Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona sasa hivi ukwamishaji umezidi naamini tungekuwa na Rais kama Magufuli mradi usingechelewa Sana.Mbona 2019 tuliambiwa by dec 2019 Watu watatumia sgr Dar to Moro na halikutokea na ilikuwa chini ya Jpm??
Why uone tu kuwa kwa sasa ndo mradi unakwama??
Wapinzani imara wanapaswa kuwa wananchi ambao ndiyo wenye nchi na wala siyo chama fulani.Mimi kuna wakati Nahamu ya kuona Tanzania kuwe na upinzani imara wa kuitoa CCM.lakini nikiwaangalia wapinzani wetu naona nakata Tamaa nao.
Watanzania.wamezoea kudanganywa na makamera kila kukicha mkuu....Tafuta taarifa kwenye vyanzo sahihi mkuu. Achana na taarifa za vijiwe vya Sukum*gang na vile vya cDm utaacha kuandika taarifa zisizo za kweli. Miradi ya mkakati kama ule wa J.K Nyerere stiegler gorge ulioanzishwa na Hayati John P. Magufuli (Mwenyezi Mungu amrehemu) bado unaendelezwa.
Na mradi wa reli uliosisiwa na JK Kikwete na kuanza kutekelezwa na Hayati JPM kwa kipande Cha Dar es Salaam-Morogoro na kipande Cha Morogoro -Makutopora, na serikali ya awamu ya sita inakamilisha Makutopora-Isaka na Isaka- Mwanza. Kama upo Mwanza nenda Kisesa Kuna kambi ya ujenzi pale imeshasimikwa. Zaidi ameshalipa fedha kununua treni za umeme toka Korea Kusini.
Pia fuatilia bajeti za serikali za utekelezaji wa miradi mbalimbali. Don't be negative.
Hamna mambo ni yaleyale Tu kama angekuwa anafuata haki Mbowe akingesumbuliwa.bado wapinzani wanakamatwa wakifanya mikutano Yao mfano siku ya Uhuru.Kama mlikuwa mnafanya ili kusifiwa, mtindo wa
Sasa ni tofauti hakuna kitafuta sita no kifuata utaratibu inaozingatia kanuni, haki na sheria.
Unaona sasa??..Naona sasa hivi ukwamishaji umezidi naamini tungekuwa na Rais kama Magufuli mradi usingechelewa Sana.
Sasa mifumo ya nchi hii uchaguzi unasimamiwa na serikali yenyewe wananchi hawana hiyo nguvu labda katiba yetu ni mbovu.Nasikia huyuhuyu mama alishawahi kusema tupige Kura tusipige CCM inashinda.Wapinzani imara wanapaswa kuwa wananchi ambao ndiyo wenye nchi na wala siyo chama fulani.
Wewe umeshajua kuwa Sukari ipo juu kwa sababu ya ufisadi wa akina Majaliwa,unahitaji chama cha nini tena?
Mengine jumba bovu za awamu tanguliziHamna mambo ni yaleyale Tu kama angekuwa anafuata haki Mbowe akingesumbuliwa.bado wapinzani wanakamatwa wakifanya mikutano Yao mfano siku ya Uhuru.
Enzi za Magufuli kulikuwa na uhakika wa Mambo kuendelea kuliko SASA hivi kwa Sababu ya ukali wake.sasa hivi tunaambiwa mara sijui kitu Gani hamna wakati enzi za magufuli huwezi kusema Sababu zisizoeleweka.Leo wanatumbia vifaa vinavyotoka nje ya nchi vimeshindwa kuzalishwa na kuleta wewe unataka kunimbia nchi hizo zimesitisha uzalishaji?angalau enzi za magufuli tuliona spidi za kutekeleza vitu.Unaona sasa??..
Yaani watu tuambiwe kwamba by dec 2019 mzigo utapiga abiria Dar-Moro na mpaka kifo chake 2021 mambo yakawa bado,wewe hii unaona sio ukwamishaji.
Acha porojo sema tu humpendi Samia na una mahaba na Magufuli.
Na hii kasumba haitalisaidia chochote taifa hili.
Mengi ya ovyo bado yanaendelea Eti Kwa mbowe anasema Hana heshima.Mengine jumba bovu za awamu tangulizi
Naona katiba yetu inawapa nguvu watawala kuliko wananchi.Wapinzani imara wanapaswa kuwa wananchi ambao ndiyo wenye nchi na wala siyo chama fulani.
Wewe umeshajua kuwa Sukari ipo juu kwa sababu ya ufisadi wa akina Majaliwa,unahitaji chama cha nini tena?
Wakati ule mlisema yule alikuwa ananyoosha, kwani mmesalia kule Hadi Leo au imekuwajeHana uchungu na Watanzania Labda angetawala Zanzibar kwao.
Ndiyo tupate mtu mwingine aisee mwaka 2025.Hana uchungu na Watanzania Labda angetawala Zanzibar kwao.
Ndo hivyo aiseeKichwa boksi hana uwezo
Hivyo mnapanga asimame mwl. wa uongozo(kiroboto)?Ndiyo tupate mtu mwingine aisee mwaka 2025.
Mimi nahitaji mtu sahihi kuongoza nchi yetu sio vinginevyo.Hivyo mnapanga asimame mwl. wa uongozo(kiroboto)?