Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayaangalia yajayo akilinganisha na ya sasa na yaliyopita.

Looking at the FUTURE comparing the PRESENT and the PAST.

Hasifii marehemu, Anamtengeneza AJAYE maana aliyepo hatodumu milele!!!!

Got it?
Ajaye hawezi kuwa JPM. Tunaitengeneza nchi kama tutakavyo wananchi wakati uliopo, si kama JPM ambavyo angetaka kwa wakati wake. Sasa hivi kuna Tozo, kama hatuzitaki tunarect kwa njia sahihi na nguvu ya kutosha kushawishi kiongozi kuziondoa. Otherwise itaonekana ni maslahi ya kakikundi fulani ka kutaka kumantain legacy.
 
Matola lazima utakua mtu wa Ngada! Unahaki ya kumchukia Magufuli, maana aliharibu njia kibao hata Mimi nilipoteza mchongo!lakini hilo halikunifanya nimchukie Magufuli, maana Mimi kweli kushiriki kwenye biashara hiyo hata kwa mbali bado natenda kosa la Jinai!!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ni yale yale yliokuwa yanatumia vyeti fake.
Hapo kila likisikia jina Magufuli mavi yanavurugika tumboni.
 
Kwa hiyo miaka 5 ndio hayo tuu mlifanya?

Mimi nikiorodhesha hapa yaliyofanyika kwa mwaka mmja na siku nyajaza seva..

Nataka nikuonueshe ulivyo muongo hapo kwenye namba 2 ikiwakilisha uongo mwingine..

Soma hapa idadi ya vituo vya afya mlivyojenga na kukarabati 👇
Bidhaa unayoinadi haiuziki Kwa sasa. Turudi tu kiwandani tubuni UPYA.
 
Sijui unaongea nini? Madhara ya kutetea ujinga ukiwa Manzese or whatever shithole you came from.
Unaanza kupanik kwa kutoa majibu ya hisia hisia. Hujui ninachoongea na hujui nilipo kwann usiendelee na mambo mengine kama sio panik za TOZO.
 
Ukweli mchungu kwa machawa wa [emoji355][emoji355]100, march17 2021 tanzania ilimpoteza mtu muhimu kuliko huyu aliyopo sasa.
 
Heshima kidogo iwepo kwa waliotangulia maana naona umekosa mifano unajitolea tu.

Treni linakimbiaga maspeed ya juu tu bila kujali nn kipo mbele, ikitokea kuna hitilafu ya reli huko mbele linaparamia pukurtukuTUKUUUUPUUUU. LINACHINJA WOTE. Ndivyo JPM alivyokuwa?

Nchi haiongozwi na marehemu, marehemu wamemaliza sehemu yao. Raisi ni SSH, Tumkosoe ili tujenge na sio lazima kuassume kwenye kila jambo marehemu angefanyaje. Kila saa ni marehemu, marehemu, marehemu, marehemuuu kanakwamba yeye ndo wa mwisho kufa.
Kwenye mfano wake wa Treni kapatia kabisa. Yote aliyofanya JPM kwa speed ni ishara yanaendana na hulka ya treni.
Asilimia kubwa JPM ndo alilitumbukiza taifa kwenye mkanganyiko huu wa tozo!

SSH ni zao na kiongozi wa ccm... kama anafeli ni ujumbe tosha kuwa ccm inashindwa kuendesha nchi! Tatizo wananchi wanaimani na watu badala ya mifumo.
Tatizo kubwa zaidi upinzani wapo usingizini!
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Ukweli mchungu kwa machawa wa [emoji355][emoji355]100, march17 2021 tanzania ilimpoteza mtu muhimu kuliko huyu aliyopo sasa.
Predict the future comparing to the present. Usiishie hapo, maoni Yako ni muhimu Kwa MATUMIZI ya BAADAYE.
 
Kwakweli tulipoteza mtu wa maana sana katika taifa letu, 2025 kuna haja ya CCM kufanya maamuzi magumu, tunahitaji mtu kama JPM Nasema Uongo Ndugu Zangu?

Rais gani unakesha kukimbizana na masikini kupitia tozo za hovyohovyo? Umeshindwa kudhibiti mfumuko wa bei, unafanya nini sasa?
Hii nchi ukifuatilia siasa utabaki unasikitika tu. Tuna uongozi mbovu sana
Ndio maana nimeacha kufuatilia siasa, sasahivi nafuatilia muvi mpya tu zikitoka
Siasa ni ushenzi mtupu
 
Unaanza kupanik kwa kutoa majibu ya hisia hisia. Hujui ninachoongea na hujui nilipo kwann usiendelee na mambo mengine kama sio panik za TOZO.
Lazima niwe nahisia japo nalipa kodi huku lakini bado natuma pesa nyumbani na hayo makato yata ni affect. Sasa nimegundua watu kama nyie mnaotetea ujinga kama huu ni wazi hamjui pesa.
 
Back
Top Bottom