Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

kujihudhulu ndo nini na ni lugha gani jamani?
 
Sijui tunatumia akili kweli kama taifa?.
Leo mnamuona na kumlilia jiwe ambaye hakujali misingi ya utawala bora na sera za uchumi zilikuwa mbovu, kazi yake kubwa ilikuwa ni kunyang'anya watu fedha tu. Suala la ajira hakujali kabisa wala kukuza kipato cha kila mtanzania.
Mungu amutusaidia sana.
Mungu alitupa mamlaka ya kutawala viumbe vingine lakini siyo wanadamu wenzako bali kuongoza. Nyie bado mko gizani mnalilia jiwe.
Majaliwa mwenyewe atakuwa anafurahia maana jiwe alikuwa anamdharau sana na kumtukana hadhalani. Sasa unamuona hata kanawili vizuri tofauti na kipindi cha jiwe
 
Naona yatima na wajane bado mnaomboleza poleni sana.

Mshauri na Polepole ajiuzuru ule ubunge wa viti maalum ili muendelee kumsengenya mama vizuri.

Na leo tunakwea pipa tunelekea Egypt, nyinyi nendeni mkahiji kwenye kaburi la mungu wenu Chato.
 
Naona yatima na wajane bado mnaomboleza poleni sana.

Mshauri na Polepole ajiuzuru ule ubunge wa viti maalum ili muendelee kumsengenya mama vizuri.

Na leo tunakwea pipa tunelekea Egypt, nyinyi nendeni mkahiji kwenye kaburi la mungu wenu Chato.
Wewe tunakufahamu tokea ufukuzwe na jiwe ualimu wako wa cheti fake ukawa unajifanya mpinzani wa jiwe sasa kupinga/kujipendekeza kwako kwa Utawala huu ni muhimu kwako pengine ukiendelea kudhani utarejeshwa kibaruani huko Nyamalagala S/M.
 
Aresign aende wapi....!!?

Hapo alipofika ni kwa ajili ya Mwendazake. Sioni uwezo wake au sifa za kupata cheo cha juu zaidi ya hapo. Labda awe na bahati kama ya Maza. Kila kitu kinakudondokea tu.
 
Wewe tunakufahamu tokea ufukuzwe na jiwe ualimu wako wa cheti fake ukawa unajifanya mpinzani wa jiwe sasa kupinga/kujipendekeza kwako kwa Utawala huu ni muhimu kwako pengine ukiendelea kudhani utarejeshwa kibaruani huko Nyamalagala S/M.
Wacha weee? Twende tukahiji Chato tukaifufuwe maiti.
 
Mambo yanazidi kuwa magumu taifa linatakiwa liingie kwenye toba ndugu zangu.

Dawa ni kitubu tu. 😭😭😭😭😭😭
Mambo ni magumu kwako wewe ulizoea mtetemko kwa Magufuli.

Mitoto iliyodekezwa kwa baba yao siku baba akifa inakufa maskini na yenyewe.
 
Mambo yanazidi kuwa magumu taifa linatakiwa liingie kwenye toba ndugu zangu.

Dawa ni kitubu tu. 😭😭😭😭😭😭
Haya sasa, hii nayo ni mada ambayo watu wanatakiwa wachangie!

Na kweli itapata wachangiaji, kama mimi nilivyochangia hapa!
 
Tuvunje mkataba tulioingia na shetani wakati wa kudai UHURU.kubambika watu kesi, matumizi mabaya ya Kodi zetu, wasiojulikana,damu zisizo na hatia ni machukizo na uleta laana kwa nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…