elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,261
- 9,733
Si kasema mwenyewe au hukusikiliza kasema kuwa mwigulu alimpgia simu mara 3 usku hapokei, baadae akapokea akamwambia kuwa ana stress coz kuna mkopo umesha mature unahitaji kulipwa. Ikabidi amwambie waonane kesho yake. Akiwa yeye, mwiguru na katibu mkuu ndipo wakakubaliana ela za mkopo usio na riba wa IMF, nusu walipe deni wapunguze stress mpaka mwakani, nusu itumike kwenye maendeleo.Umeipata wapi hii? Au umetoa kichwani?
Alisema Mhe.Rais jana wakati anahutubia.Mimi nilifuatilia mwanzo mwisho.Alisema hivyoUmeipata wapi hii? Au umetoa kichwani?
Msikilize mama kwenyewe Jana kaongeaUmeipata wapi hii? Au umetoa kichwani?
Hivi ukikopa mihela mingi namna hii si lazma uweke kitu rehani,niliona uganda wameweka uwanja wao wa ndege na wakashindwa kuukomboa,kwetu sisi imekaaje?Ndio hatukatai mikopo
lakini ndo tutumie tena nusu ya mkopo kulipa deni la zamani??
tunakopa kulipa mkopo
UCHUMI WA WAPI HUU - "debt distress"
Ukitumia pesa ya ndani huoni uta paralyse uchumi? Hiyo ni akiliNdio hatukatai mikopo
lakini ndo tutumie tena nusu ya mkopo kulipa deni la zamani??
tunakopa kulipa mkopo
UCHUMI WA WAPI HUU - "debt distress"
"mbona hata enzi za magufuli tulikuwa no 1 Kwa democracy afrika mashariki.Naamini magufuli alichukia cheap politics.kuna watu walimtukana Sana.magufuli alipendwa ndani na nje ya Tanzania he was talk of the world."Magufuli hakuwa katili huyu mama ameonesha hatufai akikaa vibaya ataishia 2025.mbona hata enzi za magufuli tulikuwa no 1 Kwa democracy afrika mashariki.Naamini magufuli alichukia cheap politics.kuna watu walimtukana Sana.magufuli alipendwa ndani na nje ya Tanzania he was talk of the world.
Acha uongo deni linalipwa kwa asilimia,labda useme pesa mmepeleka zenji , tena mama sasa hivi anaelekea kuwa mmoja wa matajiri wakubwa africaNdio hatukatai mikopo
lakini ndo tutumie tena nusu ya mkopo kulipa deni la zamani??
tunakopa kulipa mkopo
UCHUMI WA WAPI HUU - "debt distress"
Kama Rais na Waziri wa Fedha walivyosema,mikopo mingi ni ya awamu zilizopita,sasa kwa kuwa zilicheleweshwa kutolewa kutokana na Rais aliyekuwepo ndio inakuwa disbursed sasa..
Uzushi kama huu unakusaidia nini wewe? Thibitisha haya madai yako.Acha uongo deni linalipwa kwa asilimia,labda useme pesa mmepeleka zenji , tena mama sasa hivi anaelekea kuwa mmoja wa matajiri wakubwa africa
Dawa ya deni,ni kulipa.Ndio hatukatai mikopo
lakini ndo tutumie tena nusu ya mkopo kulipa deni la zamani??
tunakopa kulipa mkopo
UCHUMI WA WAPI HUU - "debt distress"
Hujui kitu,tulia..mikopo ya Nchi sio mikopo ya saccos zenu huko kitaa.Hivi ukikopa mihela mingi namna hii si lazma uweke kitu rehani,niliona uganda wameweka uwanja wao wa ndege na wakashindwa kuukomboa,kwetu sisi imekaaje?
Bora wachumi kama wewe,utufahamishe.umesoma uchumi wewe kolaz? hio ni jambo zuri kabisa ambalo linafanyika na nchi nyingi sana
Asante kwa kutujulisha na kutuelimisha,sisi tusio wasomi wa uchumi.Tunazidi kuelewa zaidi.
Hapa kidogo haujamtendea haki Kikwete maana yeye alikopa mikopo kwa riba ndogo ya 5% hadi 6% tena kwa kuanza kulipa kwa zaidi ya miaka 10.Kufanya hivyo under the circumstances ni umahili wa hali ya juu kiuchumi. In fact kama anaweza kupata interest free loans zenye long term tenure ashinikizwe achukue ili tulipe madeni ya Kikwete yenye RIBA kubwa na kuiva kwa muda mfupi aliyokopa kutoka private banks za Switzeland! Hiyo itatoa afueni kwa nchi katika kulipa riba ya hiyo mikopo; kama hii mikopo mibovu ikilipwa mapema itakuwa ni nafuu zaidi. Hii in finacial parlance is known as LEVERAGING.
Hata mimi hii ilinishangaza mkuu na nilidhani ilitakiwa kuwa confidential........mchele ukamwagwa hadharani, suppose wakopeshaji walikupa masharti uzitumie kwenye uviko, mara wakasikia umezitumia kulipa madeni, hapatachimbika hapo?Ndio hatukatai mikopo
lakini ndo tutumie tena nusu ya mkopo kulipa deni la zamani??
tunakopa kulipa mkopo
UCHUMI WA WAPI HUU - "debt distress"
Mara ya mwisho kununua samaki ilikua mwaka jana mwezi wa tatu baada ya hapo.Kweli kabisa wenye uwezo wa kufanya shopping samaki n.k NI wachache