Bora sa100 kuliko yule nga100Pro sa100 nao tozo zimewakaba kumtetea wameshindwa walichobakiza ni matusi tu!
Sirudi MISRI, Nachagua kwenda MBELE bt DRIVER abadilishwe maana atupeleka SHIMONI.Bidhaa gani hiyo nayoinadi? Chagua unataka kurudi Misri au kuendelea mbele
[emoji23][emoji23][emoji23]Tacle lako
Wala usijari utambadilisha 2030 Kiti anachukua Comrede Mwigulu Nchemba,mtanyooka tuu.Sirudi MISRI, Nachagua kwenda MBELE bt DRIVER abadilishwe maana atupeleka SHIMONI.
Vp hapo, afu punguza matusi na mihemko, usijibu Kila k2, utapoteza focus, ndomana umeanza kutukana.
Hizo ni ndoto zako. Wewe ni mlalahoi mwenye ndoto za kutoka kupitia uchawa.Nafuga nyuki mwenyewe nailamba Mwenyewe..
Wewe endelea kulia lia Kuhusu tozo utastukia umezeeka hauna kitu
Wewe si ndio unaota,kwa hiyo unadhani SSH atatoka lini madarakani na nani ataingia?Hizo ni ndoto zako. Wewe ni mlalahoi mwenye ndoto za kutoka kupitia uchawa.
Unayemtumikia Nchemba siyo!!!!Wala usijari utambadilisha 2030 Kiti anachukua Comrede Mwigulu Nchemba,mtanyooka tuu.
ππππ Kwani uliambiwa kuna tozo gani nyingine inatakiwa? Tozo ni za miamala ziko tayari kilichobakia ni Kazi iendeleeUnayemtumikia Nchemba siyo!!!!
Mbona TOZO hii ni ya mwisho kwake akiwa waziri? Utakuwa unemployed!!!
Ukweli ni kuwa nchi yetu Ina wapinzani wa hovyo.
Kwa hakika JPM alikuwa Rais na mkombozi wa kweli wa Watanzania.
Sijui na wala sijali anaweza akafa hata kesho . Siishi kwa ndoto na ndumba kama wewe.Wewe si ndio unaota,kwa hiyo unadhani SSH atatoka lini madarakani na nani ataingia?
Ameandaa TOZO ya PUMZI, hiyo hatoweza fanikisha, maana atakuwa ameshatimuliwa.ππππ Kwani uliambiwa kuna tozo gani nyingine inatakiwa? Tozo ni za miamala ziko tayari kilichobakia ni Kazi iendelee
ππππ UmeshanoaAmeandaa TOZO ya PUMZI, hiyo hatoweza fanikisha, maana atakuwa ameshatimuliwa.
Umeshanoa ππππSijui na wala sijali anaweza akafa hata kesho . Siishi kwa ndoto na ndumba kama wewe.
Kwani Tanzania kuna mihimili mingapi inayo tambulika kikatiba?Ndio, kwa sababu Ccm ni muhimili wa 4 au chama dola.
Husemi uongo ndugu yanguKwakweli tulipoteza mtu wa maana sana katika taifa letu, 2025 kuna haja ya CCM kufanya maamuzi magumu, tunahitaji mtu kama JPM Nasema Uongo Ndugu Zangu?
Rais gani unakesha kukimbizana na masikini kupitia tozo za hovyohovyo? Umeshindwa kudhibiti mfumuko wa bei, unafanya nini sasa?
Nimekuelewa Jp Omuga.Kwenye mfano wake wa Treni kapatia kabisa. Yote aliyofanya JPM kwa speed ni ishara yanaendana na hulka ya treni.
Asilimia kubwa JPM ndo alilitumbukiza taifa kwenye mkanganyiko huu wa tozo!
SSH ni zao na kiongozi wa ccm... kama anafeli ni ujumbe tosha kuwa ccm inashindwa kuendesha nchi! Tatizo wananchi wanaimani na watu badala ya mifumo.
Tatizo kubwa zaidi upinzani wapo usingizini!
Hahaha. Embu endelea na mambo mengine.Lazima niwe nahisia japo nalipa kodi huku lakini bado natuma pesa nyumbani na hayo makato yata ni affect. Sasa nimegundua watu kama nyie mnaotetea ujinga kama huu ni wazi hamjui pesa.