ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,586
- 3,857
Hawa Viongozi wote Wana Vinasaba vinavyofanana wanatamani kutuvusha kutoka hapa tulipo lakini mbinu za kututoa hapa hawana kwahyo wanachofanya ni business as usual wachache wale wengi wabaki kuwa watazamaji,Mfumo wao ni Kama umeshapitwa na wakati.Tuonesheni Tanzania ya viwanda ile kwenye ilani ya 2015.
Hakuna mkakati wowote waku Mkwamisha isipokua hali ya Umaskini na Mfumuko wa Bei ndiyo utakao Mkwamisha,Adui yake wasasa ni yeye Mwenyewe kuongeza gharama za Matumizi kwenye Serikali bila kuongeza Mapato na kuongeza Deni la Taifa kwa kukopa kila uchao.Si nasikia kuna TIMU CHATO ambayo inamikakati ya kukwamisha mama na kumkosoa kwa kila afanyacho eti kisa kaanza kueleza ukweli wa yale yaliyo kuwa yanatendeka sirini, naona mmeanza kazi sasa.
Is this a theory or a fact?^POSSESSION OF POWER THAT WAS NOT ACQUIRED THROUGH SELF-EFFORT^
^Power in the hands of one who did not acquire it gradually, is often fatal^
Haya matozo yasiyo na faida wewe hayakuumizi!? Huku mawaziri wanaambiwa waibe kwa nidhamu.Jitangaze tu hupendi kuongozwa na mwanamke. Mama kakukosea nini?
No where to hideHawa Viongozi wote Wana Vinasaba vinavyofanana wanatamani kutuvusha kutoka hapa tulipo lakini mbinu za kututoa hapa hawana kwahyo wanachofanya ni business as usual wachache wale wengi wabaki kuwa watazamaji,Mfumo wao ni Kama umeshapitwa na wakati.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa mZee nyboma vip ile show yako ya three some uliwezaje kutekeleza ...Kwa kila mwenye akili timamu atakubaliana na mimi kuwa kwa sasa Rais wa Zambia Mh. Hakainde Hichilema ni Moja ya Viongozi Bora kabisa kuwahi kutokea Africa.
Anawafikia Raia wake bila kuweka ulinzi wa kukera na kutisha yeye ni kiongozi wa Kiraia, huyu hakupitishwa na polisi, jeshi wala tume ya uchaguzi ama mbeleko ya kuwa makamu wa Raisi wananchi walipanga foleni na kumpigia kura ya NDIO hivyo anatambua uchungu wa wananchi waliomchagua yeye kuwa RAISI.
Hapa kwetu Chifu Hangaya a.k.a Chui Jike kutwa kutengeza mazingira ya kukubalika kwa kujitengenezea maigizo ya kupachikwa Uchifu ambao hauna msaada wowote kwa wananchi wa hali ya chini ilihali kuna mambo ya msingi anapaswa kuyashughulikia kuepuka manung’uko kutoka kwa raia wake mambo kama mfumuko wa bidhaa mbali za viwanda, umeme kukatika kila baada ya masaa fulani, kubambikia watu kesi za ugaidi na uhujumu uchumi kwa kisingizio cha kuwatisha, ni mambo ambayo yeye kama namba moja anatakiwa kuyaangaliza macho maana yanamchafulia sana.
Kwa miezi kumi ya uongozi wake tunaona akijipachika majina ya hovyo, kuvikwa ngozi za wanyama, kukusanya vibuyu na mikuki bila kusahau kujiongezea ulinzi wa jadi ili kuongeza mvuto kwa wananchi.
Tumalize kwa kusema “If you protect The People, The People will protect you , the Army , the Police will not be everywhere all the time anytime”.
Jadili kilochopo mezani Acha utotoSawa mZee nyboma vip ile show yako ya three some uliwezaje kutekeleza ...