Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Siyo kazi yake Kutoa mbadala. Kuna watu wengi wameajiriwa serikalini kwa ajili ya hiyo kazi ikiwemo huyo Mama yenu na kazi imewashinda. Vilaza wakubwa
Watu walioajiriwa serikalini ndo wamekuja na TOZO. We ita majina yote ila TOZO lipa.
 
Tatizo lilianzia kwa huyo unayemuita mtu wa maana
Ndugu Magu hakujiweka pale bahati mbaya,

Kuboronga Kwa JK ndo kulimuibua Magu, wazee walianza kumuandaa Awamu ya pili ya uongozi wa JK.

Tukipuuzia njia ya KATIBA mpya na TUME huru ya Uchaguzi, DICTATOR mwingine anatengezwa!!!!
 
Kwani Watumishi wote walikuwa wanadaiwa na bodi ya mikopo kusema wamefutiwa penat ya bodi? tunataka Rais ashugulikie mfumuko wa bei ambao unatesa Wanyonge,kila kitu kimepanda utafikiri nchi iko vitani,mafuta huko wanakosingizia vita yameisha shuka miezi miwili imepita lakini hapa kwetu ndio yanazidi kupanda,tuna mfano wa Rais hatuna Rais hapa.
Kwanza hujajibu unataka urudi Misri au uendelee mbele?

Watumishi 3/4 wamegiswa na hayo aliyofanya mama..

Tanzania hakuna mfumuko wa bei, mfumuko wa bei uko huku 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220819-170813.png
    Screenshot_20220819-170813.png
    152.7 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220821-121510.png
    Screenshot_20220821-121510.png
    198.6 KB · Views: 5
Mama yako ana roho nzuri tatizo lake ni KILAZA.
Kilaza anayekulipisha TOZO. Vichenji vyako vyote vinakusanywa serikalini, unavitoa huku unaguna guna ila ndo hivyo vinatoka.
 
Angekuwa kilaza mda huu Chadomo na Sukuma gang wangeshakuwa Ikulu ila amewadhibiti mnajifariji mitandaoni 😁😁😁😁
Unaona akili zenu zilivyokuwa matope tunaongelea maisha ya watu unaleta habari za Chadema na Sukuma gang. Adui wenu sasa ni wananchi na vyombo vya usalama.
 
Unaona akili zenu zilivyokuwa matope tunaongelea maisha ya watu unaleta habari za Chadema na Sukuma gang. Adui wenu sasa ni wananchi na vyombo vya usalama.
Maisha ya watu yamefanya nini?

Unachagua kurudi Misri au kuendelea mbele?

Maisha ya watu saizi wanafaidi umesikia wapi biashara zimefungwa au umesikia wapi wakulima wakilia kwamba Mazao yao hayauziki au yana Bei ndogo?

Fala wewe saizi ni awamu ya kila mtu kulamba asali kama Hawa wenzio 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220719-115541.png
    Screenshot_20220719-115541.png
    150.9 KB · Views: 3
Itachukua muda sana waTZ kuelewa....wengi akili ndogo
Siku zote ili pawe na utawala lazima watawaliwa wazidiwe uelewa na watawala. Hapa nchini wengi wanapenda matukio.

Pakitokea connection italipiwa hata 10,000 ionekane. Na hata zikifululizana still hizo pesa zitalipwa. Wananchi wenye uelewa wa kiwango hichi hauitaji nguvu kubwa kuutiliza unapointroduce new type of TAX.
 
Maisha ya watu yamefanya nini?

Unachagua kurudi Misri au kuendelea mbele?

Maisha ya watu saizi wanafaidi umesikia wapi biashara zimefungwa au umesikia wapi wakulima wakilia kwamba Mazao yao hayauziki au yana Bei ndogo?

Fala wewe saizi ni awamu ya kila mtu kulamba asali kama Hawa wenzio 👇
Wewe mwenyewe huli asali. Ni mshamba Kama washamba wengine tu.
 
Heshima kidogo iwepo kwa waliotangulia maana naona umekosa mifano unajitolea tu.

Treni linakimbiaga maspeed ya juu tu bila kujali nn kipo mbele, ikitokea kuna hitilafu ya reli huko mbele linaparamia pukurtukuTUKUUUUPUUUU. LINACHINJA WOTE. Ndivyo JPM alivyokuwa?

Nchi haiongozwi na marehemu, marehemu wamemaliza sehemu yao. Raisi ni SSH, Tumkosoe ili tujenge na sio lazima kuassume kwenye kila jambo marehemu angefanyaje. Kila saa ni marehemu, marehemu, marehemu, marehemuuu kanakwamba yeye ndo wa mwisho kufa.
Anayaangalia yajayo akilinganisha na ya sasa na yaliyopita.

Looking at the FUTURE comparing the PRESENT and the PAST.

Hasifii marehemu, Anamtengeneza AJAYE maana aliyepo hatodumu milele!!!!

Got it?
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kwakweli tulipoteza mtu wa maana sana katika taifa letu, 2025 kuna haja ya CCM kufanya maamuzi magumu, tunahitaji mtu kama JPM Nasema Uongo Ndugu Zangu?

Rais gani unakesha kukimbizana na masikini kupitia tozo za hovyohovyo? Umeshindwa kudhibiti mfumuko wa bei, unafanya nini sasa?
Rais kama JPM hapana... Rais wa tozo tozo na matumizi ya kifahari kama SSH ni ishara ya ujinga wa wananchi.
Kama tatizo lipo kwanini wananchi wasilalamike kila kona kufikisha ujumbe? Kwanini mpaka 2025?
 
Back
Top Bottom