ukienda vyema. Kwa hilo pongezi ulizipata na matumaini mema yakaanza kurejea.

Pote palipokwenda kombo kukiwemo:

1. maongezeko ya kodi na tozo mbalimbali katikati ya janga la Corona,
2. kutozingatiwa kikamilifu kwa mapendekezo yakiwamo ya tume mbalimbali na wenye dhamana akiwamo CAG,
3. kuwepo kwa ubaguzi mbele ya sheria ambapo vigogo ni daraja tofauti, kodi hamlipi, chanjo mmepata, sheria nyingi haziwahusu,
5. kutokuzingatiwa kwa utawala wa sheria.

Ikiaminishwa kuwa hayo yalikuwa ni mapungufu ya watendaji wako tu. Ukisifiwa kwa kuyaweka maslahi zaidi ya taifa mbele dhidi ya mengine yote.

Wapo waliokuwa na mashaka nawe wakikuelezea mithili ya mama wa kambo:

IMG_20210704_051559_619.jpg


Ni wazi kuwa vitimbi vyote vya polisi Mwanza na ukimya wako, ni kwa sababu yote ni kwa maelekezo yako.

Umeonyesha katika wanao kumbe kuna yatima pia.

Leo mnakamata watu na kuwapekua mkitafuta vifaa vya kutengenezea katiba mpya.

Yaani mnatafuta computer, karatasi, kalamu na vichwa vya watu.

Ujumbe utakuwa umefika.

Yatima hawako salama tena.
 
Huyu dada ametoa kauli iliyonishangaza sana.

Chadema bado ina tatizo la viongozi makini. Hawaelewi hata wanasimamia kitu gani.

Juzi tu hapa Mama Samia alikuwa anaupiga mwingi...Leo wameanza kumkumbuka Magufuli.

Chadema bado sana kuaminiwa kupewa hata majimbo....Mama Samia shikilia hapo hapo naona walikuwa wanapima kama muziki wako upoje.
IMG_20210723_074028.jpg
 
Political prostitutes ndo walivyo
Say anything mradi uweze Ku trend hata kama si kweli
 
Huyu dada ametoa kauli iliyonishangaza sana.

Chadema bado ina tatizo la viongozi makini. Hawaelewi hata wanasimamia kitu gani.

Juzi tu hapa Mama Samia alikuwa anaupiga mwingi...Leo wameanza kumkumbuka Magufuli.

Chadema bado sana kuaminiwa kupewa hata majimbo....Mama Samia shikilia hapo hapo naona walikuwa wanapima kama muziki wako upoje.
View attachment 1864124
Hukustuka pale chama kilichotumia miaka 20 kuuaminisha umma kuwa fulani ni fisadi halafu kikatumia mwezi kuwaaminisha watanzania kuwa anafaa kuwa rais?

Wenye akili tulishajua hapa hakuna chama cha siasa, hii ni NGO.
 
Huyo ndiye Rais wa nchi hiyo cheap popularity inaingiaje?

Mkitaka msitake yeye ndiyo kiongozi mkuu wa nchi na ndiye aliyeachiwa hatamu ya uongozi, mbona aliyepita kuna miradi aliiwacha hivyo hivyo?

Tuwe na subira, kwani yeye hajatoka upinzani ni kiongozi wa CCM ileile na ilani ileile kinachotofautiana ni utendaji tu. Ukizingua unazinguliwa.
Mama anaupiga mwingi😂.
 

Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani.

Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari.

Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi.

Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena.

Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
Anatupeleka pale tunapostahili, huyu Mama kichwa kweli haki ya Mungu.
 
Wakuu,

Kama mtaniita mzee wa kukurupuka ni sawa tu maana niliyataka mwenyewe. Nilimuunga mkono Rais Samia bila kufanya uchunguzi wa kina, kiukweli kiongozi yeyote anaetumia uongozi wake kuumiza wengine kwa namna yeyote ile mimi hua sipo upande wake na kamwe simuungi mkono.

