Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

PM Majaliwa huu Utawala wa Samia unaenda kukuharibia sifa ya kiuongozi/kisiasa huko mbele ya safari.

Ukweli ni kwamba huna tena uwezo wa kuhoji hata yale yaliyo kinyume na maadili ya kiuongozi yanayofanywa ama yatayofanywa na mawaziri wateule wa Samia hasa wale waliotumbuliwa na JPM na kurejeshwa na Samia.

Brother M gutuka na ikiwezekana resign kwa maana tofauti na hapo unaenda kuchafuka.
kujihudhulu ndo nini na ni lugha gani jamani?
 
Sijui tunatumia akili kweli kama taifa?.
Leo mnamuona na kumlilia jiwe ambaye hakujali misingi ya utawala bora na sera za uchumi zilikuwa mbovu, kazi yake kubwa ilikuwa ni kunyang'anya watu fedha tu. Suala la ajira hakujali kabisa wala kukuza kipato cha kila mtanzania.
Mungu amutusaidia sana.
Mungu alitupa mamlaka ya kutawala viumbe vingine lakini siyo wanadamu wenzako bali kuongoza. Nyie bado mko gizani mnalilia jiwe.
Majaliwa mwenyewe atakuwa anafurahia maana jiwe alikuwa anamdharau sana na kumtukana hadhalani. Sasa unamuona hata kanawili vizuri tofauti na kipindi cha jiwe
 
PM Majaliwa huu Utawala wa Samia unaenda kukuharibia sifa ya kiuongozi/kisiasa huko mbele ya safari.

Ukweli ni kwamba huna tena uwezo wa kuhoji hata yale yaliyo kinyume na maadili ya kiuongozi yanayofanywa ama yatayofanywa na mawaziri wateule wa Samia hasa wale waliotumbuliwa na JPM na kurejeshwa na Samia.

Brother M gutuka na ikiwezekana resign kwa maana tofauti na hapo unaenda kuchafuka.
Naona yatima na wajane bado mnaomboleza poleni sana.

Mshauri na Polepole ajiuzuru ule ubunge wa viti maalum ili muendelee kumsengenya mama vizuri.

Na leo tunakwea pipa tunelekea Egypt, nyinyi nendeni mkahiji kwenye kaburi la mungu wenu Chato.
 
Naona yatima na wajane bado mnaomboleza poleni sana.

Mshauri na Polepole ajiuzuru ule ubunge wa viti maalum ili muendelee kumsengenya mama vizuri.

Na leo tunakwea pipa tunelekea Egypt, nyinyi nendeni mkahiji kwenye kaburi la mungu wenu Chato.
Wewe tunakufahamu tokea ufukuzwe na jiwe ualimu wako wa cheti fake ukawa unajifanya mpinzani wa jiwe sasa kupinga/kujipendekeza kwako kwa Utawala huu ni muhimu kwako pengine ukiendelea kudhani utarejeshwa kibaruani huko Nyamalagala S/M.
 
PM Majaliwa huu Utawala wa Samia unaenda kukuharibia sifa ya kiuongozi/kisiasa huko mbele ya safari.

Ukweli ni kwamba huna tena uwezo wa kuhoji hata yale yaliyo kinyume na maadili ya kiuongozi yanayofanywa ama yatayofanywa na mawaziri wateule wa Samia hasa wale waliotumbuliwa na JPM na kurejeshwa na Samia.

Brother M gutuka na ikiwezekana resign kwa maana tofauti na hapo unaenda kuchafuka.
Aresign aende wapi....!!?

Hapo alipofika ni kwa ajili ya Mwendazake. Sioni uwezo wake au sifa za kupata cheo cha juu zaidi ya hapo. Labda awe na bahati kama ya Maza. Kila kitu kinakudondokea tu.
 
Wewe tunakufahamu tokea ufukuzwe na jiwe ualimu wako wa cheti fake ukawa unajifanya mpinzani wa jiwe sasa kupinga/kujipendekeza kwako kwa Utawala huu ni muhimu kwako pengine ukiendelea kudhani utarejeshwa kibaruani huko Nyamalagala S/M.
Wacha weee? Twende tukahiji Chato tukaifufuwe maiti.
 
Mambo yanazidi kuwa magumu taifa linatakiwa liingie kwenye toba ndugu zangu.

Dawa ni kitubu tu. 😭😭😭😭😭😭
Mambo ni magumu kwako wewe ulizoea mtetemko kwa Magufuli.

Mitoto iliyodekezwa kwa baba yao siku baba akifa inakufa maskini na yenyewe.
 
Tuvunje mkataba tulioingia na shetani wakati wa kudai UHURU.kubambika watu kesi, matumizi mabaya ya Kodi zetu, wasiojulikana,damu zisizo na hatia ni machukizo na uleta laana kwa nchi
 
Back
Top Bottom