Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja leo nitamgusia hili captain masalu na Kanal Nyingo nione maoni yao then kuanzia kesho nianze kuhamasisha bodaboda wenzangu na walala hoi wengineDuh! Mimi nadhani tuhamasishe JWTZ wachukue nchi kwanza. Halfu mwakani tufanye uchaguzi mkuu.
Wewe ukiwa kwenye Runinga nyumbani kwako au?
Ngoja leo nitamgusia hili captain masalu na Kanal Nyingo nione maoni yao then kuanzia kesho nianze kuhamasisha bodaboda wenzangu na walala hoi wengine
JWTZ ilikuwa miaka ya 70 na 80, Mwalimu mwenyewe alikuwa anaigopa balaa - Kwa sasa ndugu usitegemee muujiza cha msingi tupambane na tozo zetu.JWTZ wakikubali tu, kazi imeisha.
Chako umekipima kujua chahitaji nyongeza au punguzo?Punguza kiherehere.
Wasaidize wake wanamdanganyaHivi karibuni Samia amenukuliwa akishangaa eti namna wananchi walivyo jiachia bila kuvaa barakoa ilhali corona ingalipo.
Hivi Samia anatoa wapi mshangao huo ilhali hata Viongozi wenzake hawavai hayo ma barakoa?!
Kwamba hatambui Watanzania wengi wanaona corona ni jambo la kizushi tu na kwalo hawaamini?
Asubuhi asubuhi hii ushaamka na masimango tayari. Umeenda kanisani kwanza?Hivi karibuni Samia amenukuliwa akishangaa eti namna wananchi walivyo jiachia bila kuvaa barakoa ilhali corona ingalipo.
Hivi Samia anatoa wapi mshangao huo ilhali hata Viongozi wenzake hawavai hayo ma barakoa?!
Kwamba hatambui Watanzania wengi wanaona corona ni jambo la kizushi tu na kwalo hawaamini?
Pengine anaujua ukweli zaidi kuhusu COVID-19. Na inawezekana ndio ilichangia yeye kuwa First Female President. Kwa hiyo ana kila sababu ya kuiogopa. Pia nimeona hata familia zilipoteza jamaa kwenye janga Hilo,hawana mizaha na COVID-19.Hivi karibuni Samia amenukuliwa akishangaa eti namna wananchi walivyo jiachia bila kuvaa barakoa ilhali corona ingalipo.
Hivi Samia anatoa wapi mshangao huo ilhali hata Viongozi wenzake hawavai hayo ma barakoa?!
Kwamba hatambui Watanzania wengi wanaona corona ni jambo la kizushi tu na kwalo hawaamini?
Wewe ndio mnafiki,yeye kama Rais lazima awe kiongozi wa kuonyesha mfano Kwa maelekezo ya Wizara ya Afya..Hivi karibuni Samia amenukuliwa akishangaa eti namna wananchi walivyo jiachia bila kuvaa barakoa ilhali corona ingalipo.
Hivi Samia anatoa wapi mshangao huo ilhali hata Viongozi wenzake hawavai hayo ma barakoa?!
Kwamba hatambui Watanzania wengi wanaona corona ni jambo la kizushi tu na kwalo hawaamini?