Nilifanya hivo kwa mwendazake na kwa huyu ni hivo hivo kwahiyo najitokeza hadharani kusema kua kwa matendo machache tu na yanayoumiza watu aliyofanya toka kaingia madarakani nasema mimi sipo upande wake kabisa hivo waliodhani vinginevo hapana nimeshtuka nimeshtuka nae ni walewale tu.
 
Wakuu
Kama mtaniita mzee wa kukurupuka ni sawa tu maana niliyataka mwenyewe,
Nilimuunga mkono Rais Samia bila kufanya uchunguzi wa kina, kiukweli kiongozi yeyote anaetumia uongozi wake kuumiza wengine kwa namna yeyote ile mimi hua sipo upande wake na kamwe simuungi mkono.
Nilifanya hivo kwa mwendazake na kwa huyu ni hivo hivo kwahiyo najitokeza hadharani kusema kua kwa matendo machache tu na yanayoumiza watu aliyofanya toka kaingia madarakani nasema mimi sipo upande wake kabisa hivo waliodhani vinginevo hapana nimeshtuka nimeshtuka nae ni walewale tu.
Utahangaika sana kaka.
 
Ukishaunga umeunga tu hakuna kupingulua mpaka mitano ipite.
Asubiri mitano iishe.

Si walikua wanashangilia, ooh mama amefungua nchi, nchi inaenda vizuri, sijui ujinga gani. Tuliokua tunapiga tulipewa matusi sio ya nchi hii, mara sukuma gang, mara tufe tumfuate Magu, mara tukubali Magu keshakufa na kashfa kadha wa kadha.

Leo hii mnakuja kujifanya eti mnajitoa, hakuna kujitoa hadi miaka 5 iishe.

Mama endelea kuupiga mwingi.
 
Wakuu
Kama mtaniita mzee wa kukurupuka ni sawa tu maana niliyataka mwenyewe,
Nilimuunga mkono Rais Samia bila kufanya uchunguzi wa kina, kiukweli kiongozi yeyote anaetumia uongozi wake kuumiza wengine kwa namna yeyote ile mimi hua sipo upande wake na kamwe simuungi mkono.
Nilifanya hivo kwa mwendazake na kwa huyu ni hivo hivo kwahiyo najitokeza hadharani kusema kua kwa matendo machache tu na yanayoumiza watu aliyofanya toka kaingia madarakani nasema mimi sipo upande wake kabisa hivo waliodhani vinginevo hapana nimeshtuka nimeshtuka nae ni walewale tu.

Usikonde mkuu. Kumwunga mkono mtu hakuna maana ya kuwa chawa.

Nilimwunga mkono na wengi tulimwunga mkono lakini hatukuwa vyawa wake (aione hii taslimu bwana Jumbe Brown Mzanzibara wa pale Mkunazini).


Mama Samia kabadilika baada ya zile sifa za siku 100. Akapandisha mabega na kuona kumbe yeye alifaa zaidi kuwa ndiye mnene mwenyewe hata enzi za uwepo wa mwendazake. Kwamba kumbe mwendazake alipaswa kuwa kidampa tu 😂😂😂😂😂!

Hiiiiii bagosha
 
Wakuu,

Kama mtaniita mzee wa kukurupuka ni sawa tu maana niliyataka mwenyewe. Nilimuunga mkono Rais Samia bila kufanya uchunguzi wa kina, kiukweli kiongozi yeyote anaetumia uongozi wake kuumiza wengine kwa namna yeyote ile mimi hua sipo upande wake na kamwe simuungi mkono.

Nilifanya hivo kwa mwendazake na kwa huyu ni hivo hivo kwahiyo najitokeza hadharani kusema kua kwa matendo machache tu na yanayoumiza watu aliyofanya toka kaingia madarakani nasema mimi sipo upande wake kabisa hivo waliodhani vinginevo hapana nimeshtuka nimeshtuka nae ni walewale tu.
Nahisi Makonda amerudi kwenye himaya yake, zile picha hazikuwa za bure
 
Back
Top Bottom