ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,586
- 3,857
Unawatoa Prof Kabudi, Kalemani na Mh Lukuvi, unaweka Nape, Makamba na Ridhiwani Kikwete.
Unafanya re-shuffle kuwatengenezea nafasi familia chache, halafu unashangaa kwanini hupendwi.
Unawarudisha watu waliofukuzwa kwa kutokuwa na Vyeti. Ungeweza ungetaka kuajiri vijana wenye vigezo.
Mikopo ya ajabu kujenga vyoo, kupambana na Covid.
Umeme,maji, bidhaa, mafuta, vifaa vya ujenzi. Kila kitu umeshindwa kukisimamia. Mipasho mingi, vitendo zero.
Vitu vya msingi unashindwa kuvisimamia, kuvijali.
Unafanya re-shuffle kuwatengenezea nafasi familia chache, halafu unashangaa kwanini hupendwi.
Unawarudisha watu waliofukuzwa kwa kutokuwa na Vyeti. Ungeweza ungetaka kuajiri vijana wenye vigezo.
Mikopo ya ajabu kujenga vyoo, kupambana na Covid.
Umeme,maji, bidhaa, mafuta, vifaa vya ujenzi. Kila kitu umeshindwa kukisimamia. Mipasho mingi, vitendo zero.
Vitu vya msingi unashindwa kuvisimamia, kuvijali.