Point..Sasa raisi anahusikaje watu wanachomana visu kwa wivu raisi aje awapokonye?
Madereva kila siku wanapigiwa kelele lakini ni vichwa mbovu unadhani atafanyeje
Mauwaji ya kuingilia kati ni yale yanayosababishwa na polisi tu
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Wewe ni mjinga namba mojaSasa raisi anahusikaje watu wanachomana visu kwa wivu Rais aje awapokonye?
Madereva kila siku wanapigiwa kelele lakini ni vichwa mbovu unadhani atafanyeje
Mauwaji ya kuingilia kati ni yale yanayosababishwa na polisi tu
Wakati wa mwendazake sijui kama uliweza kuhoji namna hii ya kwanini watu wanakufa au kupotea?Nimeona watu wengi wanamnyooshea vidole IGP na Waziri wa Mambo ya Ndani. Mimi nina mawazo tofauti kidogo naomba nisikilizwe.
Kwa maoni yangu, Rais wetu mpendwa ameshindwa kutulinda, mauaji ya kutisha yamefululiza mno, yanayoripotiwa ni sehemu tu ya yanayotokea, pia huko barabarani ajali zinapukutisha watu kila kukicha.
Nadhani Rais ukubali tu kukaa pembeni, tunakupenda ila huwezi kutulinda.
Ni maoni yangu, naamini sijavunja sheria za JF.
Wakati wa Mwendazake.. kukitokea mauaji... makelele yalikuwa mengi sana. Haya mauaji ya sasa yamezidi kipindi cha Mwendazake... wananchi tutafakari....Sasa raisi anahusikaje watu wanachomana visu kwa wivu Rais aje awapokonye?
Madereva kila siku wanapigiwa kelele lakini ni vichwa mbovu unadhani atafanyeje
Mauwaji ya kuingilia kati ni yale yanayosababishwa na polisi tu
Nimeona watu wengi wanamnyooshea vidole IGP na Waziri wa Mambo ya Ndani. Mimi nina mawazo tofauti kidogo naomba nisikilizwe.
Kwa maoni yangu, Rais wetu mpendwa ameshindwa kutulinda, mauaji ya kutisha yamefululiza mno, yanayoripotiwa ni sehemu tu ya yanayotokea, pia huko barabarani ajali zinapukutisha watu kila kukicha.
Nadhani Rais ukubali tu kukaa pembeni, tunakupenda ila huwezi kutulinda.
Ni maoni yangu, naamini sijavunja sheria za JF.
Wewe kweli ni bei elekezi.Nimeona watu wengi wanamnyooshea vidole IGP na Waziri wa Mambo ya Ndani. Mimi nina mawazo tofauti kidogo naomba nisikilizwe.
Kwa maoni yangu, Rais wetu mpendwa ameshindwa kutulinda, mauaji ya kutisha yamefululiza mno, yanayoripotiwa ni sehemu tu ya yanayotokea, pia huko barabarani ajali zinapukutisha watu kila kukicha.
Nadhani Rais ukubali tu kukaa pembeni, tunakupenda ila huwezi kutulinda.
Ni maoni yangu, naamini sijavunja sheria za JF.
Ivi wewe mwenye thread hii sio Ndugai kweli?Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani.
Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari.
Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi.
Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena.
Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
CCM wasipotengua utaratibu wao wa kumpitisha mgombea wao wa urais kwa awamu mbili safari hii itakula kwao.
Ili CCM iondoke madarakani kiwepesi basi wamruhusu Samia agombee urais 2025 maana Samia amefeli sehemu nyingi sana hakuna sehemu angalau unaweza ukamsifia amefanya vizuri, angalau hayati Magufuli kuna sehemu amefanya vizuri sana licha ya mapungufu machache ya kibinadamu aliyokuwa nayo.
Sasa kwa huyu Samia kila sehemu holaaa na hana meno kabisa watu wanafanya mambo ya ovyo kila kukicha kadri wanavyojisikia yeye yupo tu anaangalia.
Anachokiweza labda kuipambania Zanzibar na sio Tanzania bara.
CCM ili ilete ushindani mkubwa basi wampitishe Kasimu Majaliwa awe mgombea wa urais na sio Samia.
Hili swali lako litaishi kipindi chake chote cha uongozi wake.Sasa hivi amekumbatia uchifu hivi uchifu upo zanzibar? Kama sio kushikiwa masikio.Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani.
Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari.
Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi.
Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena.
Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
Kwenye ukweli lazima usemwe,habari za ujinsia hapa hazina nafasi.Jitangaze tu hupendi kuongozwa na mwanamke. Mama kakukosea nini?
Hizo hizo njenzo amabazo wewe haujateuliwa ndiyo wao wanazo [emoji3][emoji3]Sometimes huwa najiuliza sana hawa wateuaji kuwa wanatumia njenzo gani kuwapata wateuliwa, naishia kujipa moyo tu kuwa labda kuna taarifa sina