Panya road wanatishia amani mkuu.So far so good amekuwa ni Rais bora sana, watu wapo huru kutoa maoni yao na kufanya mambo yao bila tishio lolote.
# SAMIA 2025
Mbona yule wa TRC mlimfuta kazi kisa ametoa maoni kuhusu tozo.So far so good amekuwa ni Rais bora sana, watu wapo huru kutoa maoni yao na kufanya mambo yao bila tishio lolote.
# SAMIA 2025
Sasa Rais amechagua wasaidizi wake ili wamsaidie, kama mambo yote tumsubiri rais afanye haina haja ya kuwa na mawaziri. Acheni basi mama achape kazi basi.Kwa kumsaidia:
Kuna suala la panya road na matukio mengi ya mauaji ya raia, hadi leo hajasema chochote. Ni kama hakuna kiongozi wa nchi. viongozi wa mikoa na wilaya wanatamka tu wanavyoona inafaa.
Kuna suala la kupanda holela kwa gharama za bidhaa kwa kisingizio cha vita, badala ya kudhibiti yeye anasema bidhaa zitapanda zaidi.
Kuna suala la mkanganyiko wa taarifa kati ya viongozi, mfano suala la vice na naibu waziri kuhusu uhifadhi wa samaki, mama hajasema chochote!
Suala la tozo amemuachia mwigulu.
Suala la nyongeza ya mshahara 2.3% badala ya 23% akamuachia Kasimu afafanue!
Viongozi wa kisiasa wanadharau jeshi la polisi, na anaunga mkono! Yuko kimya!
Hayo na mengine mengi yanaonesha hatuna rais.
Una Maono mafupi Sana kuhusu taifa lakoSasa Rais amechagua wasaidizi wake ili wamsaidie, kama mambo yote tumsubiri rais afanye haina haja ya kuwa na mawaziri. Acheni basi mama achape kazi
Hii nchi ilimhitaji mtu kama jiwe japo kidoplomasia tuliyumba lakini alileta full respects watu wakachapa kazi nchi ilitulia tulii kama maji ya mtungi aisee ...RIP mwamba wa AFRIKASasa Rais amechagua wasaidizi wake ili wamsaidie, kama mambo yote tumsubiri rais afanye haina haja ya kuwa na mawaziri. Acheni basi mama achape kazi basi
Kweli kabisa mkuuHii nchi ilimhitaji mtu kama jiwe japo kidoplomasia tuliyumba lakini alileta full respects watu wakachapa kazi nchi ilitulia tulii kama maji ya mtungi aisee ...RIP mwamba wa AFRIKA
Wewe uko Zambia?Unaposema hafai unatakiwa useme kwanini,mtu analeta hoja za hovyo kama yupo FB.
Yani kuna watu bado hawaamini kwamba hakuna marehemu alisha wahi kufufuka kwenye zama hizi.
Haiwezekani taifa lipige kelele then alie muumba akamwache aendelee kuwepo,si umeona nguvu ya masononeko ya watu?Hii nchi ilimhitaji mtu kama jiwe japo kidoplomasia tuliyumba lakini alileta full respects watu wakachapa kazi nchi ilitulia tulii kama maji ya mtungi aisee ...RIP mwamba wa AFRIKA
Hata siyo mkono wa Mungu mimi naamini mwamba aliondolewa na watu wasiojulikana .........Mungu asisingiziwe kabisa , kama Thomas Sankara tuu....Haiwezekani taifa lipige kelele then alie muumba akamwache aendelee kuwepo,si umeona nguvu ya masononeko ya watu?
Moja ya watu mnaopenda nchi iwe shamba la bibi. Hongera Sana mkuu. Sasa wamewaambia msijenge bomba la mafuta na mmewafutaHaiwezekani taifa lipige kelele then alie muumba akamwache aendelee kuwepo,si umeona nguvu ya masononeko ya watu?
Yaani unataka rais aongelee panya road? Waziri Masauni anatosha. Rais anaongelea mambo makubwa mfano nchi ilivamiwa na nchi iirani kama vile Ukraine ilivyovamiwa na Urusi.Kwa kumsaidia:
Kuna suala la panya road na matukio mengi ya mauaji ya raia, hadi leo hajasema chochote. Ni kama hakuna kiongozi wa nchi. viongozi wa mikoa na wilaya wanatamka tu wanavyoona inafaa