Ajaye hawezi kuwa JPM. Tunaitengeneza nchi kama tutakavyo wananchi wakati uliopo, si kama JPM ambavyo angetaka kwa wakati wake. Sasa hivi kuna Tozo, kama hatuzitaki tunarect kwa njia sahihi na nguvu ya kutosha kushawishi kiongozi kuziondoa. Otherwise itaonekana ni maslahi ya kakikundi fulani ka kutaka kumantain legacy.Anayaangalia yajayo akilinganisha na ya sasa na yaliyopita.
Looking at the FUTURE comparing the PRESENT and the PAST.
Hasifii marehemu, Anamtengeneza AJAYE maana aliyepo hatodumu milele!!!!
Got it?
Uliyoguna inajitosheleza na uchafu nikiendelea kuisikiliza. Kila kitu kwa kiasi.Endelea kusikiliza Miguno.
Ni yale yale yliokuwa yanatumia vyeti fake.Matola lazima utakua mtu wa Ngada! Unahaki ya kumchukia Magufuli, maana aliharibu njia kibao hata Mimi nilipoteza mchongo!lakini hilo halikunifanya nimchukie Magufuli, maana Mimi kweli kushiriki kwenye biashara hiyo hata kwa mbali bado natenda kosa la Jinai!!!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Bidhaa unayoinadi haiuziki Kwa sasa. Turudi tu kiwandani tubuni UPYA.Kwa hiyo miaka 5 ndio hayo tuu mlifanya?
Mimi nikiorodhesha hapa yaliyofanyika kwa mwaka mmja na siku nyajaza seva..
Nataka nikuonueshe ulivyo muongo hapo kwenye namba 2 ikiwakilisha uongo mwingine..
Soma hapa idadi ya vituo vya afya mlivyojenga na kukarabati 👇
Sijui unaongea nini? Madhara ya kutetea ujinga ukiwa Manzese or whatever shithole you came from.Uliyoguna inajitosheleza na uchafu nikiendelea kuisikiliza. Kila kitu kwa kiasi.
Unaanza kupanik kwa kutoa majibu ya hisia hisia. Hujui ninachoongea na hujui nilipo kwann usiendelee na mambo mengine kama sio panik za TOZO.Sijui unaongea nini? Madhara ya kutetea ujinga ukiwa Manzese or whatever shithole you came from.
Kama wewe matako tuuuYule alikuwa takataka na wewe [emoji116]
Kwenye mfano wake wa Treni kapatia kabisa. Yote aliyofanya JPM kwa speed ni ishara yanaendana na hulka ya treni.Heshima kidogo iwepo kwa waliotangulia maana naona umekosa mifano unajitolea tu.
Treni linakimbiaga maspeed ya juu tu bila kujali nn kipo mbele, ikitokea kuna hitilafu ya reli huko mbele linaparamia pukurtukuTUKUUUUPUUUU. LINACHINJA WOTE. Ndivyo JPM alivyokuwa?
Nchi haiongozwi na marehemu, marehemu wamemaliza sehemu yao. Raisi ni SSH, Tumkosoe ili tujenge na sio lazima kuassume kwenye kila jambo marehemu angefanyaje. Kila saa ni marehemu, marehemu, marehemu, marehemuuu kanakwamba yeye ndo wa mwisho kufa.
Predict the future comparing to the present. Usiishie hapo, maoni Yako ni muhimu Kwa MATUMIZI ya BAADAYE.Ukweli mchungu kwa machawa wa [emoji355][emoji355]100, march17 2021 tanzania ilimpoteza mtu muhimu kuliko huyu aliyopo sasa.
Matako ni wewe ambae umepigwa na kitu kizito kichwani na SSH..na bado mtaishia kufanya siasa mitandaoni.Kama wewe matako tuuu
Bidhaa gani hiyo nayoinadi? Chagua unataka kurudi Misri au kuendelea mbeleBidhaa unayoinadi haiuziki Kwa sasa. Turudi tu kiwandani tubuni UPYA.
Hii nchi ukifuatilia siasa utabaki unasikitika tu. Tuna uongozi mbovu sanaKwakweli tulipoteza mtu wa maana sana katika taifa letu, 2025 kuna haja ya CCM kufanya maamuzi magumu, tunahitaji mtu kama JPM Nasema Uongo Ndugu Zangu?
Rais gani unakesha kukimbizana na masikini kupitia tozo za hovyohovyo? Umeshindwa kudhibiti mfumuko wa bei, unafanya nini sasa?
Lazima niwe nahisia japo nalipa kodi huku lakini bado natuma pesa nyumbani na hayo makato yata ni affect. Sasa nimegundua watu kama nyie mnaotetea ujinga kama huu ni wazi hamjui pesa.Unaanza kupanik kwa kutoa majibu ya hisia hisia. Hujui ninachoongea na hujui nilipo kwann usiendelee na mambo mengine kama sio panik za TOZO.
Endelea kuuza maji hapo Dar,utakufa hata nyumba huna kutwa kucha kushoboka na Chadomo ambao hawawezi kukusaidia kitu.Wewe mwenyewe huli asali. Ni mshamba Kama washamba wengine tu.
Maskini utamjua tu. Narudia wewe ni mlalahoi tu na shabiki maandazi.Endelea kuuza maji hapo Dar,utakufa hata nyumba huna kutwa kucha kushoboka na Chadomo ambao hawawezi kukusaidia kitu.
We jamaa unaweza kuwa ni yule ulietembea kwa mguu tokaa posta.Uliyepoteza ni wewe usijumuishe Watanzania kwenye upumbavu wako.
Mungu amemaliza ugomvi.
Ndio hivyo,chagua kurudi Misri au kusonga mbele na Bus la Asali la Samia?Maskini utamjua tu.
Utaongelea vipi asali wakati unaiskia kwenye TV tuNdio hivyo,chagua kurudi Misri au kusonga mbele na Bus la Asali la Samia?
Nafuga nyuki mwenyewe nailamba Mwenyewe..Utaongelea vipi asali wakati unaiskia kwenye TV tu