Ndiyo hivyo hivyo mlimwambia Jiwe atawale mpaka afie madarakani na ikawa kweli. Huyu naye mnataka afie madarakani?Watumishi tunaona una kila sababu ya kutawala milele mpaka useme baaaasi!! Ila sasa mama umetuletea mkosi "vuvuzela" sijui linaitwa Jenista? Hilo zigo mama kaa nalo huko hatulitaki huku utumishi, hilo ni jini litatunyonya damu
Mama, Tunakupenda sana ila hilo vuvuzela hapana! Tunafikiria uwe Rais angalau miaka 23 endapo marekebisho ya katiba yatafanyika mapema.
Mama umewapatia Hawa watumishu, Kaa huko huko ,Watajua kwanni wanaing'ang'ania CCMWatumishi tunaona una kila sababu ya kutawala milele mpaka useme baaaasi!! Ila sasa mama umetuletea mkosi "vuvuzela" sijui linaitwa Jenista? Hilo zigo mama kaa nalo huko hatulitaki huku utumishi, hilo ni jini litatunyonya damu
Mama, Tunakupenda sana ila hilo vuvuzela hapana! Tunafikiria uwe Rais angalau miaka 23 endapo marekebisho ya katiba yatafanyika mapema.
KAMA RAIS ANAPENDA KUUNGWA MKONO BASI APENDE KUSIKILIZA WANAO MUUNGA MKONO, UTUMISHI YULE BWANA ALIFAA SANA NA ANA EXPERIENCE NA SHIDA ZA WATUMISHI NA NI MCHAPA KAZI HODARI, MKWELI NDIO WATUMISHI WAMEONA AMEKUWA AHENI KWAO......Sasa huyu mama porojo nyingi, anafanyakazi kwa upepo, alisumbua na kuyumbisha Sana wenzake kwenye ishu nyingi ikiwepo kikokotoo....HUYO MAMA NI MASHAKA YAMERUDIWatumishi tunaona una kila sababu ya kutawala milele mpaka useme baaaasi!! Ila sasa mama umetuletea mkosi "vuvuzela" sijui linaitwa Jenista? Hilo zigo mama kaa nalo huko hatulitaki huku utumishi, hilo ni jini litatunyonya damu
Mama, Tunakupenda sana ila hilo vuvuzela hapana! Tunafikiria uwe Rais angalau miaka 23 endapo marekebisho ya katiba yatafanyika mapema.
Ukweli mchungu huyu mama anajua kila kitu cha kisera kuhusu hii Nchi.Ana Diploma ya Ualimu lakini uwezo wake WA kukariri mambo umemfikisha hapo. Anajua kujikomba Kwa Wakubwa sijui kuhusu namba moja na mbili Ila namba tatu anamkubali Sana. Pale hatoki labda itokee miujiza kama ya Ndugai.Jenista ni Waziri bogus ever.
Aturudishie mchengerwa wetu.Watumishi tunaona una kila sababu ya kutawala milele mpaka useme baaaasi!! Ila sasa mama umetuletea mkosi "vuvuzela" sijui linaitwa Jenista? Hilo zigo mama kaa nalo huko hatulitaki huku utumishi, hilo ni jini litatunyonya damu
Mama, Tunakupenda sana ila hilo vuvuzela hapana! Tunafikiria uwe Rais angalau miaka 23 endapo marekebisho ya katiba yatafanyika mapema.
Kapotea na urembo wake jamabi dah!!!... hivi yule mdada Angela Kairuki aliishiaga wapi? Bado ni mbunge? I am curious.
Haya ndio nayoyasema, mnatuletea galasa Sasa linatucost taifa Zima. Mnachokula anatoa kwa wadau haimuumi halafu mnakula nini zaidi ya T-shirt na elfi kumi kumi zile?Anawezea kunyoosha kidole na kutoa taarifa tu bungeni.Ngoja aje Peramiho tumlie hela zake.πππππ
Muuza nanihii ...sura huyoJenista ni Waziri bogus ever.
Anawezea kunyoosha kidole na kutoa taarifa tu bungeni. Ngoja aje Peramiho tumlie hela zake.[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]