Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Umeandika vitu muhimu sana.
Washauri wake wamkumbushe yeye ni Rais wa Tanzania na sio vinginevyo atambue na kuthamini wananchi wake hizo agenda za mabeberu hazita linufaisha taifa letu kwa lolote.
 
Hiu kesi ya Mbowe inamfanya Rais wa nchi aonekana ana kasoro kwenye jumuia ya kimataifa hata kama wanakutana nae kwenye vikao vyao, na wanampa nafasi awahutubie.

Tena huko kuhutubia ndio kubaya zaidi coz wana mu-expose mbele ya dunia wengi wamuone na akiwaambia anatokea Tanzania ndio anapoteza kabisa maana ya ile Royal Tour yake.

Kigezo cha kwanza cha kuvitia watalii pote duniani ni ustaraabu wa jamii inayotembelewa, kama bado hamjastaarabika kwa kubambikia watu wenu kesi ili kuwatesa, wengi watawakimbia, kama humpendi nduguyo vipi kwa mtu baki.
 
Ccm ilishajifia kitambo lkn sasa naona huyu mama anahitaji kuweka historia kwa kuwa rais wa kwanza kufiwa na chama tawala mkononi.
 
Kila kitu rais Sasa mnataka rais aingilie mahakama..? Kila siku mnahubiri demokrasia,vipi demokrasia ya Sasa inaruhusu rais kuingilia mahakama..??
Wakati anahojiwa na BBC ulikuwa upo sudan ya kusini?
 
Hiu kesi ya Mbowe inamfanya Rais wa nchi aonekana na kasoro kwenye jumuia ya kimataifa hata kama wanakutana nae kwenye vikao vyao na wanampa ruhusa awahutubie.

Tena huko kuhutubia ndio kubaya zaidi coz wana ku-expose mbele ya dunia wengi wakujue
Aliharibu tangu siku alipokubali kufanya interview na BBC pale ndiyo ilikuwa mwanzo wa kuboronga.
 
1. Kama kuchafuka CCM mlishachafuka siku nyingi ila sema sa hivi mmejipaka matope na kuthibitisha kuwa jeshi letu la polisi ni JANGA.

2. Kuhusu Samia kuchukiwa hasa kwa upande wa kanda ya ziwa ni kweli 100% kwa kuwa nipo huku naona na kusikia pia. KANDA YA ZIWA AJIPANGE KWELI KWELI.
 
Hachukiwi kanda ya ziwa pekee huyu mama hakubaliki maeneo yote nchin
 
MY TAKE: Siku za mwanzo kabisa za utawala wa awamu ya mama SSH nilisema kwamba kosa kubwa alilofanya Magufuli ni kumchagua makamu asiye na uwezo wa kuongoza nchi, nikasema kwasababu ilikua ni mapema Sana tusubiri baada ya miaka miwili ya uongozi wake, bado hatujamaliza hata mwaka mmoja lakini ninahisi wasiwasi wangu unaendelea kuongezeka.
Swali: Je Kuna sababu ya kuendelea kuwa na matumaini au nitafute mlango wa kutokea?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu mama yupo sahihi.Anapenda biashara. Wewe huelewi benefits zinazoweza kutokea kutokana na safari hii. Wawekezaji watakuja TZ na kuwekeza mabilioni ya pesa huko kwenu.
 
Magufuli alivumilia upumbaavu ndani ya ccm kwa miaka mingi hadi alipokuwa rais na sisi wazarendo tunatakiwa tuvumilie kila baya hadi tutakapo pata nafasi ya kulivunja
 
Huyu mama yupo sahihi.Anapenda biashara. Wewe huelewi benefits zinazoweza kutokea kutokana na safari hii. Wawekezaji watakuja TZ na kuwekeza mabilioni ya pesa huko kwenu.
Kikwete alitembea kuliko Vasco Da gama mbona hali ilikua tete zaidi?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sisi machinga tulikuwa na aliyetuwakilisha huko Marekani ?🐒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…