Wakuu salaam,
Mwanzoni mwa utawala wa rais samia nilimkubali sana, na niliamini ataliponya taifa, bt mambo yafuatayo yalipodhiri nilianza kumpuuza rais samia
1. kumbambikia mbowe kesi ya ugaidi ajili ya kudai katiba mpya.
2. kupanda ghafla kwa bidhaa alafu kakaa kimya bila kutoa tamko lolote.
3. kuminya demokrasia kama mtangulizi wake.
4. kujidhihirisha yupo team mafisi waloifisadi nchi na kuitia hasara kubwa.
je, kwako wewe ni yapi yalokufanya umpuuze rais samia?
Mwanzoni mwa utawala wa rais samia nilimkubali sana, na niliamini ataliponya taifa, bt mambo yafuatayo yalipodhiri nilianza kumpuuza rais samia
1. kumbambikia mbowe kesi ya ugaidi ajili ya kudai katiba mpya.
2. kupanda ghafla kwa bidhaa alafu kakaa kimya bila kutoa tamko lolote.
3. kuminya demokrasia kama mtangulizi wake.
4. kujidhihirisha yupo team mafisi waloifisadi nchi na kuitia hasara kubwa.
je, kwako wewe ni yapi yalokufanya umpuuze rais samia?